PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Nimeziangalia picha zote hapo juu kwa uangalifu.....Cha ajabu sijaona Bendera ya Chadema kabisa ! Sign pekee ya CDM ambayo nimeiona ni jamaa mmoja (narudia tena MMOJA) aliyevaa Tshirt ya M4C......Kama kuna aliyeona tofauti anaweza kunisaidia lakini nadhani hii ni strange !

Kama wanaCDM wa kigoma wangekuwa wameshiriki kwenye hili, nadhani at least tungeweza kuona signs hizo at least kidogo.....Just think about it....hata bendera moja hakuna !......Nadhani CDM kigoma hawajashiriki kwenye hili !

Naanza kukubali kwamba haya mapokezi na mkutano huu umeandaliwa na CCM.

Bendera moja ndogo inauzwa Tsh 3500/= kubwa 15,000/=. Kazi ya Bendera ni kutangaza Chama hasa mahali ambapo hakipo. So it was unnecessary budget.
 
Kama wewe huna habari na Zitto unafanya nini kwenye huu uzi? Umesoma na sasa unacoment. Jitambue we dada
kwan kusoma huu uzi ndio kutokujitambua? watu wengine bwana mnatafutiaga watu ban tu...........ngoja nikupotezee tu kwa leo.
 
Kwa. Iwe ni habari ya mujini kwa mbunge kwenda jimboni kwake?

Zitto ni mwanachama halali ya CDM, mpaka mshitaka yatakapohakikisha kuwa yu mkosefu ang'olewe...
 
Nimeziangalia picha zote hapo juu kwa uangalifu.....Cha ajabu sijaona Bendera ya Chadema kabisa ! Sign pekee ya CDM ambayo nimeiona ni jamaa mmoja (narudia tena MMOJA) aliyevaa Tshirt ya M4C......Kama kuna aliyeona tofauti anaweza kunisaidia lakini nadhani hii ni strange !

Kama wanaCDM wa kigoma wangekuwa wameshiriki kwenye hili, nadhani at least tungeweza kuona signs hizo at least kidogo.....Just think about it....hata bendera moja hakuna !......Nadhani CDM kigoma hawajashiriki kwenye hili !

Naanza kukubali kwamba haya mapokezi na mkutano huu umeandaliwa na CCM.
mkuu hata mimi nimeshangaa kutokuona alama yeyote ya chadema kwenye huu mkutano,
labda walioko huko kigoma watujuze kama walikatazwa au imetokea tu coincidence kila mtu akasahau kubeba bendera

Kwa CDM sijawah ona hali kama hii, au ndo kile chamaa?
 
Hayo mapokezi makubwa ni kwasababu gani? Hiyo ziara ipo kwenye ratiba za chama? Anapokelewa kama nani?

Ndio haya wengine tunapata shida kweli na huyo Zitto.Mashindano tu yasiyo na tija! Kwani Zitto huwa haendi Kigoma hadi leo apate mapokezi tofauti?

Yaani nini tija ya ziara ya Zitto huko Kigoma kwa Chadema maana hata Slaa hajipangii tu ziara za chama na zinatangazwa rasmi kwa taarifa kutoka kurugenzi ya habari.
Haya maana najua wengine mna mapenzi tuuuuu na huyu kijana.



Amepokelewa kwa nguvu kwasababu ni mbunge wao sasa ulitaka wamwache wakati ni mbunge wao ......amepokelewa kama mbunge wa jimbo lao .......


Ndo maana sipendi siasa kwa mitazamo hii na nchi still ni masikini'09
 
Zote unazozijua wewe! Wewe una damu gani?

Mkuu nijibu kwanza swali langu huyo Zitto anasema ana damu CDM hiyo damu ni ya hedhi au damu ya panya? Jibu swali na sio kukurupuka tu kama mtu aliyefumaniwa ugoni.
 
Wewe ni nani kuyasema hayo! Hahami mtu labda uhame wewe
Mkutano umeandaliwa na ccm wakuu,wamesahau kutoa bendera yao
1508041_635388069856601_1839075101_n.jpg
 
Zito waachie wenyewe chama chao,chama cha wagoni na wazinifu,M/kiti kamsaliti ndoa yake(mkewe) na katibu kapora mke wa mtu ww unaweza hayo?
 
Zitto ni kaleta hasara kwa taifa, Naanza kuamin kwamba Umasikini wa mtanzania umesababishwa na Zitto.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu nijibu kwanza swali langu huyo Zitto anasema ana damu CDM hiyo damu ni ya hedhi au damu ya panya? Jibu swali na sio kukurupuka tu kama mtu aliyefumaniwa ugoni.

Jibu lako liko katika swali nililokuuliza. Ukijibu utapata jibu lako. Ndivyo walivyofanya mitume na manabii. Umesahau habari ile ya je halali kumlipa kodi Kaisari? ilivyojibiwa?
 
Zito waachie wenyewe chama chao,chama cha wagoni na wazinifu,M/kiti kamsaliti ndoa yake(mkewe) na katibu kapora mke wa mtu ww unaweza hayo?

Usaliti wa Mbowe kwa ndoa yake kumeathiri vipi uchumi wa nchi? Uzinzi wa Slaa umeathiri vipi elimu ya nchi?

Think Big.
 
Zitto ni msaliti na mleta vulugu kwenye chama chetu, hata kama Tanzania nzima itampa kichwa, ataondoka tu CHADEMA.....

Mimi naamini chanzo cha vurugu katika siasa za Tanzania na Afrika ni walioko madarakani kung'ang'ania madaraka na ndio hicho hicho kitakacholeta vurugu kwenye Chama chetu sio Zitto. Jadili misingi sio watu
 
Jibu lako liko katika swali nililokuuliza. Ukijibu utapata jibu lako. Ndivyo walivyofanya mitume na manabii. Umesahau habari ile ya je halali kumlipa kodi Kaisari? ilivyojibiwa?

Kwahiyo ww ni mtume n nabii?

Nijibu hiyo damu ya Zitto ni ipi hiyo kenge zaid ya watu waliopoteza maisha arusha na moro?
 
Rest in pc chama cha wachaga!
Tuliyaona hayo japo tulichelewa kukimbia,wewe kama bado uko huko,
endelea kuvumilia ila 2015 jibu litapatikana!
Tunahitaji upinzani tanzania na ni wa muhimu sana ila si kwa misingi yakibaguzi inayoasisiwa na CDM,
Tz ni moja tunahitaji umoja,kamwe hatutoweza kuruhusu tuvurugwe,CDM kimezidi kukumbatia ukabila na ukanda,kwa hili kamwe hakitofika safari yake,ni dhahiri kitaishia njiani,
tz ni yetu sote,
God bless ma tz!
safari njema mkuu.. Kaungane na maccm, sisi bado tupo leo,kesho na daima dumu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom