Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
Safi sana Paul Kagame,tunakupenda sana!
Watanzania ni wapuuzi kweli kweli.
Safi sana Paul Kagame,tunakupenda sana!
lol! very stupid as always... so this is how you define democracy? at one point you need to ask your self why your "super democratic society" produces "super corrupt nation"
Kwanza namshangaa Kikwete anaposema Magufuli anafaa kuwa Rais. Hivi sio Rais huyu huyu Kikwete aliyeigawa wizara ya ujenzi kwa visingizio kwamba ni kubwa sana na ina mlemea Magufuli. Sasa mtu huyu kama wizara hiyo moja tu imegawanywa ili kuleta ufanisi.. Ataweza kuliongoza Taifa zima lenye Wizara Kedekede? Msitutanie jamani .!! Magufuli kazi yake ni ujenzi wa Daraja. Urais hawezi hata kidogo. Hana kauli ya kuliongoza taifa hili. Mchezo ya Kikwete inajulika wazi. Tuendeleeni.. tutasikia mengi.
Anang'ang'ania Kuwa Kijiti Lazima Amuachie Magufuli ndiyo maana wanamfuatilia kwa Ukaribu au Kiingereza kinakushinda!
Watanzania ni wapuuzi kweli kweli.
Anachojaribu kuongelea mzee kagame ni kwamba demokrasia ktk mataifa yetu ya kiafrika ipo pale tu vhama tawala kinapokubalika na kuwa na uhakika wa kuchaguliwa..
Anachokiona yy ni kuwa ccm oktoba yaweza kwenda na maji na km itakuwa hivyo haoni km ccm watakuwa tayari kukubali na km watakubali basi demokrasia itaonekana tz..
Hivi ndivyo nilivyomwelewa
Nataka wote mfahamu kuwa kukua kwa demokrasia Tz ni mafanikio ya CCM pia chini ya JK
Nimependa maneno ya Paul Kagame ameongea ukweli na siyeye tu bali ni jamii yote ya kimataifa wanasubiria huu uchaguzi kwa hamu maana sisi tumekuwa wakwanza kuwanyoshea wenzetu vidole utadhani sisi ni makaika!Haya sasa mpira huko kwetu kupiga penati je tutapaisha au tutalenga goli???
Haha hilo linaitwa ''kwenzi la uchogo'' na linauma kinoma. Kikwete yeye alikuwa najifanya mwanademokrasia sasa aonyeshe na awaachie wananchi tuamue nani ni rais wetu.