Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Huo ushahidi wa Makonda kumpiga Warioba mbona hamuuweki hadharani?
 
Salaam!
Wakuu kuna tetesi zimeanza kuenea kuwa leo Paul makonda anataka kufanya press Conference ili kujisafisha na tuhuma nzito zinazomkabili kuhusu kumpiga mzee wetu waziri mkuu mstaafu jaji Joseph Warioba,Hii ni dharau kwa taifa na watu wake tuhamasishane kupitia hapa na kuwaomba wahariri wote wagomee kwenda kumsikiliza huyu bwana mdogo kama tetesi hizi zitakuwa na ukweli ndani yake.
Nawasilisha!


kwanini hadi sasa BADO POLISI HAWAJAMKAMATA MAKONDA AU KUMUHOJI TU .....KWELI HE CAN JUST GET AWAY WITH THIS ....HII ITAKUWA DHARAU KUBWA KWA WASTAAFU WANAOLINDWA NA PSU...
MNAKUMBUKA HATA YULE ALIYEMPIGA MZEE MWINYI ALIFUNGWA KWELI HUYU ANATAMBA HADI ANAONGEA NA PRESS ..SHAME SHAME SHAME !!!

KENYA PAMOJA NA UPINZANI MKALI KATI YA KENYATTA NA RAILA KUNA MTU ...MWENDAWAZIMU ALIMCHAPA BAKORA MOJA RAILA AKAKAMATWA NA KUSHITAKIWA ...UKIMPIGA WARIOBA ...HUJAMPIGA YEYE BALI UMEPIGA SYSTEM KWA KUWA ANALINGWA NA SYSTEM ..BAD PREDECENCE
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju

acha ujinga wewe mimi nilikuwepo na ushaidi upo
 
Kwani hiyo midahalo ina umuhimu gani zaidi ya kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani?


ndio maana makonda alimpiga huyo mzee kwa madai kuwa anachochea vurugu?
hii laana itamtafuna mpaka kizazi cha nne>
 
Mkuu, kwani na wewe unaungana na kibo10?

Suala ni kuungana na mtu au ni kuangalia ukweli ni upi na hoja ni ipi?.Kumbe uvccm na chama chenu huwa mnaungana kumbadili kondoo ili aonekane ni ng'ombe ?.
 
Hata mimi nimemsikia asubuhi akihojiwa clouds FM, PB kuwa ameitisha press conference ili aweze kuzungumza kilichotokea.

Clouds kama kawaida yao naona wamempa airtime Makonda ili ajitetee mbele za watu.

Labda ungeweka hicho kipande cha audio ya Clouds Fm asubuhi kwenye PB ndio kidogo tunaweza kuelewana.
 
Najaribu kutafuta link kati ya hizi picha mbili sipati. Moja ya jana 2014 na ya pili ni ya July 2012.
Kuna mtu yoyote mwenye maelezo yakinifu juu ya haya?
pm.jpg pm1.jpg
 
Kinachonisikitisha ni kwamba eti Paul Makonda bado anapumua kwa njia ya kawaida na siyo kwa mashine. Hivi waliojidai wamemshughulikia mlimpapasa au aligeuka jini akakimbia? I'm very dissapointed na waliokuwa ukumbini kumwacha huyu ISIS kuondoka!!!!:angry:
 
Hivi mtu anauliza ushahidi. Lazima utakuwa ww ni kichaa. Hivi kamera zote,TV nzima, watu wote wailiokuwepo wameona na imerekodiwa. Halafu mpuuzi mmoja huku anasema huyo konda anasingiziwa. Unafiki wa kitouo. Nashauri Afunguliwe mashataka aone kama hajanyea ndoo miaka.Kuna sheria inawalinda viongozi dhidi ya wahuni.Nyambaf
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
haa haa ndo mlivyoelekezana huko lumumba? Makonda kuanzia sasa awe makini, wazalendo wa taifa hili bila kujali vyama tutamshughulikia tu, haiwezekani waziri mkuu mstaafu akadhalilishwa na wahuni wachache hivihivi tunaona!
 
..hata akusanye vyombo vya habari vingi kiasi gani, hatafanikiwa kujisafisha kamwe! Huyu amekidhalilisha chama chake, ameidhalilisha jamii yake na familia yake, mbaya zaidi amewadhalilisha vijana wa taifa hili pia!
 
nchi hii imesajili chama cha chadema cha ushakunaku pamoja na wafuasi wake unamkuta kijana anasema yeye chadema wakati suruari kavaa matakoni kata K

Yule mmiliki wa Home shoping Center aliyepewa ubalozi wa heshima kule China ni wa chama gani maana mavazi yake mengi ni kata K.
 
Back
Top Bottom