sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,527
- 868
JK anatambua tume si huru, na kwa maana nyingine iko zaidi kusikia wakubwa wanailekekeza nini kifanyike, hata hivyo huyu bwana anashindwa kufucha hisia zake hadi anatoa amri mchana kweupe............!! huyu ndo awe wa kwanza kupelekwa ICC hali ya nchi ikivurugika.