mgoloko
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 4,806
- 3,996
Mkuu angalia jinsi madogo wanavyopata tabu halafu mjinga2 fulani anakisubir akitumie! Necta mpo wapi Makonda anatumia cheti cha mtu mwingine ilhali nanyi mlitoa tangazo tuwafichue!
Mkuu angalia jinsi madogo wanavyopata tabu halafu mjinga2 fulani anakisubir akitumie! Necta mpo wapi Makonda anatumia cheti cha mtu mwingine ilhali nanyi mlitoa tangazo tuwafichue!
Ningekuwa mimi ningekitoa kupitia magazeti tena kwa kujiamini sabb najua ni changuasa kama ana cheti chakwake hakina ujanja si aweke hadharan kwan nn bana mbna wengine hata ukitaka mda wowote tunaojiamin na vyeti vyetu tunaweka tu.yy kama anacho mali yake aweke mambo hadharan ujanja ujanja hakuna tena
asa kama ana cheti chakwake hakina ujanja si aweke hadharan kwan nn bana mbna wengine hata ukitaka mda wowote tunaojiamin na vyeti vyetu tunaweka tu.yy kama anacho mali yake aweke mambo hadharan ujanja ujanja hakuna tena
Ni mtu mpumbavu tu ndiye anaweza kufanya hivyo, ku-react kwenye ujinga na uhasama na siasa za mitandaoniNingekuwa mimi ningekitoa kupitia magazeti tena kwa kujiamini sabb najua ni changu
OhooooNawaomba tuwasadie NECTA jamani, kama kuna mtu anatumia cheti cha mtu mwingine kwa mujibu wa tangazo
ndio inatakiwa yan kama n chako huwez kuwa muoga hata cku moja ndugu yanguNingekuwa mimi ningekitoa kupitia magazeti tena kwa kujiamini sabb najua ni changu
kwan kwenye redio clouds alitaka kwenda kufanya nn?sialitaka kweda kijisafisha na skendo?aweke awafunge mdomo na navomjua angekua ashakiwekaKwa kitu gani cha maana aweke mtandaoni. Atakuwa mjinga sana kama atafanya kazi kwa uzushi,ufitini, na upumbavu unaofanywa kwenye mitandao
HaswaaaNingekuwa mimi ningekitoa kupitia magazeti tena kwa kujiamini sabb najua ni changu
Tatizo ni hai wanaojiita waandishi wa habari za kiuchunguzi...wanamuuliza Makonda mwenyewe eti.Unashindwa nini wewe kama mwandishi wa habari kufatilia kote makonda alipopita kuanzia jina la ukoo wao,shule ya msingi,sekondari hadi chuo.TSM9 yake alipojiunga form one ina jina gani?Cheti chake cha kidato cha nne kina jina linalofanana na jina la kwenye TSM9?Haya mambo ni magumu! Sidhani kama amesingiziwa. Haya yalikuwa yanafanyika sana tena sana. Makonda kijana wa juzi taarifa zake zipo NECTA, it is easy to trace!
Wewe ndiye ulimwita clouds na kumpa hadidu za rejea za mahojiano. Chuki binafsi zitawamaliza, utafikiri wake wenza. !!!!!!!!!!!!!!kwan kwenye redio clouds alitaka kwenda kufanya nn?sialitaka kweda kijisafisha na skendo?aweke awafunge mdomo na navomjua angekua ashakiweka
Yop! THE ONE AND ONLY PAUL MAKONDA....IYEEEIIÌAaaaahahaha.. Awesome??? Who? Konda!! Aaaaaahahahahahahahahshahahahhaaaaaaaaaaa
hahaa usipanic ww alaa mbona ishu zote wanafnya na media afanye tu na hili awaite waandushi pia aoneshe chetiWewe ndiye ulimwita clouds na kumpa hadidu za rejea za mahojiano. Chuki binafsi zitawamaliza, utafikiri wake wenza. !!!!!!!!!!!!!!
Maandiko matakatifu yanasema kwamba , nanukuu , " SIKU YA MWISHO KILA GOTI LITAPIGWA "Imetangazwa hivi sasa kwamba RC wa Dar hatakuwepo leo asubuhi Clouds FM kama ilivyokuwa Imetangazwa jana.
Amepata majukumu ya kitaifa.
My Take:
Ukweli utajulikana tu kama yeye ni Daudi Albert Bashite au Paul Christian Makonda.
Waandishi wa Habari za kiuchunguzi fanyieni kazi hili suala liishe.
Sasa nafikiri it's high time waandishi wa Habari za kiuchunguzi wafanyie kazi hili jambo liishe...
I wish I KUDU BI Mwandishi wa Habari.. chaaa!!
The one and only??? Paul christian makonda? Or david albert bashite?? Shame on himYop! THE ONE AND ONLY PAUL MAKONDA....IYEEEIIÌ
Shame on you and good bye.,,sina muda nawe maana una ni kera.,,time ya mapesa sasa..endelea kukaa kijiweni.,have a nice life! Naku ignore! Usihangaike kunijibu!The one and only??? Paul christian makonda? Or david albert bashite?? Shame on him
Lazima ukimbie ukweli kam ndugu yako konda anavokimbia kusema ukweli.... Pole lakin. Tunabadilishana mawazo tu umu no ugomvi. Good bye tooShame on you and good bye.,,sina muda nawe maana una ni kera.,,time ya mapesa sasa..endelea kukaa kijiweni.,have a nice life! Naku ignore! Usihangaike kunijibu!