Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

Ni bora ukakaa misimu mitatu hadi mitano huku ukiijenga nchi kuliko kukaa misimu miwili huku ukiifilisi nchi. Kikwete ametutia umaskini kila mahali. Si kwa safari za nje si kwandani kwenye kubadirisha mawaziri wakuu wa wilaya kama nguo za ndani. Sijaona chochote alicho tufanyia zaidi ya kuongeza deni la taifa kwa kujenga vimifereji vya bara bara. Unapewa msaada 1000 unatumia 300 kwenye miradi kisha unatumia 700 kwenye safari. Aisee ni bora tu week ijayo ifike mapema aondoke.
Nyie watu propaganda za PK zimewaingia!! Halafu PK alivyo mjanja, akawekeza sana Kigali kwavile anafahamu majority ya wageni watarudia Kigali!! Matokeo yake kila utakayemwambia Rwanda bado sana, anakuuliza "ushafika Kigali wewe!" Juzi juzi tu hapa kulikuwa na mgao wa umeme huo balaa na wala bado mambo hayajatengemaa!!! Hii mess tuliyonayo TZ kwenye shule za kata Rwanda wanayo kwenye shule za msingi... yaani full matatizo!
 
Kwa Watanzania, anachoongea Kagame si demokrasia bali hasira za kuondolewa DRC kwa kichapo


Ni mmoja wa watu wanaosubiri machafuko Tanzania na huenda hata kuchochea kwa aina fulani

Tuwe waangalifu
JokaKuu
Mkuu Nguruvi3,kuna kitu marehemu Mtikila aliwahi kuzungumza juzi juzi hapa kabla ya kifo chake - binafsi sishangai comments za PK kuhusu uchaguzi ndani ya Taifa letu - angependelea sana upinzani ndio ushinde katika Uchaguzi,cha kujiuliza hapa ni je, yeye anaweza kukubari/ruhusu hilo litokee Nchini Rwanda.
 
Last edited by a moderator:
hili kagame jinga kweli, kwahiyo kuiachia nchi upinzani hata kama hawajashinda ndio demokrasia? yeye alivyofunga jela wapinzani wake ilikua demokrasia, na pia alivyojiongezea mhula wa tatu ilikua demokrasia.
 
Nadhani hujamuelewa Le président Paul Kagame. Ukisoma between the lines, utagundua kuwa yeye anakiri wazi hafuati demokrasia. Anachosema ni kwamba macho na masikio yao yako kwa Tanzania tunaotambwa ndo mabingwa wa demokrasia katika ukanda wetu wa East Africa.

Mon félicitations président Paul Kagame

Voyons ce qui se passera à partir du champion de la démocratie dans notre région

Ndiyo sisi democracy inaprevail as kikwete hajataka kugombea tena urais
 
Ni bora ukakaa misimu mitatu hadi mitano huku ukiijenga nchi kuliko kukaa misimu miwili huku ukiifilisi nchi. Kikwete ametutia umaskini kila mahali. Si kwa safari za nje si kwandani kwenye kubadirisha mawaziri wakuu wa wilaya kama nguo za ndani. Sijaona chochote alicho tufanyia zaidi ya kuongeza deni la taifa kwa kujenga vimifereji vya bara bara. Unapewa msaada 1000 unatumia 300 kwenye miradi kisha unatumia 700 kwenye safari. Aisee ni bora tu week ijayo ifike mapema aondoke.
sa




sasa kagame kajenga nini?,,,lami yetu tukiipeleka rwanda watakosa hata pa kulima hivyo viazi mbatata...

hebu weka picha ya kigali tulinganishe na bariadi tuone kama itafa dafu
 
Leo Kagame humu anashangiliwa na kupongezwa na watoto wa miaka ya tisini ambao hawajui vizuri Rwanda genocide...ambao wamezaliwa jana wanajua CCM ndio mkoloni...sasa wanataka kuiweka madarakani serikali ya akina tambwe hiza...
 
Ukitaka kumuelewa Kagame rejea kauli za bingwa Abdala Bulembo.
 
Kagame huna cha kutuambia wewe,kwanza umepindisha katiba,JK SIYO KAMA WEWE,MAANA YEYE MUDA WAKE UMEISHA NA ANAONDOKA,SASA KAGAME WEWE UMEKATAA KUWAACHIA WENGINE NA UTAGOMBEA TENA,HUNA TOFAUTI NA HYABIRAMA

Umesahau JK alivyochakachua rasimu ya katiba?
Given a choice, ningemchagua PK.
 
Leo Chaggadema wanaongea Lugha moja na Dikteta Kagame.Kila siku mimi nasema "Chaggadema imejaa MAZUZU na ni Chama cha KIBOGUS kuwahi kutokea Tanzania.Watanzania makini wote tumekipuuza.Kimebaki na wala ngada na wanywa viroba na bange.Hivi Kagame naye ni mtu wa kumshabikia kabisa???!i
 
Leo Chaggadema wanaongea Lugha moja na Dikteta Kagame.Kila siku mimi nasema "Chaggadema imejaa MAZUZU na ni Chama cha KIBOGUS kuwahi kutokea Tanzania.Watanzania makini wote tumekipuuza.Kimebaki na wala ngada na wanywa viroba na bange.Hivi Kagame naye ni mtu wa kumshabikia kabisa???!iStupid
 
Mkuu Nguruvi3,kuna kitu marehemu Mtikila aliwahi kuzungumza juzi juzi hapa kabla ya kifo chake - binafsi sishangai comments za PK kuhusu uchaguzi ndani ya Taifa letu - angependelea sana upinzani ndio ushinde katika Uchaguzi,cha kujiuliza hapa ni je, yeye anaweza kukubari/ruhusu hilo litokee Nchini Rwanda.
Mkuu unajua watu hawaelewi kuwa Kagame ana interest sana na Tz kutokana na mambo yake kule DRC. Anafahamu kichapo alichopokea kupitia M23 kiliharibu sana mipango yake. Ni mmoja wa watu wa kuangalia sana maana anatamani Tanzania iingie katika machafuko ili mipango yake iende sawa. Hana interest na demokrasia ya aina yoyote

Watanzania wakumbuke alishatoa ahadi ata 'hit hard kwa JK'

Huyu jamaa ni hatari sana kwa ustawi wetu. Dua na sala zake ni kuiona Tz inaingia pabaya ili aweze kufanya atakayo!

Hasira zake ni pamoja na zile za kuambiwa akae pamoja na waasi.

Yaani hataki kuiona Tz katika amani . Tusimshangilie ni kiumbe hatari sana huyu. Kaua wapinzani wake hata wakiwa ughaibuni

Kwake tofauti kati ya damu na maji ni rangi tu.

Tufanye mambo yetu bila kuingiliwa na PK. Hatuhitaji ushauri wake kwa namna yoyote ile. Anatushauri nini ikiwa anaweza kutoa roho wenzake hata wakiwa wamemkimbia?

Kama ni demokrasia ni sisi watanzania tunaoamua kwa hatma yetu, Tufanye kwa ajili yetu naye afanye yake huko Rwanda


Kagame na miaka 17 ya kuua wenzake , neno demokrasia ni haramu hata kulitaja kutoka kinywani mwake.
 
leo chaggadema wanaongea lugha moja na dikteta kagame.kila siku mimi nasema "chaggadema imejaa mazuzu na ni chama cha kibogus kuwahi kutokea tanzania.watanzania makini wote tumekipuuza.kimebaki na wala ngada na wanywa viroba na bange.hivi kagame naye ni mtu wa kumshabikia kabisa???!i

ww msukuma umekata mfuko kwanza? Acha uchafu ndo maana unalopoka xana
 
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???

kagame ni jembeee
 
Back
Top Bottom