Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Amekimbia!! Pia Mahakama wangepata reference anaweza kwenda kwenye redio binafsi tena saa 1 asubuhi anashindwa kwend mahakamani!! Pia atazidi kujikoroga! Naona anajuta kw nini alikuwa kimbelembele!! Nimeona clip ya wazazi wake wanaongea na media hadi huruma!! Anawatesa wazazi waanze kudanganya na kusema uongo!! Yamemkutaa
Daaa, nin kilimtuma lkn. Ona sasa wazazi wanateseka. Iyo clip mkuu na mim nisikie
 
Nawaomba tuwasadie NECTA jamani, kama kuna mtu anatumia cheti cha mtu mwingine kwa mujibu wa tangazo
 

Attachments

  • IMG-20170223-WA0073.jpg
    IMG-20170223-WA0073.jpg
    15.7 KB · Views: 38
Ila kiukweli Le Mutuz rudisha jeshi nyuma ujipange, hakika hawa wanaokuzodoa humu ni vijana rika la wanao (kwa umri ulionao) na ni ukweli usiopingika kwamba unajihusisha sana na vijana umri wa wanao,hii ni aibu kubwa. Mwisho, si lazima uwe mpambe/pariparii kwa watoto ili uishi,huwa najisikia vibaya sana unapotukanwa na vijana wenye umri wa kuwazaa. Pumzika Le Mutuz walau uishi maisha ya heshima katika muda huu uliobaki wa wewe kuwepo duniani kabla mwenye roho yake (Mungu) hajaichomoa.
Unafikiri anaelewaga somo basi huyo, kikawaida Binadamu ubongo huwa unakomaa kadili anavyo kuwa Ila kwahuyu hiyo process imeenda kinyume
 
Tushindwe kufanya mambo ya msingi et kisa kujibu tuhuma ambazo zimezushwa na mkata kiuno Mange kimambii

Hayo mambo ya msingi yanafanyiwa huku Jf tena kwenye uzi huu , em tutolee unafki
 
Nafikiri kutokana na kadhia inayomkabili makonda ya kuwa alinunua cheti ama la, mamlaka ya uteuzi inatakiwa ituondolee hii sintofahamu kwa kufanya uchunguzi kubaini ukweli upo wapi
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Necta mpo wapi muda huu hata kauli hamjatoa, hii double standard sio nzr mlikuwa mnawasakama mijusi wakati joka (Daud bashite) anatamba ofisni kwake na cheti fake
 
Ngoja na yeye aonje machungu kama alivyowafanyia wengine pia, ukitka kufanya jambo ambalo linagusa maslahi ya watu hakikisha ya kwamba wewe mwenyewe ni msafi
 
Ha ha ha....!

Utetezi wa kitoto sana.

Sasa
mlikuwa mnasumbua wafanyakazi kwenye msako wa vyeti feki ili nini?

Ilhali kama unachapa kazi hakuna shida?
Mpaka sasa mambo mengi sana yamesimama kwasababu ya uhakiki,ilifika kipindi hata mikopo ilisimama kwa wafanyakazi halafu leo anakuja mtu anasema hakuna tatizo?
 
Labda ataandaa press conference kubwa pale ukumbi wa Mwalimu Nyerere na kuita vyombo vyote vya habari,mashehe,mapadri,MC wa shughuli,wanafunzi aliosoma nao form4 na walimu waliomfundisha na vikundi mbalimbali vya kumshangilia akiwa anatoa ufafanuzi wa vyeti inawezekana ameona kwa shughuli hiyo yote pale clouds hapatatosha😀😀.SHUBAAAAAMIT
 
Hatimae Makonda kaanza kuishi kwa kujificha ficha.
Niliona clip siku anamchongea Kabwe (rip) nilishangaa huyu kiumbe ni wa aina gani. Raha yake ni kuona wengine wanaumia, Sijui kama familia ile inaweza kusahau.
 
Jamani Mimi huwa naamini humu jamii forum tuna watu wa kila aina...secta zote tunao..
Inaamaana tumekosa mfanyakazi wa necta atusaidie hii kazi ya kupata matokeo ya huyu Daud Bashite na matokeo ya paul Christian makonda??
Watumishi wa necta mliopo humu Jf tusaidiane ktk hili jambo jamoney hahaaaaaaaaaaaa
I wish I KUDU Bi a chair person of NECTA...# in baba Jessica voice[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
Yangekuwa hayana utata yangeshaletwa shikamoo Mange!
 
Yangekuwa hayana utata yangeshaletwa shikamoo Mange!

Ni kweli kabisa!!!
Siku zote watu waliopitia short cut kupata nafasi za juu kiuongozi au madaraka huwa na haiba ya kuropoka, kukurupuka, , wana dharau na wapenda sifa kupita kiasi!! Fuatilia utawajua tu tena awamu hii ya tano ndo wamejaa sana. Shame on them!!![emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa namna ninavyomfahamu huyu jamaa, kama angekuwa kasingiziwa wakati hakufoji na vyeti anavyo visivyo na shaka lolote, nadhani angeahirisha safari ya nje ya nchi akaja na mavyeti yake tena kwa makomfidensi ili kuwatahayarisha watesi wake. Sasa nashangaa kuona anakwepa kutolea maelezo tuhuma zinazomkabili
Tena angewapa vyeti wanahabari watoe nakala kabisa kama alivyowapa yale majina ya vita vyake feki vya unga.
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.

RC Makonda huu ni upepo wa wafitini wako, wenye chuki binafsi na wafuasi wa wale kujivua gamba na chadema ambao wanataka kutumia VITA uliyoanzisha ya Wauza Madawa y Kulevya kama platform ya kukushambulia. Simama imara Mungu yuko nawewe utashinda na utavutagh'ambo.
Bila wewe hatua iliyofikiwa sasa na serikali ya awamu ya tano kwenye kupambana na biashara haramu ya "unga" ISINGEKUWAHAPO. Mungu akupe moyo na akulinde
 
RC Makonda huu ni upepo wa wafitini wako, wenye chuki binafsi na wafuasi wa wale kujivua gamba na chadema ambao wanataka kutumia VITA uliyoanzisha ya Wauza Madawa y Kulevya kama platform ya kukushambulia. Simama imara Mungu yuko nawewe utashinda na utavutagh'ambo.
Bila wewe hatua iliyofikiwa sasa na serikali ya awamu ya tano kwenye kupambana na biashara haramu ya "unga" ISINGEKUWAHAPO. Mungu akupe moyo na akulinde
asa kama ana cheti chakwake hakina ujanja si aweke hadharan kwan nn bana mbna wengine hata ukitaka mda wowote tunaojiamin na vyeti vyetu tunaweka tu.yy kama anacho mali yake aweke mambo hadharan ujanja ujanja hakuna tena
 
Back
Top Bottom