Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Paul Makonda Ameingia Mitini, hatahudhuria Power breakfast ya Clouds FM

Mkuu wa mkoa wa Dsm Ndg. Daud Bashite ubishi wa nini jiuzulu goma hili limekaa vibaya unataka mpaka utolewe kwa Bulldozer
 
Hili jambo linalo zungumzwa yapata wiki nzima sasa si jambo dogo kabisa, inabidi lifikie tamati yake,na ili lifikie tamati yake mimi namshauri RC makonda (kwa ujasiri alioonyesha kwenye uongozi wake tangu akiwa kada UVCCM,DC,RC) atoke hadharani aitishe press conference pale ofcn kwake ili kukata mzizi wa fitina. Kama RC aliweza kusimamia issue ya scorpion na akaita press conference pale ofcn wake, hebu abebe ujasiri wa kumaliza hili jambo. Hakika anamweka Mh.Raisi katika wakati mgumu machoni pa Watanzania,kwamba amesimamia zoezi la watumishi hewa na wale wasio na sifa za vyeti kwenye ajira walizo kuwa nazo. Wote walishugulikiwa kufuatana na sheria za nchi. Sasa kijana wangu RC Makonda Kata mzizi huu wa hizi hadithi kwa kuwa mwenye ukweli ni wewe
Uko sahihi mkuu,lakini kama alikuwa hana kweli atakataje fitna?Suala la cheti feki siyo suala dogo mkuu.
 
Lemutuz si katika kila jambo unatakiwa kuonyesha unaegemea wapi ? Mwache RC Makonda ajibu tuhuma hizi yeye binafsi, itakuwa ni akili ya pariiparii wewe kujigeuza kuwa mtetezi wa Makonda kwenye issue sensitive kama hii.Hivi ikitokea mtu akagundua mmoja wa wafanyakazi katika ofc yenu ana vyeti vya kugushi, unataka kuniaminisha kwamba itabidi unyamaze kwa kuwa mwajiri wake ambaye hana taarifa, ndiye muhusika mkuu. Plz jiongeze walau kwa centimeter
 
Lemutuz si katika kila jambo unatakiwa kuonyesha unaegemea wapi ? Mwache RC Makonda ajibu tuhuma hizi yeye binafsi, itakuwa ni akili ya pariiparii wewe kujigeuza kuwa mtetezi wa Makonda kwenye issue sensitive kama hii.Hivi ikitokea mtu akagundua mmoja wa wafanyakazi katika ofc yenu ana vyeti vya kugushi, unataka kuniaminisha kwamba itabidi unyamaze kwa kuwa mwajiri wake ambaye hana taarifa, ndiye muhusika mkuu. Plz jiongeze walau kwa centimeter
Mkuu unakosea jina huyu anaitwa Daud Albert Bashite sio Paul Makonda
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.

- Angeenda ningemshangaa Rais wa Mkoa wa Wananchi Millioni 8 aache kazi za Wananchi wote hao kwenda kujibu wajinga wachache kwenye Social Media wanao ongozwa na watuhumiwa wa Madawa ya Kulevya? Duh sasa itakuwa Serikali au kusadikika hiyo yaani Social Media wakidai tu Kiongozi wa Taifa aache kazi na kwenda kujibu, kha!

le Mutuz
 
Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.

My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Usiangaike sana huyu bwana hawahi kusoma kisato cha NNE na kama cheti cha kwake na kina division 1 kwa anavyopenda masifa angemtuma MTU wake akilete studio au akionyeshe kwenye mitandao tumuone jpm kama ni mpenzi wa mungu,amewahenyesha watumishi wa uma kwenye uhakiki kumbe kaweka wakuu wa mikoa walooiba vyeti vya wengine
 
- Halafu it is about time mkubaliane mashitaka yenu dhidi ya RC, anaitwa Daudi au alinunua jina la Christian Paul Chagueni moja cuase mnatuchanganya

le Mutuz
Hivi watu wa design yako huwa mnajiuliza kwamba kuna siku watu mnaowalamba viatu hawatokua kwenye system?
 
- Angeenda ningemshangaa Rais wa Mkoa wa Wananchi Millioni 8 aache kazi za Wananchi wote hao kwenda kujibu wajinga wachache kwenye Social Media wanao ongozwa na watuhumiwa wa Madawa ya Kulevya? Duh sasa itakuwa Serikali au kusadikika hiyo yaani Social Media wakidai tu Kiongozi wa Taifa aache kazi na kwenda kujibu, kha!

le Mutuz

Mkuu:
Sasa Wewe unapenda/unatetea uhalifu uendelee.
Kwani kuna ubaya gani mtu akijitokeza na kujisafisha yeye mwenyewe.
Hii inatupa dhana ya wewe ni mtu wa aina gani.
 
- Halafu it is about time mkubaliane mashitaka yenu dhidi ya RC, anaitwa Daudi au alinunua jina la Christian Paul Chagueni moja cuase mnatuchanganya

le Mutuz
ddb85eb4c0f4126cb114925a562e8952.jpg

Mimi sina neno.
 
- Angeenda ningemshangaa Rais wa Mkoa wa Wananchi Millioni 8 aache kazi za Wananchi wote hao kwenda kujibu wajinga wachache kwenye Social Media wanao ongozwa na watuhumiwa wa Madawa ya Kulevya? Duh sasa itakuwa Serikali au kusadikika hiyo yaani Social Media wakidai tu Kiongozi wa Taifa aache kazi na kwenda kujibu, kha!

le Mutuz
Kama kuna mtu anaitwa kinje
 
Kwani NECTA hakuna watu wakuleta uthibitisho wa division zero ya Makonda? Mbona za mke wa Magufuli walileta.
New news, mke wa boss alipata zero, weka ushahidi. Basi NECTA watoe ushahidi huo and the game is over!
 
- Angeenda ningemshangaa Rais wa Mkoa wa Wananchi Millioni 8 aache kazi za Wananchi wote hao kwenda kujibu wajinga wachache kwenye Social Media wanao ongozwa na watuhumiwa wa Madawa ya Kulevya? Duh sasa itakuwa Serikali au kusadikika hiyo yaani Social Media wakidai tu Kiongozi wa Taifa aache kazi na kwenda kujibu, kha!

le Mutuz
Hapo penye nyekundu: Haya ni mahaba tu hakuna Raisi wa mkoa wala Wilaya etc. Bahati mbaya wengine wakipakwa mafuta haya hujisahau wakadhani kweli wao ni maraisi ka JPM. Hii sio dhana ya kuendekeza.
 
Haya mambo ifike pahala yaishe.
Kama taifa habari kuu kuwa hii kila wakati haina Afya.
Wanaosema amefoji wadhibitishe na kutoa ushaidi. Vyombo vya serikali wamsafishe au wamlime kieleweke.
It is so simple.... Hill jina la Daudi Bashite ..necta watuambie kama linewahi kufanya mtihani.... Before nation exam tunajaza forms zenye picha za mtahiniwa... Zipatikane tujue ni yeye. Shule tajwa hawezi kukosekana msema ukweli hata mmoja.naamin katika kubadili majina kama umeapa... Ila tujue kuna udhaifu Mkubwa katika utaoji wa vyeti vya kuzaliwa. People do play around... Kipaimara na " kukomunika" alitumia majina gani?. Namna ya kupata ukweli haraka na mjadala huu ukafungwa IPO.
Vinginevyo tusije jikuta tunacheza ngoma yake au ya wabaya/wapinzani. wake. Kwamba anayaanzisha mwenyewe aendelee kuwa masikioni mwetu au wanaomwonea wivu/ anaowabana wanataka kumwaribia.Tanzania INA changoto nyingi kuliko hili.Above all hatuna set ya academic qualifications za nani awe RC/DC. Wenye ushaidi tangible wawasilishe mitandaoni tuondokane na hili.
 
- Angeenda ningemshangaa Rais wa Mkoa wa Wananchi Millioni 8 aache kazi za Wananchi wote hao kwenda kujibu wajinga wachache kwenye Social Media wanao ongozwa na watuhumiwa wa Madawa ya Kulevya? Duh sasa itakuwa Serikali au kusadikika hiyo yaani Social Media wakidai tu Kiongozi wa Taifa aache kazi na kwenda kujibu, kha!

le Mutuz
Unatakiwa umshangae kwanza huyo Mkuu wako aliyejikoki kuwa anaenda.
Kwano social media ndo zilimwita clouds?.
Jiongeze kwanza.
Upambe utakuumbua mkubwa mzima.
 
- Sasa umeshawahi kujiuliza mtu kama wewe unayewalamba maadui wa Viongozi wa Serikali nini hatma yako?

le Mutuz

I ain't kissing nobody's ass;Nadhan mwaka huu unatimiza 60 umri wa mstaafu lakin unatumia muda mwingi kusifia na kutetea wanaume wenzio uliowazid umri alafu unajiita akili kubwa!ulipoteza wapi miaka yako 60 kwa kutojipanga?wewe haukua mtu wa kupoteza muda kuhaha mitandaon kumtetea politician ili uishi mjini ulikua na exposure na ungejipanga ulitakiwa uwe unasifiwa na kutetewa now but it is too late damn wewe ni wa kuwa level ya Steve Nyerere?
 
Kama cheti siyo chake basi ni kinyume cha maadili katika tasnia ya taaluma. Ila siyo lazima kutumbuliwa kwa kuwa anachapa kazi sana
Especially kama anathubutu kufanya kazi anayo ifanya kwa ajili ya vizazi vyetu...eh Mola mlinde Paul Daudi kwa kifupi RC wetu na mjalie baraka zote!
 
Back
Top Bottom