PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

PICHA: Yanayojiri Kigoma katika mapokezi ya Zitto

Status
Not open for further replies.
Zitto,anakubalika hata wao Chadema wanajua sema wabishi kukubali matokeo,Pole pole watakubali::lock1:Sababu wakitaka ni Zitto wasitake ni Zitto....
 
Rest in pc chama cha wachaga!
Tuliyaona hayo japo tulichelewa kukimbia,wewe kama bado uko huko,
endelea kuvumilia ila 2015 jibu litapatikana!
Tunahitaji upinzani tanzania na ni wa muhimu sana ila si kwa misingi yakibaguzi inayoasisiwa na CDM,
Tz ni moja tunahitaji umoja,kamwe hatutoweza kuruhusu tuvurugwe,CDM kimezidi kukumbatia ukabila na ukanda,kwa hili kamwe hakitofika safari yake,ni dhahiri kitaishia njiani,
tz ni yetu sote,
God bless ma tz!
 
Watu wa kigoma wasikutishe kitu they are very premitive.

Na huu ndio ubaguzi tunaoukataaa....kuamini wa upande Fulani ndio bora zaidi na wanastahili kuendelea kushika hatamu ya uongozi mpaka kiama
 
Baada ya picha iliyojitokeza leo kigoma naishairi chadema imwite Zitto wayamalize mezani laasivyoo chama hakipo tena

Slaa alipo tia timu Kigoma ilikuwa aibu kama siyo polisi kumlinda kama waziri mkuu leo tunhekiwa tunaongea mengine

Mbowe mwenyekiti wetu chadema alipoenda mwanza akapatwa na aibu mzito ilikuwa awenaziara ndefu ikabidi asitishe ziara baada ya mwitikio kuwa mdogo

Pamoja na ITV na gazeti la Tanzania daima kukisaidia kitengo cha proaganda bado jamii ilielewa tunawadanganya maana wastukia picha kuwa zilikuwa za 2010 nyie ni mashahidi mbowe lalipokuwa mwanza vijana wetu walipost picha mbili

We mwigulu unawashwaeeeeee ...... kama ni uwaziri wa mambo ya ndani hupati.. toka hapa na taarifa zako za kipuuzi.... wala hupati chochote
 
Hata kina Lowasa na Chenge walipofukuzwa walipokelewa kishujaa na kufanyiwa sherehe kubwa nyumbani kwao. Yanayotokea kwa Zitto yalitarajiwa hasa ukizingatia aina ya Watanzania tulionao.
 
Baada ya picha iliyojitokeza leo kigoma naishairi chadema imwite Zitto wayamalize mezani laasivyoo chama hakipo tena

Slaa alipo tia timu Kigoma ilikuwa aibu kama siyo polisi kumlinda kama waziri mkuu leo tunhekiwa tunaongea mengine

Mbowe mwenyekiti wetu chadema alipoenda mwanza akapatwa na aibu mzito ilikuwa awenaziara ndefu ikabidi asitishe ziara baada ya mwitikio kuwa mdogo

Pamoja na ITV na gazeti la Tanzania daima kukisaidia kitengo cha proaganda bado jamii ilielewa tunawadanganya maana wastukia picha kuwa zilikuwa za 2010 nyie ni mashahidi mbowe lalipokuwa mwanza vijana wetu walipost picha mbili

MKUU kuna watu hawataki kusiki au kukubari UKWELI! Huyu jamaa mhs zzk hata awe TISHIO haitasaidia kabisa. Afadahari hata LEO aondoke kusudi CDM kama ni kufa ife ili ianze upa kuliko kuendelea na watu kama huyu JAMAA!
 
Mafisadi wote km karamagi,lowassa,chenge nk. Wote waliandaa mapokezi makubwa zaidi ya haya. Lkn haikuondoa ukweli kwamba wao ni mafisadi. Zzk hata angepokelewa na watu laki 8 haiondoi ukweli kuwa yeye kuwa ni msaliti.

Wapo watu bado wanamkubali Zitto kutokana na background yake ya nyuma.Wapo watu wanakubali mafisadi na kuwapigia kura.Muda tu utawafundisha hawa kuelewa kama choices zao ni sahihi au si sahihi kwani kumsapoti na kumshangilia mtu haiondoi ubaya wake.Wampokee wanavyopenda,hata wajae mamilioni haiondoi ukweli kuwa huyo bwana ni "majitaka" kwetu wengine tuliokwishamjua na hatumsapoti kwa lolote.Ikibidi wananchi tutatofautiana na hata kuigawa nchi hii vipande kulikoni kuishi na wajinga.We have had it enough and we are tired!kuna siku tutakinukisha tu,kama mbwai na iwe!Mfumo wa kifisadi na vibaraka wake wote lazima ufe,hata kwa vita,sawa tu!tumechoka!
 
Ndugu yangu unachembe za udini badilika usimfikirie mtu kwa dini yake, kabila lake, rangi yake n.k. Heshima ya mtu itokane utu wake nbele za watu.
 
Thread ikisha anza na 'tetesi' huwa siiamini hata kidogo.
 
Mkuu kama wewe ni christian rejea kipindi Yesu yupo gerezani na mhalifu Baraba,Mfalme Herode aliwauliza watu amtoe nani kati yao,watu wakapiga kelele tufungulie Baraba.Ndiyo ilivo kwa Zitto. Thanx Ben Saanane kwa mfano huu
Leo mtamaliza mifano yote sasa Yesu kaingiaje?
 
Kaka umepanda mbona na picha moja tu. Picha zipo nyingi hukuweka zote umetafuta ya kusupport upuuzi wako uliouandika mimi nipo Kigoma mapokezi kayapata makubwa sana tena zaidi ya sana nakushangaa umeweka picha moja tu au tuweke zote
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom