Kaniki1974
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 352
- 22
Most BoT directors are very corrupt!
Then mkuu hii ni vita ya kikabila kati ya wasukuma na wachaga!?
Inawezekana maana wengi waliopo mahakamani ni kina Kweka, Komu, Mramba, Mgonja nk
sio kwamba tumeanza kuchanganya mambo? sitaki kuamini kwamba haya ni mapambano ya kikabila. nadhani tuchimbe kwa undani na kurejea historia ya matabaka na historia ya uchumi wa nchi yetukwani kwa kuanza kusema kwamba kuna usukuma na uchaga tunarahisisha mno mambo.
kwa bahati mbaya nilikuwepo pale white house wakati mambo ya ccm kupitishana kugombea kula nchi yetu. Lakini pia bahati mbaya nyingine nilikuwepo pale chimwaga wakati wajumbe wa ccm wanatuchagulia balaa awe rais wa nchi yetu.
Amini usiamini mambo ya ukabila yalipandikizwa na wanamtandao kwa kutumia propaganda kwenye vyombo vya habari ili wawashinde dk.(wa kweli) salim ahmed salim, sumaye na mwandosya.
Watu wa kanda ya ziwa waliambiwa watu wa kanda ya nyanda za juu kusini na kusini wameunda kitu kinaitwa "mtwara corrido' wanataka kuiteka nchi!
Watu wa kusini na ruvuma,iringa na rukwa waliambiwa kuwa wanyakyusa wanamtaka mwandosya ili nchi iendeshwe kikabila. Kanda ya kaskazini wakaambiwa ni heri kikwete kuliko sumaye kwani kikwete ni mtu anayejali sana maslahi ya wamasai chalinze.
Zanzibari wakaambiwa salim ni mpinzani wa mapinduzi ya zanzibar! Kikwete akapita katikakati kama mtakatifu. Hakuna ukabila ila watu wa mtandao ndiyo mpaka leo wanataka kupandikiza hofu ya udini na ukabila!
Peter Noni na Rostam ni wabia wa biashara (Vodacom). Peter Noni ni shahidi wa serikali katika kesi za EPA zinazoendelea. Alikuwa ni bosi wa kina Imani Mwakosya, Esther Komu na Bosco Kimola. Katika ushahidi wake mwanzoni mwa mwaka huu aliiambia mahakama kuwa malipo ya EPA yalifanyika kwa idhini na ujuzi wa moja kwa moja wa Gav. Ballali. Alishuhudia mwenyewe kuwa taarifa zilitoka kwa Gavana kuja kwake, na baadaye kwenda kwa kina Imani.
Niliandika kwenye kijarida cha Cheche wakati nazungumzia mafisadi (mwishoni mwa mwaka jana) kuwa Peter anatakiwa kuwa miongoni mwa watuhumiwa wa wizi huu lakini nilielewa kwanini asingeweza kusimamishwa kizimbani - kwa sababu ni mtu mmoja ambaye anajua connection ya Rostam.
Mfanyakazi wa BOT ambaye ana uwezo na fedha ya kuanzisha kampuni ya Planetel (ningependa kweli kujua kampuni hii ilianzishwa lini na wana hisa wake!) na kuwa na hisa kubwa tu kule Vodacom ambazo walikuwa waziuze (sijui kama tayari wameziuza) kwa kampuni ya Mirambo inayomilikiwa na Rostam!
Mpango huo ulifanikiwa kwa ushirikiano mkubwa na usaidizi wa aliyekuwa Waziri wa Miundombinu Bw. Andrew Chenge.
Well.. je waridi likiwa na rangi nyingine laweza kuwa si waridi?
Mzee Mwanakijiji. Sasa una over-reach. Hivi Noni kuwa mbia na Rostam huko Vodacom basi kumewafanya washiriki katika EPA?
Huyu Rostam ambae unadai kuwa alikuwa ana hisa pamoja na Noni kwenye Vodacom, sasa unadai kuwa alitaka kujiuzia mwenyewe kwenye kampuni ambayo anamiliki? Na huko nyuma mmetuambia kuwa hawezi kuajiri watu 6000 kwa vile hamiliki kampuni!
Zaidi ya yote, tangu lini kuuza na kununua hisa imekuwa ufisadi? Si ndiyo maana tuna stock exchanges?
Chenge kama waziri wa miundombinu ata-facilitate vipi uuzaji wa shares katika private company? Labda utuambie TTCL lakini si Vodacom.
Amandla......
Mkuu nakushauri u google tcra and chenge together... its in the open that he was supporting the change of the law ili mirambo iuze shares zao kwa foreigners. Ndo ujiulize mpaka waziri wa miundombinu anasema haya bila kuwaza implication zake on a wider scale??
ThisDay
"The former Attorney General and infrastructure development minister made no secret of his strong support for plans by the shareholders to sell their stake to foreign investors.Bado unanichanganya. Foreigners hapa ni nani na Mirambo ni nani? Itakuwaje sheria inayoruhusu Mirambo kuuza share zake kwa foreigners imwezeshe Rostam na Noni kuuza share zao kwa Mirambo?
Amandla........
VODACOM SHARES ROW:AG issues legal opinion
THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
ATTORNEY General Johnson Mwanyika has advised the Ministry of Communications, Science and Technology to propose relevant amendments to legislation governing the countrys telecommunications sector in the wake of the row over the intended sale of a 35 per cent stake held by local shareholders in Vodacom Tanzania Limited to foreign investors.
Mwanyika avoided taking sides in the tug-of-war between Vodacoms local shareholder, Mirambo Limited, and the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), and instead suggested that amendments should be made to relevant legislation to resolve the matter.
In a letter addressed to TCRA in May this year, the AG advised the Ministry of Communications, Science and Technology currently headed by Dr Shukuru Kawambwa to initiate a process of amending the existing legislation and regulations.
Regarding the question of Vodacom (T) Ltd shareholder, Mirambo Ltd, wanting to use its shares as collateral for a loan from a foreign bank on condition that the shares can be sold to any non-Tanzanian should the company default on the loan, we wouldnt want to issue an opinion because we are not the appropriate decision-makers on this matter, said Mwanyika in his letter to TCRA, which was also copied to the Ministry of Communications, Science and Technology.
The AG supports the assertion by Vodacoms local shareholders that both the Tanzania Communications Act of 1993 and the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) Act of 2003, which govern the licensing of telecoms firms and most regulatory matters, are silent on the ongoing obligation for Vodacom to retain 35 per cent local ownership after receiving a licence to operate in the country.
However, Mwanyika, who is the governments chief legal advisor, was careful not to make any formal opinion either in favour of the sale of the local shares to foreign investors or otherwise.
Well-placed sources say Vodacoms shareholders are reportedly seeking a loan of more than $20.5m (approx. 27bn/-) from a South African investment bank, using their shares in the mobile phone company as collateral.
According to the shareholders, the foreign bank has set strict conditions that the 35 per cent stake in Vodacom Tanzania should be available for purchase or ownership by a non-Tanzanian entity, before it issues the loan.
The shareholders maintain that the 35 per cent local ownership clause was merely an eligibility requirement for acquiring a telecoms licence in Tanzania, which does not prohibit them from selling their stake to foreigners after Vodacom was granted a licence to operate in the country.
If the minority shares in Vodacom are indeed sold to a foreign company, the telecoms company would thus become 100 per cent foreign-owned, since 65 per cent of the shares are already owned by Vodacom Group (Pty) Limited of South Africa.
Industry watchers say TCRA is fiercely opposed to the proposed sale of the minority shares in Vodacom to would-be foreign investors because doing so would violate the Communications (Licensing) Regulations of 2005, which clearly state that all telecoms companies in the country shall have at least 35 per cent local ownership.
While Mwanyika was careful to avoid directly taking sides in the matter, ex-cabinet minister Andrew Chenge was all-out in favour of the controversial proposal by Vodacoms local shareholders.
The former Attorney General and infrastructure development minister made no secret of his strong support for plans by the shareholders to sell their stake to foreign investors.
Official government records show Chenge advised the Ministry of Communications, Science and Technology, that there was no ongoing obligation for Vodacom to retain its partial local ownership.
He backed the arguments put forward by the local shareholders suggesting that their minority stake was just a requirement for licensing purposes.
Chenge argued forcefully in favour of the local shareholders that it was supposedly well within their rights to sell their stake in Vodacom to foreign investors, even though the existing regulations clearly state that all telecoms companies in the country shall have at least 35 per cent local ownership.
Before Mirambo Ltd, a locally-registered company, bought the minority stake in Vodacom, local shareholders of the company were listed as Caspian Construction Limited (19 per cent) and Planetel Communications Limited (16 per cent).
Vodacom (Tanzania) Ltd, the largest mobile phone operator in the country with more than 5 million subscribers, was licensed in the year 2000.
Kwa bahati mbaya nilikuwepo pale White House wakati mambo ya CCM kupitishana kugombea kula nchi yetu. lakini pia bahati mbaya nyingine nilikuwepo pale Chimwaga wakati wajumbe wa CCM wanatuchagulia balaa awe Rais wa Nchi yetu.
Amini usiamini mambo ya ukabila yalipandikizwa na wanamtandao kwa kutumia propaganda kwenye vyombo vya habari ili wawashinde Dk.(wa Kweli) Salim Ahmed Salim, Sumaye na Mwandosya.
watu wa kanda ya ziwa waliambiwa watu wa kanda ya Nyanda za juu kusini na kusini wameunda kitu kinaitwa "mtwara Corrido' wanataka kuiteka nchi!
watu wa kusini na Ruvuma,iringa na Rukwa waliambiwa kuwa Wanyakyusa wanamtaka Mwandosya ili nchi iendeshwe kikabila. kanda ya kaskazini wakaambiwa ni heri Kikwete kuliko Sumaye kwani Kikwete ni mtu anayejali sana maslahi ya wamasai chalinze.
Zanzibari wakaambiwa Salim ni mpinzani wa Mapinduzi ya Zanzibar! kikwete akapita katikakati kama mtakatifu. Hakuna ukabila ila watu wa mtandao ndiyo mpaka leo wanataka kupandikiza hofu ya udini na ukabila!
Afazali uwaaambie watu Ukweli, Hawjui Kuwa hizi siasa zipo sana CCM na Tanzania kwa ujumla.Watu wanafikiri kusema ukweli ni dhambi, we need to say these things so that they dont keep us hostage.
LeoKweli... CCM wenyewe wanasema 'chama kama chama hakikumtuma mtu kufanya ufisadi, ni watu wenyewe'.. Hilo swalii la nguvu za RA ni swali ambalo historia itachukua muda kulijibu.
Ndani yao kwenye CCM kuna watu wenye nguvu zaidi (nguvu ya dola) ambao wanaweza kuamuru mvua ikanyesha ikanyesha! RA ana nguvu kubwa, nguvu yake inatokana na ujuzi siyo fedha (kwani wapo wengi tu wenye fedha). Ni nguvu ya mtumishi anayejua nani kafanya nini... ni nguvu aliyoionesha juzi kwenye taarifa yake na ni nguvu aliyoionesha kwa Mtikila...
Kwenye Mafia hakuna mtu ambaye anaogopwa kama anayejua..... ndiyo maana RA hagusiki.... sikiliza maneno yangu: siku RA atasimama na kusema kuwa anataka kusema ukweli juu ya EPA n.k.. that same day itakuwa ni mwisho wake (literally). Amina Chifupa .... Ana nguvu kuliko malaika wa shetani!