Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,190
- 162,698
Hivi balozi wa Rwanda bado tu yupo nchini?
Sijui atavumiliwa!
Sijui atavumiliwa!
Kumbe wewe ni mwehu!kwahiyo na Allen Snr aliyepandisha huu uzi 17 August nayeye katumwa na Rwanda??wewe mjinga sana ujitambui hata cheo cha upumbavu huna ni mjinga basi!
acha mkiwara ya kitoto wewee gamba.kuwa mpole udungwe sindano tarehe 25.
yah mkuu ngoja tumfuatilie huyoha ha ha ha,,,,acha kujitetea,,kagame ana majasusi wengi sana humu,,,hata huyo allen tutampata tu,,,just a matter of time......
kagame anatakiwa kukaa meza moja waasi wa Rwanda wamalize tofauti zao kabla kuizungumzia Tanzania.Kwani mmeambiwa upinzani wameshinda hadi awaachie nchi?
kagame anatakiwa kukaa meza moja waasi wa Rwanda wamalize tofauti zao kabla kuizungumzia Tanzania.
Halafu Tz ni mziki mnene hauwezi atulie kabusa walishindwa makaburu.
"Preaching about Democracy is one thing but Practising it is another thing! As East African Countries members we are witnessing what's going on in Tanzania as they are heading to their General Election; So we are curiously looking forward seeing our best friend and the Presiding Chairman of our Community proving to us how Democracy is Practically adhered in Tanzania so as to differentiate himself from either me or Nkurunzinza!"
Kagame, Paul
SOURCE DW
Kuna watu wengi ambao hatuwezi kununuliwa kwa ushenzi kama huu, hatuwezi kudanganywa kirahisi, hatuwezi kukubali nchi yetu itawaliwe na watu wa kuja. huu ni upuuzi tena wa hali yajuuu sana. Kagame na EL wana agenda yao ndo maana anatuchokonoa chokonoa kila wakati, ipo siku usiri uliopo chini ya meza utakaa juu ya meza.
Humu mtandaoni kuna watu ambao sio watanzania, wanapandikiza chuki kwa kujifanya wao ni wapinzani, kwa kuwa wanaweza kuandika kiswahili basi watanzania wanajua ni wenzao. Fanyeni ushenzi wenu lakini mtambue kuwa Dola iko macho na inafanya kazi.
Unless kama hauna kumbukumbu lakini hata huko nyuma, wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu si tu kwamba kunakuwaga na additional recruitment of police bali pia vitendea kazi. Na hilo la kuondoka physically, si tatizo la Tanzania tu, mambo kama hayo yanatokea sana duniani!JK anaweza kuwa anaondoka madarakani 'Physically' lakini akaendelea kutawala 'virtually'. Kaagiza magari kibao ya FFU, ni ya nini kama anaamini uchaguzi utakuwa wa huru na haki? Hizo pesa angenunulia vitanda vya kujifungulia akina mama pale Mwananyamala. Fikiri
Mwanzo wa thread amesema source ni DW (Deutsche Welle) Shirika la Utangazaji la Ujerumani; na mimi nilikuwa nimeamini hivyo. Sasa anaulizwa source anasema ni yeye mwenyewe!! Tafadhali afafanue ili tuelewe ukweli wa thread yake.