Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,949
- 6,874
Hata hivyo, Dk Mwakyembe alisema, Dk Msabaha akiwa nje ya kiapo alieleza kamati kwamba, yeye ni mbuzi wa kafara kwa sababu biashara hiyo ilikuwa ya Lowassa na mshirika wake, Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz.
Kwa nini Msabaha aliyasema haya nje ya kiapo? Unadhani atakuwa na ubavu wa kuyarudia hadharani? Au Mahakamani ambako nako kuna kiapo? Huyu kweli ni mtu wa kumuamini?
Amandla........