Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,125
- 4,168
Alikuta taifa lake likiwa na uharifu mkubwa sana alipoingia madarakani mwaka 2016. Wauza unga walikuwa wengi, wakabaji wa kutumia siraha na majambazi.
Alitumia njia moja tu kama mkuu wa vyombo vya ulinzi. Mhalifu mwenye silaha awe kibaka, muuza unga au jambazi akiwa na silaha frontline ni kula risasi tu.
Hawa vijana wanatembea na mapanga na kukata watu kama wanakata miti ni kuwachapa risasi
halafu mnaita wazazi wao kubeba maiti.
Leo hii Uhalifu umepungua sana huko Phillipines. Hii ni kwa sababu wahalifu sio wa kuchekea.
Alitumia njia moja tu kama mkuu wa vyombo vya ulinzi. Mhalifu mwenye silaha awe kibaka, muuza unga au jambazi akiwa na silaha frontline ni kula risasi tu.
Hawa vijana wanatembea na mapanga na kukata watu kama wanakata miti ni kuwachapa risasi
halafu mnaita wazazi wao kubeba maiti.
Leo hii Uhalifu umepungua sana huko Phillipines. Hii ni kwa sababu wahalifu sio wa kuchekea.