Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Naona watu wengine sasa mnatafuta sifa humu kuwa mmeonana uso kwa uso na mh. Makonda.
Jaribu kutumia hata miguu tu kufikiri hivi nani ambaye anaona sifa kukutana na huyo unayemtaja? Jinsi ninavyoona mjinga siwezi kulitaja jina lake wala hata kuandika. Eti Mh?? kama ujinga huu tutaurithisha kwa vizazi vijavyo basi TZ itakuwa pumbafu daima.
 
nchi hii imesajili chama cha chadema cha ushakunaku pamoja na wafuasi wake unamkuta kijana anasema yeye chadema wakati suruari kavaa matakoni kata k

hata kamanda
che guavara
alifanya mapinduzi huku akiwa anavuta bangi kisela kwahiyo huyo wa kata k isiwe shida
 
Poor i.q's kusema warioba ni mzee sana kiasi kwamba anatakiwa alale na kupumzika eti aache kuzungumzia kile anachokiamini na dhahri anaona kinapotoshwa waziwazi ni dhambi kwani siku moja mwl jkn atajamuuliza nilikuacheni duniani muwaangalie wa tz,sasa mmefanya kazi gani?WARIOBA ANA HAKI YA KUIRUDISHA TANZANIA KTK MSTARI NDIO WAZEE WETU MWL ALIOTUACHIA NA NDIO BABA WADOGO WA TAIFA LETU/na kile anachokipigania ukitathimini ndiyo kile ambacho mwl jkn ALICHOKUWA HAKIPENDI kulegeza miiko ya viongozi / kuwa na maa a/c ulaya uraia wa nchi 2/
 
Bavichaa waongo, yule mzee kishajiishia na saa hizi anatapatapa si wakupigwa na Makonda yule, kishapigika zamani.

Mbona Nyerere aliendelea kukosoa, kupinga na kutoa maelekezo juu ya maamuzi ya serikali na bunge hata baada ya kustaafu, lakini tuliendelea kumuheshimu japo hatukuzingatia maelekezo yake. Sio ustaarabu mzuri kufanyiana vurugu pale tunapotofautiana mawazo, fikiria endapo wanaoikubali Katiba iliyopendekezwa wakifanyiwa fujo watakapojaribu kuelimisha umma kuhusu uzuri wa Katiba hiyo, hali itakuwaje? Ina maana Wajumbe wa BMK wasiruhusiwe tena kutoa elimu kwa wananchi kwakuwa wamemaliza kazi yao?
 
ccm zipo 2/ ccm <mabeberu> na ccm <socialist wajamaa wa kweli> ndani ya jina moja <ccm> ccm mabeberu walifanikiwa kuwapora ccm wajamaa kwa kutumia nguvu ya shillings <fedhaa> leo hii ccm wajamaa wa kweli Wanaonekana hawana @maana na hoja zao zinapuuzwa!! na Wanafedheheshwa HADHARANI WATS THIS?
 
Salaam.

Wakuu kuna tetesi zimeanza kuenea kuwa leo Paul makonda anataka kufanya press Conference ili kujisafisha na tuhuma nzito zinazomkabili kuhusu kumpiga mzee wetu waziri mkuu mstaafu jaji Joseph Warioba.

Hii ni dharau kwa taifa na watu wake tuhamasishane kupitia hapa na kuwaomba wahariri wote wagomee kwenda kumsikiliza huyu bwana mdogo kama tetesi hizi zitakuwa na ukweli ndani yake.
Nawasilisha.
Kuna kitu kinaitwa "the right to be hard!", kanuni ya kwanza kabisa ya haki ni "no one is condemned unheard!", ndio maana kwenye kashfa ya Richmond, mimi ni miongoni mwa watetezi wakuu wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kuwa hakuhusika direct kwa sababu hakuhojiwa na hakupewa haki ya hakusikilizwa!, hivyo hawezi kushutumiwa!.

Kwa tulio angalia vurugu zile kupitia TBC video footage, kijana alionekana wazi akimsaidia yule mjumbe mwenye ulemavu wa kutoona!, inawezekana kabisa, lengo la kijana kumfikia Jaji Warioba, lilikuwa ni kumsadia!, hivyo kwa vyombo vyote makini vya habari, vitatuma waandishi ma senior wenye uwezo wa kuhoji "the motive behind" uwepo wa kijana huyo kwenye kongamano lile!. A lame excuse kuwa "it was an open public forum" hivyo yeye kama alivyo Mtanzania mwingine yoyote, had the same rights to be there, can't just sail through, kirahisi!, kijana huyu anapaswa kusikilizwa kwa makini utetezi wake, ili pia kubaini "his motive behind!".

Fujo zile zilizotokea pale, ni matokeo tuu, kuna chanzo na hicho ndicho muhimu zaidi.

Waandishi nendeni!, tena mimi ningelikuwa bado ni mwandishi wa press, hapa ndipo haswa nilipaswa kuhudhuria hii press conference, sio ili kuripoti kitakachosemwa!, bali kuripoti kile ambacho hakikusemwa, "the motive behind, the reasons behind!" and "the causative course" ambayo ndio "the mens rea", kwenye "the actus reus" ya vuruge zile!.

Pasco.
 
Mbona Nyerere aliendelea kukosoa, kupinga na kutoa maelekezo juu ya maamuzi ya serikali na bunge hata baada ya kustaafu, lakini tuliendelea kumuheshimu japo hatukuzingatia maelekezo yake. Sio ustaarabu mzuri kufanyiana vurugu pale tunapotofautiana mawazo, fikiria endapo wanaoikubali Katiba iliyopendekezwa wakifanyiwa fujo watakapojaribu kuelimisha umma kuhusu uzuri wa Katiba hiyo, hali itakuwaje? Ina maana Wajumbe wa BMK wasiruhusiwe tena kutoa elimu kwa wananchi kwakuwa wamemaliza kazi yao?

Bavichaa ndio waliofanya vurugu halafu wanasingizia Makonda na CCM, kwani huyo mzee ni wa chama kipi? Bavichaa hawafai hata chembe, wakiwepo wao lazima kutatokea fujo. Hizo ndio kanuni za kwao huko.
 
Bavichaa ndio waliofanya vurugu halafu wanasingizia Makonda na CCM, kwani huyo mzee ni wa chama kipi? Bavichaa hawafai hata chembe, wakiwepo wao lazima kutatokea fujo. Hizo ndio kanuni za kwao huko.
ajuza naona unaleta dharau kwa kikongwe mwenzio Warioba
 
Back
Top Bottom