Zitto na Mandela wa Tanzania,sijawahi ona mapokezi makubwa Tanzania kama haya ya shujaa Zitto Kabwe,chadema bakini na bendera zitto kabaki na watu,Slaa na Mbowe lazima mfe kwa kihoro,mlidhani Zitto ni Mwanasiasa mchanga kama Mlivyowafanyia aki na Mwampamba na Shonza. Zitto ndio kwanza ameanza mkutano ya kuwaonyesha nguvu zake,hategemei helkopta ili kuita watu yeye hata aende kwa mguu atakuta umati mkubwa umemsubiri,halindwi na Police kama ilivyo kwa slaa na mbowe,analindwa na wananchi wanaojua mchango wake kwa maendeleo ya nchi,huyo ndio zitto kabwe ambae mkutano wa kijijini umehudhuriwa na zaidi ya watu elfu ishirini,sipati picha mkutano wa mwanga center utakuweje,kasulu wameanza maandalizi ya kumpokea kesho,huyo ndio zitto mpigania denokrasia ya kweli.
Kwa umati wa watu hawa,Zitto ndio Rais ajae.