Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Paul Makonda aita press conference kujisafisha

Nilikuwepo kwenye tukio na siyo siri nilimnyoosha Makonda kwa hakika akapime mapafu yake manake kiti niliyomtandika nayo kifuani sizani kama mapafu yalibaki salama......hatuwezi kukubali ujinga na u.p.mbavu uendelezwe na wahuni kisa wanatumiwa na Membe au Sita...hili ni taifa letu sote lazima tuheshimu viongozi wetu wa zamani na tutawalinda kwa nguvu zote......mkuu jana jamaa nilimtandika kisawasawa
Acha kujipa sifa ambazo hazipo. Laana ya kutumikia mafisadi inakuandama.
 
Ha ha ha!Ama kweli CCM mmechanganyikiwa,kila mmoja wenu analopoka lwake,Mwenzio Makonda anapanga kujisafisha kupitia press conference na wewe ndo kwanza unazidi kumdidimiza kwenye tope!

Na kama hajafanya hivyo kweli atasafishika tu , mbona mnawewezeka sana vijana wa Ufipa?
 
Acha ujinga wewe. Kuna ushahidi gani wa tuhuma hizo. Kijana jiangalie sana. Kuzaliwa kwako kwenye ukoo wa mafisadi kusikufanye ushindwe kutumia akili
Kwenye red hapo mkuu, naombeni mnikatishe uhai wangu wala msinipige na chupa, tafadhalini sana msinidhuru, mlifanya kwa Ulimboka, Kibanda na jana mkampiga Warioba na kuna tetesi mlitaka kummaliza kabisa, me bado umri mdogo msikatishe uhai wangu manake umenitishia maisha tayari
 

Wabongo mkitofautiana katika hoja,mnakuwa maadui.

Acha tusikie na upande wake pia habari za kweli hazifichiki kwa kukanushwa.
 
Watatangaza leo midahalo imefutwa
Na wala sintoshangaa maana tushazoea ubabe wa kijinga
Kwani hiyo midahalo ina umuhimu gani zaidi ya kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani?
 
Mkuu, kwani na wewe unaungana na kibo10?

Sijasema naungana naye na maneno yangu sio sheria, mimi nimechukizwa sana kwa kitendo cha Clouds FM kupitia power breakfast kumsafisha Makonda.Huku ni kujipendekeza kusiko na maana.
 
Bavicha mna laana sana. Ona sasa mnavyoporomosha matusi nje nje. Makonda si size yenu. Kama mnabisha muulizeni Lowasa

Huyu mpuuzi makonda hapaswi kupewa coverage yoyote mpaka atakapofikishwa mahakamani. Huu ni utovu wa nidhamu na unapaswa kupingwa vikali mno.
 

Wabongo mkitofautiana katika hoja,mnakuwa maadui.

Acha tusikie na upande wake pia habari za kweli hazifichiki kwa kukanushwa.
kweli kabisa kiongozi, sasa sijui hawa BAVICHA wa humu JF wanaweweseka nini wakati jana walikuwa wapole sana wakati mlevi wao wa Sigara akivuliwa nguo.
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
Sisi hatuwezi kuhukumu chchote humu ndani ila kwa kuwa Jengo la ubungo plaza lina kamera za kitaalamu basi Kusiwe na mgogoro .
Kamera hizo zimerekodi kila kitu na inafahamika wazi Makoda alikuwa anafanya nini !!!
Mimi nadhani kutokana na pressure ya mle ndani Makoda asingekuwa na uwezo wa kuokoa zaidi ya yeye kujiokoa kutokana na kuonekana kachafua hali ya hewa
Hata yeye Makoda anasema aliokolewa sasa iweje mtu asiyekuwa na uweo wa kujiokoa aweze kuokoa mtu mwingine??
Tafakari Chukua hatua
 
Huyu mpuuzi makonda hapaswi kupewa coverage yoyote mpaka atakapofikishwa mahakamani. Huu ni utovu wa nidhamu na unapaswa kupingwa vikali mno.
Huko mahakamani atampeleka nani na kwa ushahidi gani?
 
Mbona sijaona alichofanya Makonda kwenye vurugu zile, mbona anaongelewa sana humu?

Ni vigumu sana kusema alimpiga ama hakumpiga mzee wetu kwa ushahidi ule wa picha.Tusubiri tuone nini kitatokea.
 
Muhuni huyu! Lazima atafutwe popote alipo ashughulikiwe
 
Kwani hiyo midahalo ina umuhimu gani zaidi ya kuchochea vurugu na uvunjifu wa amani?

Ile ya prof shivji nkuruma ilikuwa ina umuhimu gani?punguza wepesi wa hoja jenga hoja wewe usiwe mtumwa wa fikira!
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju

mwehu tu anaweza kuamini haya
 
makonda kampiga mzee.wetu hata ajitetee vipy watanzania tumeona hatujasikia tumeona kwa macho yetu
 
Shusha hasira mkuu, ebu tafuta maji unywe kidogo hahahahahahaha pole sana tafuta maji unywe kidogo ushushe hasira na jazba, ukiwa unakuja JF jaribu kuvaa koti la chui ili ukipigwa unacheka tu, jinsi ulivyotokwa povu imeonyesha kiwango chako cha uelewa ulivyo mdogo.......tafuta maji then ushushe pumzi mkuu
Sina jazba na wala sina hasira. Ni ekuambia ukweli. Paul Makonda level yake ni na Mwenye Mbwa. Si wewe mbwa
 
Hata mimi nimemsikia asubuhi akihojiwa clouds FM, PB kuwa ameitisha press conference ili aweze kuzungumza kilichotokea.

Clouds kama kawaida yao naona wamempa airtime Makonda ili ajitetee mbele za watu.
Mchafu anachafukaje?????????
 
makonda kampiga mzee.wetu hata ajitetee vipy watanzania tumeona hatujasikia tumeona kwa macho yetu

Tena cha kushangaza mpaka sasa hajafikishwa mahakamani hii nchi hii ipo siku haki itaanza kupatikana tu na sio mbali bado miezi kadhaa tu
 
Mmemchafua sana Paul Makonda. Kama mna ushahidi upelekeni polisi. Ushahidi wa Picha unaonesha Makonda akimuokoa Warioba ili asipigwe na wahuni wa CDM waliopandikizwa. Pia ni Makonda ndiye aliyemuokoa Amon Mpanju
tangu iini jalala likawa safi??????????
 
Back
Top Bottom