Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Huyo makonda si yuko humu mbona toka jana amekuwa mpole maana huwa ni mwepesi sana wa kukimbilia humu jf kutoa ufafanuzi.
 
Sina jazba na wala sina hasira. Ni ekuambia ukweli. Paul Makonda level yake ni na Mwenye Mbwa. Si wewe mbwa
Uko sahihi kabisa Makonda siyo level yangu, kwani hata kidogo siwezi kuwa mjinga na mpu..mbavu na kufanya kitendo alichofanya, hata mtu aliye mirembe awezi kufanya alichofanya bwana Daudi Makonda ni mtu mjinga, muhuni na m.p.mbavu tu ndiyo anaweza kufanya what he did
 
ilioni 50 ya posho, inamsumbua Paul C. Makonda. Unayecheza naye ni jaji mstaafu. Akija kuangalia vifungu, unaweza kujikuta pesa yote, unaimalizia kwa kesi, na baadaye unakwenda kunya kwenye ndoo huko jela.
Mpwa umeongea Point sana leo kwa mara ya kwanza tangu umeoa, MUNGU akubariki japo hukunialika kwenye ndoa. Paul alianza kumtusi huyu mzee kule bungeni bado hajaridhika katoka kamfuata huku nako. Kweli paul hana busara na kama kweli ana wazazi basi watamkemea kwenye hili
 
Huko mahakamani atampeleka nani na kwa ushahidi gani?

Kwa bahati mbaya sana na mahakama ni ya ccm
Ila usisahau mahakama huru itaanza kazi zake 2016 chini ya serekali mpya ya ukawa hapo mtanyea ndoo wote mlioiangamiza nchi hii kuanzia shina hadi taifa!
 
Huyo makonda si yuko humu mbona toka jana amekuwa mpole maana huwa ni mwepesi sana wa kukimbilia humu jf kutoa ufafanuzi.

Hawezi kuja humu kwani watu wa jf hawataki wapu..mbavu humu, naona kawatuma misukule wake ndiyo wanajaribu kutetea kitendo cha ujinga na u.p.mbavu alichofanya bwana Daudi Makonda
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
Makonda aliwezaje kumfikia Warioba ili amuokoe? Alisukumwa na HURUMA ipi ilhali majuzi alimkashifu sana? Kwa kanuni za kiusalama hata kama hujapita JKT mtoto makonda yuko matatizoni! hata kama si leo.
 
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa

Mkuu Ocampo hebu ni pm namba yako ya simu nikutumie mpesa kidogo! Kweli ulimtandika huyu jamaa? Mngekuwa kumi tuu kama wewe walah nakuambia leo tungekuwa tunaanda mazishi ya kijana mjinga wa nchi hii.
NB: Usinitumie namba maana siwezi kukutumia mpesa maana sijasikia Makonda kalazwa hospitali yeyote hapa mjini.
 
Last edited by a moderator:
Sijasema naungana naye na maneno yangu sio sheria, mimi nimechukizwa sana kwa kitendo cha Clouds FM kupitia power breakfast kumsafisha Makonda.Huku ni kujipendekeza kusiko na maana.

Kwani hujui clouds fm ni tbc 3
 
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa

CCM Wana mtindio wa ubongo kwahiyo hawajitambui kwanza ilesehem ilikuwa ni mdahalo siyo maandamano kiasi cha kwenda na mabango lile ni darasa inatakiwa CCM watulie ili wafundishwe hesabu ya 2×2=4.na 2 +2=4 na mwalimu ni warioba sasa hawataki kutolewa ujinga Hawa sindiyo Vibaka! Et! CCM wanatakiwa watulie somo liwaingie ehee"
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju

Mwambieni huyo mwizi wa simu Makonda ajitizame upya tena kwa umakin hatutamvumilia na vitendo vyake vya kihuni.
 
ilioni 50 ya posho, inamsumbua Paul C. Makonda. Unayecheza naye ni jaji mstaafu. Akija kuangalia vifungu, unaweza kujikuta pesa yote, unaimalizia kwa kesi, na baadaye unakwenda kunya kwenye ndoo huko jela.

Bora wewe umemshauri vyema kuliko wale wafanya fujo wenzake akina Lizabon.
 
Mpwa umeongea Point sana leo kwa mara ya kwanza tangu umeoa, MUNGU akubariki japo hukunialika kwenye ndoa. Paul alianza kumtusi huyu mzee kule bungeni bado hajaridhika katoka kamfuata huku nako. Kweli paul hana busara na kama kweli ana wazazi basi watamkemea kwenye hili
Mzazi wake ni 6 alimuadopt. Siku hizi kwa kuhofia siasa chafu viongozi wanaadopt watoto ili wawatumie siasani na wana wao wa kuwazaa wanawaweka mbali na siasa. Walijifunza kwa Tingatinga!
 
Huyu kijana nadhani anaelekea kubaya, hii ishu itamchafua.
 
Issue ya katiba inawapa watu promo sana. ....
 
Makonda akiratibu uharamia ule na kwakuwa alijua kitakachotokea ndiyo maana akaenda kuwa karibu na Warioba ili asishushiwe kipigo na ajifanye kama vile alikwenda kumuokoa Warioba. Hivi kweli Makonda ana huruma.na Warioba?
 
Nitawadharau sana Waandishi watakaokwenda kumsikiliza huyu Nyang'au asiye na adabu kana kwamba kazaliwa na nguruwe na si binadamu

Mtu mwenye akiri timamu huwezi kumshambulia mtu ambaye si tu kwamba hata babayako hana thamani aliyowahi kuwa na ambayo Warioba anayo ndani ya Taifa hili ati kwa kisingizio cha siasa na kwakuwa Warioba hayuko kwenye Power kwa wakati huu. Vyeo na Madaraka havitafutwi kwa mtindo huo, hata kina-Nchemba ambao ni mawaziri leo alipata chei baada ya kuwashambulia watu ambao hawakuwahi kushika nyadhifa yoyote Serikalini bali wanatishia nafasi za Mafisadi walioko Madarakani. Wewe unamshambulia mtu ambaye kawahi kuwa Waziri Mkuu....PRIME MINISTER????? Waziri wa Sheria na mavyeo mengine kadha wa kadha.!!

Na mpaka leo ni balozi wa nyumba kumi wa chama chako mwenyewe huko Msasani?? Umepata wapi jeuri hiyo we makonda?? Hata hayawani mwenye kutembea uchi na "kifilimbi" chake mitaani hawezi kufanya IUshetani ulioufanya wewe kimburukutu.. hiii ni aibu kwa chama chako, Mama yako,Baba yako na wote wanaokuunga mkono ikiwamo na wale waliokutuma na kukupa sapoti.. Hutuwezi kununua such a Rubbish you want to puts on our head via Journalist...!!!

Upumbavu wapelekee waliokulea... na ni bora wangelea panya au Nguruwe kuliko shetani kama wewe, Si ajabu ukageuka na kuwadhuru hata hao waliokulea kwa kuahidiwa cheo..!!!!

Jinga sana Paul Makonda!!

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Acha ujinga wewe. Kuna ushahidi gani wa tuhuma hizo. Kijana jiangalie sana. Kuzaliwa kwako kwenye ukoo wa mafisadi kusikufanye ushindwe kutumia akili

Tena wewe ndio unapaswa kujitizama upya kiukweli zile fujo hazitawajenga zaidi yake ni laana kwa wazee na watanzani waliochukizwa na hcho kitendo.
 
Back
Top Bottom