mtugani wa wapi huyo
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 1,239
- 1,477
Very simple,ajiondoe CHADEMA ili ateuliwe na jeykey kuwa mbunge kisha apewe uwaziri na asahaulike baada ya 2015! Option hii CCM hawataifurahia sana kwani watafurahi kwa option hii;
Option nzuri na wanayoitaka CCM kama kashindwa kubaki CHADEMA na hawampeleki NCCR-MAGEUZI basi atajiunga na CCM lakini hatopewa uwaziri bali atapewa ubunge wa kuteuliwa na atachukua nafasi ya Mwigulu Nchemba ya unaibu wa CCM ili atumike kuzunguka mikoani kufanya propaganda dhidi ya CDM mpaka 2015!!
Naushangaa usomi wa huyu mtu anaesifiwa kuwa ana akili_!!!
Kutokana na mambo kumwendea ndivyo sivyo, na mapokezi yake kigoma kuwa chini ya kiwango tarajiwa. Kuna tetesi, kwamba keshakata tamaa, na anaamua kurudi katika academics na siasa basi. Sasa ni suala la kungojea kama hii itageuka kuwa breaking news. Kwa upande wa pili suala la kupoteza ubunge bado linamsumbua, na anaonekana bado kuipenda CDM.
My Take: Sasa naona Zitto anatumia hasira zaidi kuliko hekima.
Ushauri: Angetulia sana katika kipindi hiki kigumu kwake. Sijui kama huyu jamaa anapata usingizi sawasawa, anahitaji check-up.
Dahh ninacho kiona hapa ni Wingi wa Vijana (wapiga kura) Tegemeo LA Kesho.