Paul Makonda ni matumaini yangu katika Maombi yako 12 uliyoyaandika kwa Mtume Mwamposa, haya Muhimu hukuyasahau

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,647
109,036
1. Mungu wa Mwaposa nisaidie Makonda nisiwe na Kiherere.

2. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nisiwe Jeuri kwa Wakubwa zangu

3. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nikamwombe Radhi Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Warioba baada ya Kumpiga na Kumkata Mtama Kipopoma.

4. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nitubu kwa Watanzania wote kwa Kuwadanganya kuhusu Jina langu ambalo Kiuhalisia naitwa Daud Albert Bashite.

5. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda niende Kaburini kwa Ben Saanane na nimtafute popote alipo Tundu Lissu nikawaombe Msamaha kwa yaliyowatokea nikiwa na Dhamana ya Ubabe wa Kulindwa na Baba Kwaheri Milele.

6. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nirudishe Mali zote zisizo zangu na halali kwa Wenyewe nikianza na za Yusuf Mehboob Manji.

7. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda niende katika Ofisi za Clouds Media Group na nikawaombe Radhi kwa niliyowatendea nikiwa na Ubabe wa Kimamlaka niliopewa na Baba Kwaheri Milele.

8. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nisiendelee tena Kushinda Beach Kidimbwi Mbezi Beach na Wahudumu akina Zai na Mariam Gizani huku Mbu wa Malaria wakitutafuna tu.

9. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nipate Ujasiri wa Kuwaeleza Watanzania kwanini Wafanyabishara wengine wa Dawa za Kulevya niliwataja na wengine sikuwataja na niliwatetea kwa Nguvu kubwa.

10. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda niache kuwa na Sifa za Kipuuzi, Kitoto na zinazoboa vile vile.

11. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda niende Mkoani Kagera na nikalitafute Kaburi la Genius and Entertainment Guru Ruge Mutahaba nilipigie Magoti na niombe Radhi kwa nilichomfanyia.

12. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nami niwe Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kama GENTAMYCINE wa JamiiForums bila ya kusahau Kuihamishia Nyota yake Kali Kwangu.
 
N
1. Mungu wa Mwaposa nisaidie Makonda nisiwe na Kiherere.

2. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nisiwe Jeuri kwa Wakubwa zangu

3. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nikamwombe Radhi Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Warioba baada ya Kumpiga na Kumkata Mtama Kipopoma.

4. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nitubu kwa Watanzania wote kwa Kuwadanganya kuhusu Jina langu ambalo Kiuhalisia naitwa Daud Albert Bashite.

5. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda niende Kaburini kwa Ben Saanane na nimtafute popote alipo Tundu Lissu nikawaombe Msamaha kwa yaliyowatokea nikiwa na Dhamana ya Ubabe wa Kulindwa na Baba Kwaheri Milele.

6. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nirudishe Mali zote zisizo zangu na halali kwa Wenyewe nikianza na za Yusuf Mehboob Manji.

7. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda niende katika Ofisi za Clouds Media Group na nikawaombe Radhi kwa niliyowatendea nikiwa na Ubabe wa Kimamlaka niliopewa na Baba Kwaheri Milele.

8. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nisiendelee tena Kushinda Beach Kidimbwi Mbezi Beach na Wahudumu akina Zai na Mariam Gizani huku Mbu wa Malaria wakitutafuna tu.

9. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nipate Ujasiri wa Kuwaeleza Watanzania kwanini Wafanyabishara wengine wa Dawa za Kulevya niliwataja na wengine sikuwataja na niliwatetea kwa Nguvu kubwa.

10. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda niache kuwa na Sifa za Kipuuzi, Kitoto na zinazoboa vile vile.

11. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda niende Mkoani Kagera na nikalitafute Kaburi la Genius and Entertainment Guru Ruge Mutahaba nilipigie Magoti na niombe Radhi kwa nilichomfanyia.

12. Mungu wa Mwamposa nisaidie Makonda nami niwe Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer kama GENTAMYCINE wa JamiiForums bila ya kusahau Kuihamishia Nyota yake Kali Kwangu.
No. 8🤗
 
Back
Top Bottom