AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,050
Mapokezi hayo yasikushangaze, yametokana na matendo ya uongozi wa CHADEMA dhidi ya Zitto. Demokrasia inahitajika sio Ufalme ulio ndani ya CHADEMA. ZITTO NI MZITO, mapokezi yake yamethibitisha, KIGOMA HOYEE!
Naona umeamua kujitoa ufahamu kwa muda lakin naamin baada ya kujitambua tena utaacha kushabika pumba na kukurupuka kama hivi.