Peter Noni na Rostam - The EPA Connection

Peter Noni na Rostam ni wabia wa biashara (Vodacom). Peter Noni ni shahidi wa serikali katika kesi za EPA zinazoendelea. Alikuwa ni bosi wa kina Imani Mwakosya, Esther Komu na Bosco Kimola. Katika ushahidi wake mwanzoni mwa mwaka huu aliiambia mahakama kuwa malipo ya EPA yalifanyika kwa idhini na ujuzi wa moja kwa moja wa Gav. Ballali. Alishuhudia mwenyewe kuwa taarifa zilitoka kwa Gavana kuja kwake, na baadaye kwenda kwa kina Imani.

Niliandika kwenye kijarida cha Cheche wakati nazungumzia mafisadi (mwishoni mwa mwaka jana) kuwa Peter anatakiwa kuwa miongoni mwa watuhumiwa wa wizi huu lakini nilielewa kwanini asingeweza kusimamishwa kizimbani - kwa sababu ni mtu mmoja ambaye anajua connection ya Rostam.

Mfanyakazi wa BOT ambaye ana uwezo na fedha ya kuanzisha kampuni ya Planetel (ningependa kweli kujua kampuni hii ilianzishwa lini na wana hisa wake!) na kuwa na hisa kubwa tu kule Vodacom ambazo walikuwa waziuze (sijui kama tayari wameziuza) kwa kampuni ya Mirambo inayomilikiwa na Rostam!

Mpango huo ulifanikiwa kwa ushirikiano mkubwa na usaidizi wa aliyekuwa Waziri wa Miundombinu Bw. Andrew Chenge.

Well.. je waridi likiwa na rangi nyingine laweza kuwa si waridi?
Kila ufisadi wa nchi hii utakisikia jina Chenge
 
Katika Uchunguzi wangu wa Kina, nimegundua kuwa Tatizo sio Vodacom Hapa, Tatizo ni UKABILA NA UKANDA ndio unatusumbua kwa sasa.

Wachaga walikuwa very influencial katika siasa za Tanzania, but they lost that status as the time was passing on. Ukiangalia utawala wa Mkapa uliwanufaisha sana wachaga, which has lost in Kikwete leadership. On other hand kwa Kuangalia political Map Rostam Aziz ni influential kwasababu alikuwa na good ties with the lake zone which politically always is a very big decider of Tanzania politics.

Ndio maana ukianza kutaja majina yote ya watu ambao wako associated na Rostam Aziz na VodaCom wote wanatoka kanda ya ziwa, mpaka unakuta hata Lipumba hawezi kuongea against RA

Rostam Aziz ni mnyamwezi, ukiangalia Tabora, Mwanza na Shinyanga mpaka Musoma ukweli ni kwamba kuna waarabu wengi sana ambao ni wafanyabiashara maarufu katika maeneo yao and they have helped those communities for many years.

Why Rostam Aziz ana kiburi? Rostam had legitimate business for so long and if you look back at Mirambo Holdings is one of very reputable investment company in Tanzania for so long.

Kilichoenda kombo ni kwamba Rostam alikuwa ni njia tu ya ku-justify uchotaji wa fedha za CCM ,

why KIKWETE YUKO KIMYA?

Since he drugged RA in this shit hawezi kumsaliti, COST ya yeye kumsaliti is equal to the lose of political map. RA anafahamika Mwanza, Shinyanga, Tabora na Musoma and he is very influential there, calculation ni kura za NEC Mzee, na kanda ya ziwa ndio imempa JK ushindi.

MENGI

Tatizo la Mengi ni kwamba he have been a big fish for so long, akiangalia mwelekeo wa biashara na political influence ilivyopotea kwa wachaga anaogopa. But he has legitimate claims panapoharibika ni kwamba waarabu wengi wenye ugomvi na Mengi ni kutoka kanda ya ziwa, wanajiita wasukuma. So Mengi is in battle to retain his powership/chaga but at the same time anasidia kupambana na ufisadi

Mwisho tulipofika sasa:-

- JK Anaangalia his political future.
- Wasukuma wameshikilia justice department
- Wasukuma,wanyamwezi hawawezi kumwachia RA afe maji
- JK hawezi kuwatosa wasukuma
- Wachaga, they see it is the time for them to gain their political influence
- Wasukuma wanawafunga mafisadi wachaga

NGOMA NZITO MZEE MWANAKIJIJI
Dah! Ama kweli kuishi kwingi ni kuona mengi.
 
Peter Noni na Rostam ni wabia wa biashara (Vodacom). Peter Noni ni shahidi wa serikali katika kesi za EPA zinazoendelea. Alikuwa ni bosi wa kina Imani Mwakosya, Esther Komu na Bosco Kimola. Katika ushahidi wake mwanzoni mwa mwaka huu aliiambia mahakama kuwa malipo ya EPA yalifanyika kwa idhini na ujuzi wa moja kwa moja wa Gav. Ballali. Alishuhudia mwenyewe kuwa taarifa zilitoka kwa Gavana kuja kwake, na baadaye kwenda kwa kina Imani.

Niliandika kwenye kijarida cha Cheche wakati nazungumzia mafisadi (mwishoni mwa mwaka jana) kuwa Peter anatakiwa kuwa miongoni mwa watuhumiwa wa wizi huu lakini nilielewa kwanini asingeweza kusimamishwa kizimbani - kwa sababu ni mtu mmoja ambaye anajua connection ya Rostam.

Mfanyakazi wa BOT ambaye ana uwezo na fedha ya kuanzisha kampuni ya Planetel (ningependa kweli kujua kampuni hii ilianzishwa lini na wana hisa wake!) na kuwa na hisa kubwa tu kule Vodacom ambazo walikuwa waziuze (sijui kama tayari wameziuza) kwa kampuni ya Mirambo inayomilikiwa na Rostam!

Mpango huo ulifanikiwa kwa ushirikiano mkubwa na usaidizi wa aliyekuwa Waziri wa Miundombinu Bw. Andrew Chenge.

Well.. je waridi likiwa na rangi nyingine laweza kuwa si waridi?
Waridi ni harufu rangi zaweza kubadilika kutokana na hali ya hewa na vipindi vya siku
 
Katika Uchunguzi wangu wa Kina, nimegundua kuwa Tatizo sio Vodacom Hapa, Tatizo ni UKABILA NA UKANDA ndio unatusumbua kwa sasa.

Wachaga walikuwa very influencial katika siasa za Tanzania, but they lost that status as the time was passing on. Ukiangalia utawala wa Mkapa uliwanufaisha sana wachaga, which has lost in Kikwete leadership. On other hand kwa Kuangalia political Map Rostam Aziz ni influential kwasababu alikuwa na good ties with the lake zone which politically always is a very big decider of Tanzania politics.

Ndio maana ukianza kutaja majina yote ya watu ambao wako associated na Rostam Aziz na VodaCom wote wanatoka kanda ya ziwa, mpaka unakuta hata Lipumba hawezi kuongea against RA

Rostam Aziz ni mnyamwezi, ukiangalia Tabora, Mwanza na Shinyanga mpaka Musoma ukweli ni kwamba kuna waarabu wengi sana ambao ni wafanyabiashara maarufu katika maeneo yao and they have helped those communities for many years.

Why Rostam Aziz ana kiburi? Rostam had legitimate business for so long and if you look back at Mirambo Holdings is one of very reputable investment company in Tanzania for so long.

Kilichoenda kombo ni kwamba Rostam alikuwa ni njia tu ya ku-justify uchotaji wa fedha za CCM ,

why KIKWETE YUKO KIMYA?

Since he drugged RA in this shit hawezi kumsaliti, COST ya yeye kumsaliti is equal to the lose of political map. RA anafahamika Mwanza, Shinyanga, Tabora na Musoma and he is very influential there, calculation ni kura za NEC Mzee, na kanda ya ziwa ndio imempa JK ushindi.

MENGI

Tatizo la Mengi ni kwamba he have been a big fish for so long, akiangalia mwelekeo wa biashara na political influence ilivyopotea kwa wachaga anaogopa. But he has legitimate claims panapoharibika ni kwamba waarabu wengi wenye ugomvi na Mengi ni kutoka kanda ya ziwa, wanajiita wasukuma. So Mengi is in battle to retain his powership/chaga but at the same time anasidia kupambana na ufisadi

Mwisho tulipofika sasa:-

- JK Anaangalia his political future.
- Wasukuma wameshikilia justice department
- Wasukuma,wanyamwezi hawawezi kumwachia RA afe maji
- JK hawezi kuwatosa wasukuma
- Wachaga, they see it is the time for them to gain their political influence
- Wasukuma wanawafunga mafisadi wachaga

NGOMA NZITO MZEE MWANAKIJIJI
Duh! Interesting. Uchambuzi utadhani Maghufuli
 
Rostam Aziz alisha usoma mchezo mapema kabisa kwamba,baada ya rafiki yake JK kumaliza mda wake wa uongozi atakayekuja kua Rais wa Tanzania hakuwa anajua ni nani! Maana calculations zake zilikua Lowassa,lakini baada ya Lowasa kupigwa chini na Swahiba wake Jk kwenye nafasi ya Uwaziri Mkuu hapo, ndipo palimfanya atambue kwamba mda wa yeye kwenda gerezani ushawadia,ndiyo naama aliachana na nafasi zake zote za uongozi ndani ya CCM.. Maana najua kama Rostam angekua Tanzania,lazima tu kisutu angepata na kujikuta anaenda zake gerezani kama Manji.

Pia akaenda Vodacom, akauza hisa zake zote za Mirambo Holdings,na wakati huu ndiyo mda ambao kina Mwakyembe (Kyela), Marehemu Sitta (Urambo),Anna Kilango,Fred Mpendazoe (Kishapu),Kimario (Vunjo), Lusas Selelii (Nzega) Stella Manyanya walikua na team yao kabisa yakupinga mafisadi... Na ndo kilichosababisha Harrison Mwakyembe kupata maradhi ya wakati ule,maana alipewa sumu na sumu ikaingi kwenye born marrow....

Kundi la mafisadi lililokua linapigwa vita ni Rostam Aziz (Igunga),Edward Lowasa(Monduli) Peter Maganga Noni, Edward Hosea aliyekua Mkurugenzi mkuu wa Takukuru na chain yote ya wizi wa pale EPA, maana michongo yote ya Edward Lowasa na Rostam Aziz ilikua inazimwa na Takukuru,kama mnakumbuka kulikua na uchotaji wa pesa za Kidoga Agriculture Zaidi ya 43B,Hii company ilikua ya Rostam lakin viongozi wa serikalio walikua wanaikingia kifua,kuanzia Mkulu mwenyewe,Zakia Megji aliyekuwa waziri wa fedha,hadi waziri mkuu Pinda alishawahi sema bungeni yuko tayari kusurubiwa lakini hayuko tayari kusemani kampuni ya nani..

Hapa hivi sasa hakuna anayejua Rostam Aziz yuko wapi, anafanya nini,zaidi tu ya Kampuni yake ya Caspian kuwepo hapa Tanzania... Chain ya ufisadi yataka moyo wa dhati kupambana nayo... Unaweza gusa watu ambao ni untouchable na ukajikuta unaishia pabaya tu......
 
LeoKweli... CCM wenyewe wanasema 'chama kama chama hakikumtuma mtu kufanya ufisadi, ni watu wenyewe'.. Hilo swalii la nguvu za RA ni swali ambalo historia itachukua muda kulijibu.

Ndani yao kwenye CCM kuna watu wenye nguvu zaidi (nguvu ya dola) ambao wanaweza kuamuru mvua ikanyesha ikanyesha! RA ana nguvu kubwa, nguvu yake inatokana na ujuzi siyo fedha (kwani wapo wengi tu wenye fedha). Ni nguvu ya mtumishi anayejua nani kafanya nini... ni nguvu aliyoionesha juzi kwenye taarifa yake na ni nguvu aliyoionesha kwa Mtikila...

Kwenye Mafia hakuna mtu ambaye anaogopwa kama anayejua..... ndiyo maana RA hagusiki.... sikiliza maneno yangu: siku RA atasimama na kusema kuwa anataka kusema ukweli juu ya EPA n.k.. that same day itakuwa ni mwisho wake (literally). Amina Chifupa .... Ana nguvu kuliko malaika wa shetani!
And the party is going on ....King maker is again on the wheels of steel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom