Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Makonda wewe sasa unajiona ni Mjanja kumbe ni bonge la Mshongoshi kinoma ,watu wanakuangalia kwa makini ,wewe shinda kwa sangoma wee lakini mwisho wa siku kichapo juu yako kipo pale pale hauwezi kumdhalilisha Mzee wetu watu wakuache hivi hivi tu ! Ukiona Kiimya usidhani wamekusahau kwani kitendo ulichokifanya hakisameheki kamwe hata ukiomba Radhi watu watakusamehe kizushi tu.
 
Limetengwa fungu la kumsafisha kupitia media,leo ataanza na Clouds kwny Jahazi na Miradi Ayo
 
LIzabon na vijana wengine ,linapokuja swala la kitaifa tusimame kama vijana wa taifa hili,tuache kutumiwa,tuijenge nchi yetu.Vurugu zile tunajua ziililetwa na wana CCM,je iliwashinda nini nanyi kuchukua jukwaa mkamjibu mzee Warioba kwa hoja?Mzee Warioba ana heshima kubwa katika Jamii,swala hili limeibomoa CCM.Tafuta njia nyingine yakukijijenga chama.
 
Laana na impate milele Paul Makonda na Maccm yote manafiki, na watu wote wenye mapenzi mema na nchi hii tuseme "AMINA"
 
Una ushahidi kuwa Makonda kampiga Warioba? Kama unampenda huyo babu wako si ungeenda jana kumlinda na kumtetea? Umejaa unafiki tu na ufedhuli kama dada changu. Haya ndo madhara ya kutumika. Yaani hadi unatia huruma. Utatumika wee mwisho wa siku unatupwa jalalani
Ushahidi upi unataka? Huo ushahidi unapelekwa kwa Polisi wapi na wa wapi? Kwani polisi ccm ushahidi hauna nafasi kwao, Kama ni Kutumika ww Lizabon unatumika mpaka kinyaa sasa unatia hasira kiasi kwamba ungekuwa unaonekana watu wangekupeleka Jando bila Ganzi,
 
Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa


Hahaa mkuu kumbe ni wewe!!! Aisee, nilikuona poti. Bado yule aliyeminya korodani. Ila hawa vijana waangalie, ile hadhira ingekimbilia kuzuia ule mlango wa kule nyuma leo tungekuwa tunaongea mengine. Waingereza wanasema siyo kila mahali panakufaa, nenda sehemu inayokufaa.

Hawa vijana wajue kuwa siku hizi watu hawaogopi kama zamani. Watapewa vilema sababu ya sh 10,000 halafu wawaingize wazazi wao gharama za kuwatibu.
 
Una ushahidi kuwa Makonda kampiga Warioba? Kama unampenda huyo babu wako si ungeenda jana kumlinda na kumtetea? Umejaa unafiki tu na ufedhuli kama dada changu. Haya ndo madhara ya kutumika. Yaani hadi unatia huruma. Utatumika wee mwisho wa siku unatupwa jalalani

Naona dada umefunga kabisa kibwebwe kuwatetea ma Mr. Wako. Ndoa ni nzuri sana jitahidi kutetea ndoa yako bwana, mtu chake
 
Una ushahidi kuwa Makonda kampiga Warioba? Kama unampenda huyo babu wako si ungeenda jana kumlinda na kumtetea? Umejaa unafiki tu na ufedhuli kama dada changu. Haya ndo madhara ya kutumika. Yaani hadi unatia huruma. Utatumika wee mwisho wa siku unatupwa jalalani

Acha kumbwela mbwela na kulembua hovyo, makonda kafanya vurugu, wewe unatetea ujinga, hata kama ni mwanaccm unabidi uwe na adabu kwa wazee.
 
wewe mwenyewe ndo Paulo, umejisajili kwa majina tofautitofauti, watu wameishakugundua! unampiga mzee wa watu halafu unatafuta namna ya kujinasua? utapigwa na laana tu!

Kumbe Na Wewe Umeshamshtukia Mkuu? Hata Rizmoja Yumo Humu Na Anachangia Mno Uzi Huu Je Umeshamjua au NIFUNGUKE?
 
LIzabon na vijana wengine ,linapokuja swala la kitaifa tusimame kama vijana wa taifa hili,tuache kutumiwa,tuijenge nchi yetu.Vurugu zile tunajua ziililetwa na wana CCM,je iliwashinda nini nanyi kuchukua jukwaa mkamjibu mzee Warioba kwa hoja?Mzee Warioba ana heshima kubwa katika Jamii,swala hili limeibomoa CCM.Tafuta njia nyingine yakukijijenga chama.

Lizabon ni Makonda mwenyewe huyo huwa ana ID nyingi sana ni Mwajiriwa wa Membe kwenye Kampuni ya kuchafua watu Mtandaoni hasa hasa Lowasa na sasa Warioba Pesa inayotumika kuwalipa inatoka kwenye lile Fungu la Pesa za Gadafi zilizokwapuliwa na Membe kisha kuzificha sasa zinatumika vibaya huku Pia akipanga kuzitumia kununua Haki za wapiga kura na hata kuzitumia kuchakachua kura ya maoni .
 
Salaam!
Wakuu kuna tetesi zimeanza kuenea kuwa leo Paul makonda anataka kufanya press Conference ili kujisafisha na tuhuma nzito zinazomkabili kuhusu kumpiga mzee wetu waziri mkuu mstaafu jaji Joseph Warioba,Hii ni dharau kwa taifa na watu wake tuhamasishane kupitia hapa na kuwaomba wahariri wote wagomee kwenda kumsikiliza huyu bwana mdogo kama tetesi hizi zitakuwa na ukweli ndani yake.
Nawasilisha!

umeshawahi kuona kitu kichafu kinajisafisha??? kichafu ni kichafu tu

Hivi si huyu kijana ndiye alimpiga baba yake?? au nimekosea?
 
wakuu na wazalendo wote
heshima kwenu
ninaomba vijana wazalendo wote heshima
wanaolipenda taifa hili na waliochukizwa
na upuuzi wa makonda tunaomba tuwende
kwenye press conference alioyoitisha
makonda na sisi tulipize kitendo
alichomfanyia mzee warioba
nawasilisha
 
Hahaa mkuu kumbe ni wewe!!! Aisee, nilikuona poti. Bado yule aliyeminya korodani. Ila hawa vijana waangalie, ile hadhira ingekimbilia kuzuia ule mlango wa kule nyuma leo tungekuwa tunaongea mengine. Waingereza wanasema siyo kila mahali panakufaa, nenda sehemu inayokufaa.

Hawa vijana wajue kuwa siku hizi watu hawaogopi kama zamani. Watapewa vilema sababu ya sh 10,000 halafu wawaingize wazazi wao gharama za kuwatibu.
Pesa za Gadafi toka kwa Membe zimemzuzua hadi makonda kawa Limbukeni wa Kutupwa, wa kulaumiwa ni Membe kwani ndiye anayemtuma
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju

Hivi hii id mnatumia watu wangapiii????
 
Salaam!
Wakuu kuna tetesi zimeanza kuenea kuwa leo Paul makonda anataka kufanya press Conference ili kujisafisha na tuhuma nzito zinazomkabili kuhusu kumpiga mzee wetu waziri mkuu mstaafu jaji Joseph Warioba,Hii ni dharau kwa taifa na watu wake tuhamasishane kupitia hapa na kuwaomba wahariri wote wagomee kwenda kumsikiliza huyu bwana mdogo kama tetesi hizi zitakuwa na ukweli ndani yake.
Nawasilisha!
Kwani Paulo Mukundu hajapelekwa Polisi?

 
Kwani hiyo midahalo ina umuhimu gani zaidi ya kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani?

Kwanini mnakataa mambo yasijadiliwe waziwazi? Kwanini CCM inaogopa sana midahalo? Jawabu la maswali hayo ni rahisi kulipata. CCM hawana hoja. Ndiyo maana hata aliyekuwa Katibu Mkuu wao, Yusuf Makamba, aliwakataza kushiriki midahalo kwa sababu wameishiwa la kusema. Hawawezi kubishana kwa hoja. Hawana kitu cha kuwaambia Watanzania. Wanachoweza kufana ni kutumia ubabe tu. Ndiyo maana huwa wanatumia dola kuwakandamiza wananchi wanaotaka mabadiliko. Mabadiliko hayazuiliki. Unaweza kuyachelewesha tu lakini si kuyazuia. Kama hamna jambo la kuficha kwanini msiwaache watu waseme? Katiba inayozungumzwa ni ya Watanzania kwa ajili ya Watanzania. Si ya CCM.
 
wakuu na wazalendo wote
heshima kwenu
ninaomba vijana wazalendo wote heshima
wanaolipenda taifa hili na waliochukizwa
na upuuzi wa makonda tunaomba tuwende
kwenye press conference alioyoitisha
makonda na sisi tulipize kitendo
alichomfanyia mzee warioba
nawasilisha

Hii ndiyo njia sahihi ya kumfundisha adabu
 
Back
Top Bottom