..haa haa, mkuu nasikia walikodiwa na ccm huko lumumba!Red Brigade wametumika tukio la jana!!!
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa
Mbona unatokwa na povu sana wewe gamba mchumia tumbo,unamtetea makonda as if ni mume wako,au ni mime wako!!be a man jenga hoja sio kukejeliana hapa.Una ushahidi kuwa Makonda kampiga Warioba? Kama unampenda huyo babu wako si ungeenda jana kumlinda na kumtetea? Umejaa unafiki tu na ufedhuli kama dada changu. Haya ndo madhara ya kutumika. Yaani hadi unatia huruma. Utatumika wee
mwisho wa siku unatupwa jalalani
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
teh teh, lini aliwatetea vijana masikini? Makonda hana utetezi wowote ndani ya nchi hii zaidi ya kutumikia tumbo lake tu.Hivi zile vurugu ziliandaliwa ili kumchafua Makondan nini? Bora kijana mtetezi wa vijana maskini aweke mambo hadharani.
Mkuu, kwani na wewe unaungana na kibo10?
hakuna utofauti uliopo kati ya wewe na yeye zaidi ya kulamba viatu vya mafisadi na makuwadi wao!Kwani wewe u ajua nini zaidi ya kutumika tu na mafisadi?
Una ushahidi kuwa Makonda kampiga Warioba? Kama unampenda huyo babu wako si ungeenda jana kumlinda na kumtetea? Umejaa unafiki tu na ufedhuli kama dada changu. Haya ndo madhara ya kutumika. Yaani hadi unatia huruma. Utatumika wee mwisho wa siku unatupwa jalalani
aliyeanzisha fujo anafahamika, walioandaliwa kwa kunyanyua mabango wapo na wanadunda tu, hakuna kisichofahamika mkuu..Naomba mwenye ile picha ya kijana wa Chadema kwenye mdahalo akimtimba mateke msichana aiweke hapa tafadhali maana ndiye aliyeanzisha fujo
Hata akijitetea hawezi kuharibu ushahidi na hata nafsi yake inamsuta, mtoto kakosa nidhamu, mjinga na m.p.mbavu sana
Naomba mwenye ile picha ya kijana wa Chadema kwenye mdahalo akimtimba mateke msichana aiweke hapa tafadhali maana ndiye aliyeanzisha fujo
Hata mimi nimemsikia asubuhi akihojiwa clouds FM, PB kuwa ameitisha press conference ili aweze kuzungumza kilichotokea.
Clouds kama kawaida yao naona wamempa airtime Makonda ili ajitetee mbele za watu.
tangu jana nimenuna tu ila leo nimevunja mbavu,Mkuu Ocampo hebu ni pm namba yako ya simu nikutumie mpesa kidogo! Kweli ulimtandika huyu jamaa? Mngekuwa kumi tuu kama wewe walah nakuambia leo tungekuwa tunaanda mazishi ya kijana mjinga wa nchi hii.
NB: Usinitumie namba maana siwezi kukutumia mpesa maana sijasikia Makonda kalazwa hospitali yeyote hapa mjini.
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa