PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Baada ya picha iliyojitokeza leo kigoma naishairi chadema imwite Zitto wayamalize mezani laasivyoo chama hakipo tena

Slaa alipo tia timu Kigoma ilikuwa aibu kama siyo polisi kumlinda kama waziri mkuu leo tunhekiwa tunaongea mengine

Mbowe mwenyekiti wetu chadema alipoenda mwanza akapatwa na aibu mzito ilikuwa awenaziara ndefu ikabidi asitishe ziara baada ya mwitikio kuwa mdogo

Pamoja na ITV na gazeti la Tanzania daima kukisaidia kitengo cha proaganda bado jamii ilielewa tunawadanganya maana wastukia picha kuwa zilikuwa za 2010 nyie ni mashahidi mbowe lalipokuwa mwanza vijana wetu walipost picha mbili
teh teh, kwa hiyo chadema kwisha kwa sababu zitto kapokelewa na wananchi wa jimbo lake? Kweli akili ni nywele, kila mtu ana zake!
 
Mimi nilikuwa nasubiri kulinganisha picha za mikutano ya Slaa Kigoma na huu wa leo wa Zitto.

Nimepata jibu. Sasa nasubiri maamuzi ya kamati kuu ya CDM.
 
Nimeziangalia picha zote hapo juu kwa uangalifu.....Cha ajabu sijaona Bendera ya Chadema kabisa ! Sign pekee ya CDM ambayo nimeiona ni jamaa mmoja (narudia tena MMOJA) aliyevaa Tshirt ya M4C......Kama kuna aliyeona tofauti anaweza kunisaidia lakini nadhani hii ni strange !

Kama wanaCDM wa kigoma wangekuwa wameshiriki kwenye hili, nadhani at least tungeweza kuona signs hizo at least kidogo.....Just think about it....hata bendera moja hakuna !......Nadhani CDM kigoma hawajashiriki kwenye hili !

Naanza kukubali kwamba haya mapokezi na mkutano huu umeandaliwa na CCM.
 
Hayo mapokezi makubwa ni kwasababu gani? Hiyo ziara ipo kwenye ratiba za chama? Anapokelewa kama nani?

Ndio haya wengine tunapata shida kweli na huyo Zitto.Mashindano tu yasiyo na tija! Kwani Zitto huwa haendi Kigoma hadi leo apate mapokezi tofauti?

Yaani nini tija ya ziara ya Zitto huko Kigoma kwa Chadema maana hata Slaa hajipangii tu ziara za chama na zinatangazwa rasmi kwa taarifa kutoka kurugenzi ya habari.
Haya maana najua wengine mna mapenzi tuuuuu na huyu kijana.

Hapo anaweza kuwa amekwenda ziara kwa nafasi yake ya ubunge pia kwa siasa za kisasa inawezekana amekwenda kuwapoza wapiga kura wake hasa wale wanaoamini bila zitto wao si wanachadema nikiwa na maana kuwaweka sawa kwamba kwenye siasa lolote laweza kutokea hivyo wawe watulivu na waendelee kukijenga chama (assuming kama watz tuna sprit ya kusameheana au spirit ya kukubali matokeo endapo mtu ameadhibiwa though kwa nchi yetu ukishashutumiwa kwa jambo flani kwenye siasa hata ujirekebishe doa litaendelea kuwepo pia kama watu wanakupenda na kukuamini hata ufanye baya gani watu wote wanaendelea kuku-support)

Lakini kwa upande mwingine wa siasa zetu za kibongo, kuna uwezekano amekwenda kujisafisha kwa wapiga kura wake

All in all nimependa mapokezi yake, I wish hata katika maisha ya kawaida ya wabunge wengi iwe inatokea hivi wanapokwenda majimboni mwao sio mpaka kuwe agenda flani
 
Haya maandamano na mkutano huu ni wa kichama kama ndiyo ni chama gani maana sioni bendera yoyote kwenye hizo picha? au ni mkutano wa wazawa wa mkoa wa Kigoma pasipo kuzingatia itikadi za vyama vya siasa?Hakuna alama ya V=cdm, wala Dole Gumba=CCM..It seems watu walikuwa inducted before jinsi wanavyopaswa ku behave kwenye maandamano na mkutano huu, hata ujumbe kwenye mabango unaonekanakuandaliwa kwa tahadhari kubwa sana unlike ilivyokuwa kwa Dr Slaa..Zitto achakucheza na akili zetu
 
Zitto ni sawa na Osama, sema tofauti yao ni kwamba Osama ni Talbhan na Zitto ni Masalia.
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli,Zitto ni zaidi ya CDM..
Kwanini asijiondoe CDM na kuanzisha Chama out of CDM!?
Ili kujipima kama anakubalika au la..
Kwasababu,waliompokea ni wanachama wa CDM mix na Buku 7.. Ahame CDM aanzishe Chama au ajiunge na Chama kingine na sio kung'ang'ania kujisafisha akiwa ndani ya CDM!!

zzk amesha sema hatoki cdm sasa kama nyie mnamuona msaliti kwanini mmemwacha mpaka muda huu, hii inadhihirisha kuwa zzk yupo safi ila anapambana na baadhi ya watu ambao wamekubuhu kwa ufisadi ndani ya cdm, kuna viongozi wamekuwa wakijichotea mamilioni wakishtukiwa wanasema wamejikopesha, yaani fedha ya rudhuku badala ya kufanya kazi iliyoletewa nyie mnajikopesha. Km mnahitaji mikopo nendeni mkaombe benki na si kuhujum fedha ya chama
 
zito kwisha habari yake mzee akafie mwandiga hko na siasa zake na dini kwani picha zote watu wamevaa vibandiko tu kama vile wapo dubai
 
jitambue kijana zitto hana lolote kwenye picha hujaona bendera ya chama cha mizigo(ccm) na mabango ya kijani,anachokifanya nmchezo wa kisiasa ila wajanja washamstukia ni msaliti.bora aje muungane kwenye chama cha mizigo
 
Nimeziangalia picha zote hapo juu kwa uangalifu.....Cha ajabu sijaona Bendera ya Chadema kabisa ! Sign pekee ya CDM ambayo nimeiona ni jamaa mmoja (narudia tena MMOJA) aliyevaa Tshirt ya M4C......Kama kuna aliyeona tofauti anaweza kunisaidia lakini nadhani hii ni strange !

Kama wanaCDM wa kigoma wangekuwa wameshiriki kwenye hili, nadhani at least tungeweza kuona signs hizo at least kidogo.....Just think about it....hata bendera moja hakuna !......Nadhani CDM kigoma hawajashiriki kwenye hili !

Naanza kukubali kwamba haya mapokezi na mkutano huu umeandaliwa na CCM.

Observation nzuri sana hii mkuu ila kuna kitu nimejifunza hapa I wish kama ndio ingekuwa utaratibu yaani assuming kama mbunge amekwenda jimboni kwake mapokezi yasiwe kichama zaidi ili kujenga dhana kwamba kwa ziara hiyo amekwenda kusikiliza kero za wananchi wake ambao ni wa vyama mbalimbali though wengi waliamini kupitia chama chake anaweza kuleta mabadiliko.

Kwa ziara hii nadhani alikwenda kuongea na mashabiki wake kama agenda zinavyojionyesha hivyo angalau kungekuwa na sign ya vibendera viwili au vitatu
 
Ni vema akawa mwangalifu kwa kauli zake. Haijawahi kutokea popote dunia mtu binafsi akashindana na taasisi hata iwe ni familia tu. Zito kama mtu kushindana na CDM kwa vyovyote yeye Zito ni best loser. Baada ya kumaliza ziara ya Kigoma what next? Kama atatangaza kujiondoa na kuanzisha chama chake ndipo nitamwona maarufu. Unadhani kwa nini Dr.Kitila ana-maintain low profile in this saga? He is clever definitely.

Taasis ni nani? Taasis iko pale pale. Huu ni mpambano kati ya Wanademokrasia na Wahafidhina wenye lengo la kuiimarisha taasis. Usiipersonalize taasis kwa wanaokuvutia. Taasis ni ya wote. Kitila ni Mwanamkakati so yuko behind screen. Kwanini akaanzishe Chama wakati amechangia mafanikio ya Chama alichopo? Mbona wewe huanzishi chako? Basi CHADEMA ianzishe nchi yake basi maana haikubaliani na sera za CCM.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom