Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

Kikwete, acha demokrasia ichukue mkondo wake, sisi Watanzania wapumbavu na malofa katika wingi wetu, tumeamua kwamba Rais wetu, ni Lowasaaaaaaaaa!!!! Hatuko tayari kuongozwa na Mr Push-up!!!!!!
 
Haha hilo linaitwa ''kwenzi la uchogo'' na linauma kinoma. Kikwete yeye alikuwa najifanya mwanademokrasia sasa aonyeshe na awaachie wananchi tuamue nani ni rais wetu.
Kwanza sina hakika kama hiyo taarifa ni ya kweli! Lakini kama ni kweli, hilo kwenzi lipo wapi? Yeye anataka kuona ikiwa JK atakuwa tofauti na yeye au Nkurunzinza-- mpaka hapa tulipo tayari JK ameshajitofautisha na Kagame na Nkruzinza coz' wakati Nkruziza tayari ameshang'ang'ania madaraka huku PK na timu yake wakiwa mbioni kubadili katiba ili PK achukue msimu wa tatu; tayari JK ameshaonesha dhahiri kwamba anaondoka baada ya muda wake kwisha!
 
Bwn ...Chige usitete ujinga hapa...Kagame anabadilisha katiba kwa matakwa ya Wananchi wake wenyewe....Huu ni wakati wa RAIS KIKWETE kuonyesha democrasia kwa vitendo ndani ya uchaguzi huu...
 
Kagame huna cha kutuambia wewe,kwanza umepindisha katiba,JK SIYO KAMA WEWE,MAANA YEYE MUDA WAKE UMEISHA NA ANAONDOKA,SASA KAGAME WEWE UMEKATAA KUWAACHIA WENGINE NA UTAGOMBEA TENA,HUNA TOFAUTI NA HYABIRAMA

Kagame jembe wewe, usimlinganisha na huyu kilaza wetu. Vinginevyo rudi zako Conner Bar ukaendelee na biashara zako
 
Hii statement ameitoa leo hii kwa njia ya mtandao kuhusu uchaguzi wa Tanzania
 

Attachments

  • 1445272954359.jpg
    1445272954359.jpg
    64.6 KB · Views: 801
Bwn ...Chige usitete ujinga hapa...Kagame anabadilisha katiba kwa matakwa ya Wananchi wake wenyewe....Huu ni wakati wa RAIS KIKWETE kuonyesha democrasia kwa vitendo ndani ya uchaguzi huu...
Mjinga ni wewe na huyo Kagame wako! Eti anabadilisha katiba kwa matakwa ya wananchi wake!!! Kwa wananchi gani ikiwa wapinzani anawapoteza?!
 
Tena ni bora anayebadilisha katiba aendelee kuliko anayefanya uchaguzi feki wa kuingiza pandikizi lake litakalolinda uchafu wake. Huyu ni mbaya sana sana.

Jk bado ni mbora kuliko viongozi wote wa EA combined, hasa linapokuja suala la demokrasia!
Hata Mbowe anasubiri mbali mno,, huu Uhuru ulio nao leo haujaja by chance umekuwa created na ni kwa kuwa upo tu ndio maana huoni kuwa ni privilege!
Whatever unacho exercise hapa, in most of EA states huwezi hata kukidream!
 
Sasa kwa mfano ccm ndio wakashinda kwani haitakua demokrasia? Inategemea na wapiga kura wataamuaje, kama kutakua na uibaji wa kura au "uhuni" wowote kulazimisha ushindi hiyo sasa ndio sio demokrasia na sio ccm tu ni kwa vyama vyote
 
Kwahiyo ulitaka CCM imsimamishe Mbowe, au?

Hata kama angesimamishwa mama yako kama anafaa mimi nisingejali. Wasiwasi wangu ni wanapotumia kigezo cha kukariri kilometa za barabara kama uwezo wa kuongoza
 
Kagame huna cha kutuambia wewe,kwanza umepindisha katiba,JK SIYO KAMA WEWE,MAANA YEYE MUDA WAKE UMEISHA NA ANAONDOKA,SASA KAGAME WEWE UMEKATAA KUWAACHIA WENGINE NA UTAGOMBEA TENA,HUNA TOFAUTI NA HYABIRAMA

Hivi Kagame umemuelewa hapo mwisho kasemaje ???? Povu lote hili la nini ?? Soma Tena
 
Back
Top Bottom