Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Una ushahidi kuwa Makonda kampiga Warioba? Kama unampenda huyo babu wako si ungeenda jana kumlinda na kumtetea? Umejaa unafiki tu na ufedhuli kama dada changu. Haya ndo madhara ya kutumika. Yaani hadi unatia huruma. Utatumika wee mwisho wa siku unatupwa jalalani

Jana Lizaboni aliadimika jukwaani sijui alikuwa selo au pengine ndiyo naniliuuu
 
Naona watu wengine sasa mnatafuta sifa humu kuwa mmeonana uso kwa uso na mh. Makonda.

Wewe POPOMA Kweli Watu Tunakula Na Kuishi Hadi Na Marais Na Tunaona Ni Kawaida Tu Sembuse Wewe Kushangaa Ocampo Four Kusema Kuwa Kampa NAKOZ Paul Makonda! Acha Ushamba. Hivi PM Nae Ni Celeb? Toka Lini???????????
 
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa
Asante sana, Umefanya jambo la maana mno. Alistahili kitofali kama kibaka huyo. Mimi najiandaa kwenda Tanga kumtoa Busha, MANI na zumbemkuu kumbe kuna kazi nzuri ilifanyika jana, mimi sikua na taarifa nayo hii. Safi sana
 
Last edited by a moderator:
Uko sahihi kabisa Makonda siyo level yangu, kwani hata kidogo siwezi kuwa mjinga na mpu..mbavu na kufanya kitendo alichofanya, hata mtu aliye mirembe awezi kufanya alichofanya bwana Daudi Makonda ni mtu mjinga, muhuni na m.p.mbavu tu ndiyo anaweza kufanya what he did

Heko Ocampo Four! Endelea Kumpa Makavu Huyo POPOMA!
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju

Ushahidi wa picha unaonesha Makonda akizuiliwa kumpiga mzee Warioba wakati huo akilazimisha kumfikia mzee Warioba
 
sasa naanza kupata picha,kwa nini Dr Mvungi aliuawa,RIP Dr Mvungi
Haya yoye yana muda na ukweli ni kwamba kuna watu 'wana hasira' na Jaji Warioba kana kwamba anachosema ni mawazo yake.
Huu uzi uliwahi kuletwa hapa jukwaani na unaweza kuunganishwa na uliloandika pamoja na hili la jana japo sura na nyakati ni tofauti.
[h=1]Ridhiwani achafua hali ya hewa Times FM[/h]
 
Asante sana, Umefanya jambo la maana mno. Alistahili kitofali kama kibaka huyo. Mimi najiandaa kwenda Tanga kumtoa Busha, MANI na zumbemkuu kumbe kuna kazi nzuri ilifanyika jana, mimi sikua na taarifa nayo hii. Safi sana
nadhani Chakaza anamtumia ka'vocha ka'shukrani
 
Last edited by a moderator:
Acha ujinga wewe. Kuna ushahidi gani wa tuhuma hizo. Kijana jiangalie sana. Kuzaliwa kwako kwenye ukoo wa mafisadi kusikufanye ushindwe kutumia akili

huyo kijana ocampo four anatumiwa na fisadi lowasa. Nayupo busy kuhusisha hili suala na rais ajaye MEMBE.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nimemsikia asubuhi akihojiwa clouds FM, PB kuwa ameitisha press conference ili aweze kuzungumza kilichotokea.

Clouds kama kawaida yao naona wamempa airtime Makonda ili ajitetee mbele za watu.

Clouds kama kawaida yao ni wadau wakubwa wa Joka la Mdimu. Kwa hivyo, kuibukia kwake Clouds siyo jambo la kushaganza.
 
Nitawadharau sana Waandishi watakaokwenda kumsikiliza huyu Nyang'au asiye na adabu kana kwamba kazaliwa na nguruwe na si binadamu

Mtu mwenye akiri timamu huwezi kumshambulia mtu ambaye si tu kwamba hata babayako hana thamani aliyowahi kuwa na ambayo Warioba anayo ndani ya Taifa hili ati kwa kisingizio cha siasa na kwakuwa Warioba hayuko kwenye Power kwa wakati huu. Vyeo na Madaraka havitafutwi kwa mtindo huo, hata kina-Nchemba ambao ni mawaziri leo alipata chei baada ya kuwashambulia watu ambao hawakuwahi kushika nyadhifa yoyote Serikalini bali wanatishia nafasi za Mafisadi walioko Madarakani. Wewe unamshambulia mtu ambaye kawahi kuwa Waziri Mkuu....PRIME MINISTER????? Waziri wa Sheria na mavyeo mengine kadha wa kadha.!!

Na mpaka leo ni balozi wa nyumba kumi wa chama chako mwenyewe huko Msasani?? Umepata wapi jeuri hiyo we makonda?? Hata hayawani mwenye kutembea uchi na "kifilimbi" chake mitaani hawezi kufanya IUshetani ulioufanya wewe kimburukutu.. hiii ni aibu kwa chama chako, Mama yako,Baba yako na wote wanaokuunga mkono ikiwamo na wale waliokutuma na kukupa sapoti.. Hutuwezi kununua such a Rubbish you want to puts on our head via Journalist...!!!

Upumbavu wapelekee waliokulea... na ni bora wangelea panya au Nguruwe kuliko shetani kama wewe, Si ajabu ukageuka na kuwadhuru hata hao waliokulea kwa kuahidiwa cheo..!!!!

Jinga sana Paul Makonda!!

BACK TANGANYIKA

Jamani Hakuwa Tu Waziri Mkuu Bali Alishawahi Pia Kuwa Makamu Wa Rais Wa Nchi Hii. au Mmesahau Wakuu Wangu?
Huyo PM Wala Asikupe Na Asikupeni Taabu Kwani ATAKACHOKIPATA KUTOKA KWA WANA MKOA WA MARA NADHANI KITAKUWA NI FUNDISHO KWA WENGINEO WOTE HAPA NCHINI TANZANIA. Huwezi KUTUDHALILISHIA POTI WETU Halafu WANA MUSOMA TUKAKUNYAMAZIA. Na TUNAMPA PM SIKU 3 TU ZIJAZO KUMWOMBA RADHI MZEE WARIOBA na PIA KUWAOMBA RADHI WATANZANIA Kwa UJUMLA na ASIPOFANYA HIVYO AJUE KUWA VISASI WA WANA MARA HAVIISHI HARAKA na TUTAMLIA Denge HADI ATATAFUTA MWENYEWE SUMU. Na MIMI KILICHONIUMIZA KUPITA KIASI NI KITENDO CHA YULE MAMA WA WATU KUPIGWA MTAMA MZOBE MZOBE na KUPIGWA ZILE NGUMI. Mama wa Watu YULE ALIWAKOSEA NINI? Mimi Na UBALOTELI na USUAREZI Wangu ( UTUKUTU ) HUWA NAWAHESHIMU SANA AKINA MAMA na WAZEE.
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
wewe mwenyewe ndo Paulo, umejisajili kwa majina tofautitofauti, watu wameishakugundua! unampiga mzee wa watu halafu unatafuta namna ya kujinasua? utapigwa na laana tu!
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju

Wapeleke Ushahidi kwa Polis wa kimataifa au kwa polis ccm? Kama ni polisi ccm hata waende na Ushahidi wa Damu inatirirka hakuna hatua zitakazochukuliwa, Makonda Jana usiku kakesha kwa Sangoma madai yake ite anawazima wale wote wanaopanga kumpa Kichapo huko Mtaani baada ya kubaini Kuwa Polisi ccm hawana Ujanja mbele ya Makonda na wale waliomtuma Makonda kunyea kigoda cha Nyerere .
 
sasa naanza kupata picha,kwa nini Dr Mvungi aliuawa,RIP Dr Mvungi

Watawauwa Hao Hao ILA HAWANA UWEZO WA KUWAUA AKINA Warioba Na Butiku. Wanalindwa Na MKONO WA MUNGU Bila Kusahau Mungu Wetu Sisi WAZANAKI ( MUHUNDA ).
 
Salaam!
Wakuu kuna tetesi zimeanza kuenea kuwa leo Paul makonda anataka kufanya press Conference ili kujisafisha na tuhuma nzito zinazomkabili kuhusu kumpiga mzee wetu waziri mkuu mstaafu jaji Joseph Warioba,Hii ni dharau kwa taifa na watu wake tuhamasishane kupitia hapa na kuwaomba wahariri wote wagomee kwenda kumsikiliza huyu bwana mdogo kama tetesi hizi zitakuwa na ukweli ndani yake.
Nawasilisha!

Ni mpango maalum umeandaliwa na ccm kila kukiwa na mikutano ya katiba kuvuruga ili mwisho wa siku wafyatulie watu risasi na mabomu halafu watangaze katiba kuwa imepita. Na hizi ni za inteligensia wao amewashauri kufanya hivyo ili kuwavuruga watanzania. Huyu Makonda ndie na ana jopo la viongozi wakubwa wa CCM kwenye mpango huo
 
Anachafuliwa au ujinga wake na u.p.mbavu wake ndiyo unamchafua, kama ana akili timamu atawezaje kumpiga mzee kama Warioba......imeandikwa kwewnye biblia, yoyote yule ampigaye babayake atalaaniwa milele....

Alianza na Lowassa. Sasa ni Warioba. Siwezi kushangaa kesho atakuwa Malecela,Msuya au Dr Salim au Sumaye . Ana allergy na former PMs
 
Back
Top Bottom