Bwn ...Chige usitete ujinga hapa...Kagame anabadilisha katiba kwa matakwa ya Wananchi wake wenyewe....Huu ni wakati wa RAIS KIKWETE kuonyesha democrasia kwa vitendo ndani ya uchaguzi huu...
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???
Nina hakika kagame angekuwa rais wa tanzania..
Kusingekuwa na umoja unajiita UKAWA
Kusingekuwa na Jamiiforums at list msingekuwa na uhuru wa ku post upuuzi na uzushi wenu kuhusu yeye popote..
Hakuna mwenye ubora hapo,wote tu hawafai anayebadilisha katiba kwa maslahi yake na anayechakachua matokeo wote ni wezi tu!ila Kagame hawezi kujifananisha hata kidogo na JK!
Chadema siyo kwamba hawamjui Dikteta Kagame.Wanamjua sana ila wanamshabikia kwa kuwa wanachuki na CCM na Kikwete.Hivi ungekuwa na rais kama Dikteta Kagame ungekuwa na Forum humu unaamka kila siku unamtukana na uko huru "Kule watu wanaotofautiana naye kimtazamo anawaua hata Kama wakimkimbia anawafuata huko huko anaua.Leo Rais JK anatangaza hadharani "Najua mtanitukana sana huko kwenye blog zenu lakini nimeshazoea.Ingekuwa ni Dikteta Kagame!!Thubutuu.Maslahi yenu Chadema yasizidi maslahi ya "Tanzania".Kagame afanye yake aachane kabisa na nchi yetu-Mtu mrohooo na anatamaa sana ya RASLIMALI ZA NCHI Nyingine na anavyoona anatawala ka nchi kadogo kama kaya ya MKURYA anahuzunika sana.RWANDA=MLELE District Katavi.Kagame ni mtu hatari sana hata kama akitoa ushauri mzuri
Kagame huna cha kutuambia wewe,kwanza umepindisha katiba,JK SIYO KAMA WEWE,MAANA YEYE MUDA WAKE UMEISHA NA ANAONDOKA,SASA KAGAME WEWE UMEKATAA KUWAACHIA WENGINE NA UTAGOMBEA TENA,HUNA TOFAUTI NA HYABIRAMA
Ndo maana kila mara JK anasema akili za kuambiwa... kwa hiyo kwako wewe kanchi kadogo hakana maana kwako? Umbumbumbu mwingine ni shida! Ingekuwa hivyo sisi tungekuwa juu ya china, marekani, algeria nk. Shule jamani!
Au kama kigezo ni udogo wa nchi basi iltakiwa tuwe juu kimaendeleo kupita china na urusiAkili za ma-CCM hizi! Kwao nchi ni ukubwa! Na vi-nchi vidogo kama Norway vinavyowasaidia hao mafisadi wanaokuchagua kwenye bunge la ''vitu maalum'' basi ni mikoa!
Natamani kagame angekuwa rais wetu wa tz kwa kipindi cha 2005-2015!! Tusingekua hapa!!
..........Kagame ni mnafiki na anatamaa ya madaraka kinachompa tabu ni pesa yake kupotea baada ya kumpa Lowassa kwa ajili ya kampeni anajua fika Tanzania haiwezi kuwa stable chini ya Lowassa...... unapaswa kujiuliza why Rwanda,Kenya na Uganda hawapendi Magufuli ashinde coz they know our country will be stable chini ya Magufuli kila mtu haipendi CCM but mwaka hutuna jinsi ni bora Magufuli kuliko Lowassa wabunge tutachagua wa UKAWA.
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???
Kagame huna cha kutuambia wewe,kwanza umepindisha katiba,JK SIYO KAMA WEWE,MAANA YEYE MUDA WAKE UMEISHA NA ANAONDOKA,SASA KAGAME WEWE UMEKATAA KUWAACHIA WENGINE NA UTAGOMBEA TENA,HUNA TOFAUTI NA HYABIRAMA
Wakati yeye na timu yake wanabadilisha katiba ili aendelee msimu wa tatu, JK anaondoka baada ya misimu yake miwili kwisha kwahiyo he's no match JK!
Tena ni bora anayebadilisha katiba aendelee kuliko anayefanya uchaguzi feki wa kuingiza pandikizi lake litakalolinda uchafu wake. Huyu ni mbaya sana sana.
Hivi Watanzania tumekuwaje? Huyu bwana tunajua ana inda na Tz kwasababu ya kichapo cha M23 na uwepo wake kule DRC.
Tunajua ana inda na kauli ya JK na tunajua ni dereva wa CoW kwa nia ile ile
Hana jema analoweza kuongelea kuhusu nchi yetu
Hatusimami kwa U-CCM au UKAWA , tunaangalia masilahi mapana ya taifa.
Anaposema ata 'hit hard kwa JK' haa maana kwa JK kama mtu, ana maana kwa Tz.
Jirani mwema anapaswa kukaa kimya kwa wakati huu. Ndivyo tuliyokaa kimya chaguzi za nchi jirani.
Kenya walipopata matatizo tuliweza kuwaweka pamoja kwasababu kila mmoja alikuwa na trust nasi
Leo Museveni akiibuka na lake, Uhuru na lake, Nkurunzinza na lake juu ya Tz hatuoni tatizo?
Hivi PK amesema kwa nia njema kweli! angalieni anaweza kutupa uchafu ilimradi tuvurugane arudi DRC
Mambo yetu yanatuhusu wenyewe, PK aendelee na kubadili katiba atawale kama chief, hatuhusu
Hadi hapa amefanikiwa maana hatujadili hatma yetu tunamjadili PK ! who's PK kwetu?
Huyu PK anaweza kusema tukamsikiliza kweli!