Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Wewe si ndiyo dizaini ileile mnakuwa na pent-up sexual frustrations na agressions kibao ndani yenu hadi ikifika hatua Imam/Sheikh anakuja na dili ya kujivinjari na "Mabikra 72" ahera ili mjilipue kutetea "Islam", basi mnakuwa mko desperate kujilipua ili mradi muwahi "ahera" mkawakojolee hao "Mabikra 72" hewa kwa zamu.

Piga nyeto mara kwa mara ku-release tension in your "Muslim" body & soul bro, na glasi ya wine mbili tatu au 12-pack ya Heineken kila wiki is all right: I promise you, you'll feel just fine, if not even better.

Haya maneno niya mpagani ama? Kama ni mkristo sorry kama mm na ww niwa imani moja. Wale watoto wa baba yangu wambinguni hawana luga kama hii; na kwangu ni heri mwislamu mwenye kuamini katika dini yake 100%kwani amekuwa mwaminifu katika imani yake na Mungu atampa rehema kuliko mkristo wa jina anayemfanya Yesu kusulubiwa mara ya pili.
 
Kulingana na chombo cha habari fox news, Osama alifariki kabla ya juzi Afghanstan na kuzikwa. Alifariki kwa matatizo ya mapafu yalokuwa yakimsumbua kwa kipindi kirefu.

Isije ikawa wamarekani wamefukua maiti yake na kujitengenezea jina kuwa mtu walomshindwa kwa zaidi ya miaka kumi wamemuua wao, kumbe kafa natural death, kwa habari zaidi wadau gongeni FoxNews.com - Breaking News | Latest News | Current News
 
Mimi kuna video oja nimepata kuiangalia bibi Bhuto alitamka kuwa Osama aliuliwa, ila kuna wanaopinga kauli yake kwa kusema kuwa amekosea.
Sasa zile tapes za Osama zilizotoka baada ya kifo cha Benazir Bhutto kupita Al Jazeera na Al Arabiya zilikuwa ni zuga?

Al Zarqawi, Al Masri, Maulana Faqir Mohammed, Mehsud Baitullah and the list goes wote waliuliwa watu wakabishaa weeee lakini mwisho ikaja kuwa kweli sasa kwenye ili la Osama only time will tell.
 
Mbona sijaona anayekataa outright kuwa jamaa kafa. Wengi wana mashaka tu. Au mtu kutilia kitu shaka kwako ndo kukataa?
https://www.jamiiforums.com/international-forum/131315-osama-bin-laden-killed-31.html#post1923294
MAREKANI WAMECHAKACHUA KIFO CHA USAMA BIN LADEN

Ni kweli hajafa hiyo ni propaganda ya ki-inteligencia,Saddam Udei na Qusssei waliwaua na kutuonesha miili yao hadharani tena Saddam ndie waliemnyonga hadharani kabisa.Iweje leo OSAMA BIN LADEN walie sema WANTED DEAD OR ALIVE wamuue na kupiga kaicha kama passport size na kupaka ndevu damu waseme kafa? huo ni usanii na ukweli utajulikana kuhusu kifo cha OSAMA mie siamini kwani story za kwamba kafa torabora sijui wapi zilianza muda mrefu.We need EVIDENCE MWILIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIiii wa OSAMA tuuuuuuuuuuuuuuuuonne kama ule wa SADDAM DNA haitasaidia,WAMECHAKACHUA KIFO CHA USAMA BIN LADEN YU HAI
 
America wanavyopenda kuonyesha ushujaa wao wangeonyesha picha yake na video yake kwanza kabla hawajamtumbukiza baharini kama wanavyodai.

Imebainika kwamba Marekani wanataka kuondoka Afghanistan kwasababu wanaona wanapoteza badala ya kuwini.
Toka 2001 Taifa la Marekani limespendi mabilioni ya dollars na hatima yao hawaioni.
Kwasasa kuondoka bila kumkamata Bin Laden wangeona aibu kama taifa kubwa duniani kushindwa kumkamata mtu mmoja kwa miaka 10.
Wamepoteza pesa nyingi na wakaona wafanye hii propaganda.
Kama ile hadithi ya sungura NAONA NAFANYA KAZI BILA FAIDA KUJUA.
Ijulikane pia kwamba Afghanistan hakuna mafuta.
At end of the day, American are the biggest loooser!!!
 
Watanzania bwana. Ukanjanja wa Simba na Yanga tunauendeleza hata kwenye mambo ya intelijensia kubwa za wenzetu. Tumezoea kuona polisi waliovaa suruali zilizotatuka kwenye mifuko na wanajeshi wanaopiga raia. Jamani hii operation ya US haina mfano. Bin Laden is no more. Makelele tunayopiga ni matokeo ya kutokuwa na mambo ya kitaifa ya kujivunia. Wao US wameonesha ukomandoo wao, sisi Gbagbo hadi wafaransa watie mikono. Afrika bwana, maneno meeeeeengi.!!!
 
Watanzania bwana. Ukanjanja wa Simba na Yanga tunauendeleza hata kwenye mambo ya intelijensia kubwa za wenzetu. Tumezoea kuona polisi waliovaa suruali zilizotatuka kwenye mifuko na wanajeshi wanaopiga raia. Jamani hii operation ya US haina mfano. Bin Laden is no more. Makelele tunayopiga ni matokeo ya kutokuwa na mambo ya kitaifa ya kujivunia. Wao US wameonesha ukomandoo wao, sisi Gbagbo hadi wafaransa watie mikono. Afrika bwana, maneno meeeeeengi.!!!

Babu wewe umeiona maiti yake?
 
Sasa zile tapes za Osama zilizotoka baada ya kifo cha Benazir Bhutto kupita Al Jazeera na Al Arabiya zilikuwa ni zuga?

Al Zarqawi, Al Masri, Maulana Faqir Mohammed, Mehsud Baitullah and the list goes wote waliuliwa watu wakabishaa weeee lakini mwisho ikaja kuwa kweli sasa kwenye ili la Osama only time will tell.
Ndio hapo pa kujiuliza.
 
Naweza kukubaliana na wewe. Kwani mazingira ninayoona ktk tv ni ya kijanjajanja hayaeleweki. Mara wamepambana naye kwa risasi lakini tunaoneshwa damu kidogo kitandani sijui alilala wakati wanapigana ? Pia wanaonesha kichwa chenye matundu ya risasi lakini mwili hauna damu. Sijui vipi hapo
 
Kwanini dunia inavutwa na watu wanaotaka kuonekana ni wema na kutupa zigo la lawama kwa mtu mwenye sababu iliyowazi ya uonevu ambao hao hao binadamu wame uengineer? Mimi naomboleza kifo cha mtu ambaye dunia nzima ilikataa kusikiliza sauti yake na kuamua kumpa hukumu hata baada ya kusababisha uchungu ndani ya moyo wake. Ni binadamu gani atapenda kuishi maisha ya shida kama alivyoonyeshwa Osama bila kuwa na sababu ya msingi? Ni mtoto aliyezaliwa kwenye familia tajiri kuliko watu wengi hapa tunayemhukumu lakini kwa hiari akaamua kupaza sauti yake na badala ya kusikilizwa akapewa jina la muuaji na kisha kuandikiwa adhabu bila hata kupewa muda wa kujitetea. Mifano tunayo hai nchini kwetu Dr. Slaa hawezi kwenda mahakamani kwasababu ukweli wa mahakama zetu tunaujua sote. Leo watetezi wa Dr. (sisemi kwamba yeye hana sababu za msingi no) wengi wao wanataka kulaumu Osama mtu aliyeamua kupeleka kesi kwa wenzake wenye imani mmoja na yeye. Sitetei makosa aliyofanya Osama lakini nachelea kum brand hiyo label anayopewa kwani wanao mtuhumu nao hawana moral authority ya kufanya hivyo na pengine ndiyo wasababishaji wakubwa wa haya aliyofanya yeye. Sasa iweje msababishaji akawa hakimu wa kosa aliloliasisi yeye? Je we ungekuwa Osama ungefanyaje tofauti? Kamwe sintashiriki hii dhambi hata iweje na mimi leo nasikitika kupoteza roho moja ambayo haikupewa nafasi ya habari njema ya upendo ambao haujawahi kushindwa kuushinda uovu. Nachukua nafasi hii kuunga mkono kauli ya Rais wangu Jakaya Kikwete kuwa bila nukuu rsmi Yule mtu aliyekuwa anatafutwa hatunaye tena; what a sad moment to loose somebody's soul. There is no glory in his death kwani tumepoteza mtu ambaye pengine bila chuki ya dunia angetusaidia katika mambo mengi kwani naamini Mungu alipomuumba alikuwa na sababu ya msingi ya uhai wake. Mungu mwenye wingi wa rehema na neema amlaze pema paradiso Amina!
 
kulingana na chombo cha habari fox news, Osama alifariki kabla ya juzi Afghanstan na kuzikwa, alifariki kwa matatizo ya mapafu yalokuwa yakimsumbua kwa kipindi kirefu, isije ikawa wamarekani wamefukua maiti yake na kujitengenezea jina kuwa mtu walomshindwa kwa zaidi ya miaka kumi wamemuua wao, kumbe kafa natural death, kwa habari zaidi wadau gongeni www.foxnews.com

All-in-all, Gaidi la Kiislamu, Osama bin Laden limekufa, right?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom