Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
kulingana na chombo cha habari fox news, Osama alifariki kabla ya juzi Afghanstan na kuzikwa, alifariki kwa matatizo ya mapafu yalokuwa yakimsumbua kwa kipindi kirefu, isije ikawa wamarekani wamefukua maiti yake na kujitengenezea jina kuwa mtu walomshindwa kwa zaidi ya miaka kumi wamemuua wao, kumbe kafa natural death, kwa habari zaidi wadau gongeni www.foxnews.com

The way FOX News wanavyomchukia na kumtafutia sababu yoyote ya kumuaibisha Obama halafu hiyo story ingekuwa ni ya ukweli basi it wouldn't take even minutes kwa hao Fox na Conservatives kumwuumbua Obama na saa hizi angekuwa amesha-resign.Nafikiri hiyo story is not credible...it's a conspiracy theory kama hiyo ya Obama's birth certificate...
Osama..rot in hell !!!
 
Naweza kukubaliana na wewe. Kwani mazingira ninayoona ktk tv ni ya kijanjajanja hayaeleweki. Mara wamepambana naye kwa risasi lakini tunaoneshwa damu kidogo kitandani sijui alilala wakati wanapigana ? Pia wanaonesha kichwa chenye matundu ya risasi lakini mwili hauna damu. Sijui vipi hapo
Hicho kichwa chenye matundu ya risasi umekiona wapi?. Hebu tupe hiyo link na sisi tukajionee!.
 
Huo ni usanii ili wajinga wasijue sio kweli kabisaaaaaaaa it's well arranged ili kuhadaa ulimwengu obama kachemsha huo ni ujanja wa kupata kura baada ya kuanguka kwenye midterm election tunataka picha ya osama akiwa mfu sio usanii wa kuweka passport size na kuuhadaa ulimwengu,saddam,udei na qusei waliweka picha cnn,bbc,aljazeera wakapiga hata za mazishi wakapiga tukaona,iweje za osama hakuna kazikwa shuta shuta fasta fasta hapo mwerevu ajue mjinga akubali
 
All-in-all, Gaidi la Kiislamu, Osama bin Laden limekufa, right?

hatukatai amekufa, na hilo hakuna wa kupinga binadamu wote lazima tupite njia hio, uwe Obama uwe Bush uwe Netanyahu lazima utakufa na kuoza, tunachopinga hapa ni usanii wa kusema wamemuua wao kwa juhudi zao wakati si kweli, tusubiri picha za maiti ya Osama walioifukua na kuitwanga risasi.
 
Huo ni usanii ili wajinga wasijue sio kweli kabisaaaaaaaa it's well arranged ili kuhadaa ulimwengu obama kachemsha huo ni ujanja wa kupata kura baada ya kuanguka kwenye midterm election tunataka picha ya osama akiwa mfu sio usanii wa kuweka passport size na kuuhadaa ulimwengu,saddam,udei na qusei waliweka picha cnn,bbc,aljazeera wakapiga hata za mazishi wakapiga tukaona,iweje za osama hakuna kazikwa shuta shuta fasta fasta hapo mwerevu ajue mjinga akubali
 
Babu wewe umeiona maiti yake?

Sijaiona maiti. Jibu hili linakusaidia nini? Unaweza ukaona maiti na ikawa imechakachuliwa. Hivi mkuu wewe una-idea na pathology au forensic medicine (Sikusudii kukutishia)? Mkuu ungekuwa unajua usingesema habari ya kuiona maiti. Naona tuna-handle mambo emotionally sana kuliko uhalisia. Jamani kuna wakati technicalities tuziheshimu au tuzifahamu kama tunaweza. Emotions zinatutatiza sana.
 
Huo ni usanii ili wajinga wasijue sio kweli kabisaaaaaaaa it's well arranged ili kuhadaa ulimwengu obama kachemsha huo ni ujanja wa kupata kura baada ya kuanguka kwenye midterm election tunataka picha ya osama akiwa mfu sio usanii wa kuweka passport size na kuuhadaa ulimwengu,saddam,udei na qusei waliweka picha cnn,bbc,aljazeera wakapiga hata za mazishi wakapiga tukaona,iweje za osama hakuna kazikwa shuta shuta fasta fasta hapo mwerevu ajue mjinga akubali

Come up with a credible evidence otherwise you may end up in denial for the rest of your life. Tell Al Jazira to prove Obama wrong.
Tell Al Qada to come up with evidence!
 
Huo ni usanii ili wajinga wasijue sio kweli kabisaaaaaaaa it's well arranged ili kuhadaa ulimwengu obama kachemsha huo ni ujanja wa kupata kura baada ya kuanguka kwenye midterm election tunataka picha ya osama akiwa mfu sio usanii wa kuweka passport size na kuuhadaa ulimwengu,saddam,udei na qusei waliweka picha cnn,bbc,aljazeera wakapiga hata za mazishi wakapiga tukaona,iweje za osama hakuna kazikwa shuta shuta fasta fasta hapo mwerevu ajue mjinga akubali
 
Hivi kuna uhalisia zaidi kuliko kukiona kitu laivu bila ya chenga?

Labda mkuu ungenisaidia mimi mbumbumbu kunijurisha ni kwa nini Pakistan inajieleza kwa Marekani kwamba haikuwa inajuwa kama Osama amejificha Pakistan? hivi haujuwi kwamba baadhi ya Intelijensi ya Pakistani ilikuwa inahusika kumpa hifadhi Osama? na je kama wewe unaishi Marekani haujasikia kwamba CONGRESS wanaishauri serikali yao kwamba, kama ikithibitika Pakistan ilikuwa inajuwa kwamba Osama yupo Pakistan basi Marekani ikate msaada wa mabillioni ya dollar kwa Pakistan? hivi mnatumia akili zenu kufikiri vizuri kweli?
 
Hivi kuna uhalisia zaidi kuliko kukiona kitu laivu bila ya chenga?
NN vyovyote vile awe wa kuchongwa ama kweli ali exist bado hao wa marekani wanaonekana kituko na sera zao za nchi za nje na watabaki wavunjaji wa amani ya dunia mpaka watakapo badilisha sera zao.
 
Watoe hizo picha, then we will have no doubts of our belief....

Umewaomba wtoe au unatuamuru sisi? Walimuua muda waliotaka, wakatangaza muda waliotaka, na picha watatoa muda wanaotaka pia. Usilalamikie sana watu ambao hatuhusiki. Na pia siyo lazima uamini kama amekufa hata kama amekufa kweli, pia elewa wewe au baadhi yetu ni ngumu sana kuishinikiza Marekani kufanya kitu! Kama tulishindwa kuihoji serikali yetu dhaifu kuhusu kifo cha Balali, je twaweza kuishinikiza Marekani kutudhibitishia ukweli?
Marekani wamemuua kwa maslahi yao na ya wapenda utulivu wengine, kama sisi wa ulimwengu wa tatu tunabisha, basi wamarekani walio mbele kwa mara nyingi sana kiufahamu na kiteknolojia wameamua kukubali kuwa amekufa! Wewe ni nani mbele ya wamarekani wote wale?
Pia ujue taarifa hii itaivunja sana nguvu Alqaeda kama ikinyamaziwa hivihivi, je kwaninii hawajaamua kulipinga hili kama ni uzushi?
Maana wanajua wazi kama ni uzushi ni kwa jinsi gani utaathirii mtandao wao.
Maana mahali popote jemedari akifa lazima walioko nyuma yake wavunjike moyo، sasa nauliza kama siyo kweli wafuasi wake si wangepinga na vielelezo ili kuulinda umoja wao?
Mimi naamini asiyekubali hili anajaribu tu kuonyesha kuwa kiwango chake cha uelewa wa mambo kina mashaka،
 
Huo ni usanii ili wajinga wasijue sio kweli kabisaaaaaaaa it's well arranged ili kuhadaa ulimwengu obama kachemsha huo ni ujanja wa kupata kura baada ya kuanguka kwenye midterm election tunataka picha ya osama akiwa mfu sio usanii wa kuweka passport size na kuuhadaa ulimwengu,saddam,udei na qusei waliweka picha cnn,bbc,aljazeera wakapiga hata za mazishi wakapiga tukaona,iweje za osama hakuna kazikwa shuta shuta fasta fasta hapo mwerevu ajue mjinga akubali

Shirikisha ubongo wako japo kidogo, Wamarekani wanacho kila kitu, ikiwemo live coverage video ya tukio zima la mauwaji ya huyu Shetani Osama, lakini wewe huwezi kuwapangia CIA ni muda gani wazitoe hizo solid evidence, kwa sababu kila wanachofanya wao wanaangalia maslahi ya Marekani kwanza, na sio kuwaridhisha nyinyi watu wa kwenye vijiwe vya ubishi wa kwenye kahawa.
 
Hivi kuna uhalisia zaidi kuliko kukiona kitu laivu bila ya chenga?

Naomba nikukumbushe tu kuwa hiyo habari unayosema ya kuona laivu inaweza kuwekwa maswali mengi kuliko unavyodhani. Marekani walimwonesha Neil Amstrong kama binadamu wa kwanza mwezini watu wanadai uchakachuzi. Palikuwa na speculations nyingi kuhusu replicas za Osama na Saddam. Unaweza onesha watu Osama wao wakasema ni fake replica yake. Naamini tutapata releases za photos soon. Baba NN, fahamu kuwa suala la usalama ni beyond heresays. Hadi Osama anaenda kuvamiwa ni issue ya siri sana hata ndani ya Serikali yenyewe, naamini unafahamu. Secret Service ya US ina advisors that's why unaona kuna uchelwaji hata wa picha kutoka. Suala si kurelease picha tu. Osama si kama Saddam au Abuu Mussab A-Zarqawi. Haitoki picha tu halafu mambo nje. DNA kwanza mengine yanfuatia. Naamini sasa hivi kuna mikutano mingi ya ndani ya Secret service ya US, sisi tulio nje tunadhani mchezo umeisha kwa sababu tunaona Obama anacheka na kuongea mambo ya Alabama. Jamani usalama sio huo. Usalama ni kitu kingine sana, sana especially kama ni mambo ya secret service.

Nyani Ngabu mambo ya picha huwa ni hitimisho tu na propaganada. Nikupe tip tu, Ukitaka kukatisha tamaa watu wanopambana live release photos haraka lakini kama hakuna mapambano live chelewa. Technique kama hii hutumiwa hata na tume za uchaguzi za Kiafrika (mwenye macho na aone) kwa kurelease haraka matokeo ya kura kama wanayemtaka ameshinda hasa kwa kuanzia maeneo mpinzani aliposhindwa ili kuua morale. NN, unataka ushahidi zaidi?
 
Labda mkuu ungenisaidia mimi mbumbumbu kunijurisha ni kwa nini Pakistan inajieleza kwa Marekani kwamba haikuwa inajuwa kama Osama amejificha Pakistan? hivi haujuwi kwamba baadhi ya Intelijensi ya Pakistani ilikuwa inahusika kumpa hifadhi Osama? na je kama wewe unaishi Marekani haujasikia kwamba CONGRESS wanaishauri serikali yao kwamba, kama ikithibitika Pakistan ilikuwa inajuwa kwamba Osama yupo Pakistan basi Marekani ikate msaada wa mabillioni ya dollar kwa Pakistan? hivi mnatumia akili zenu kufikiri vizuri kweli?
Mkuu Pakistan wanajua wakikubali kuwa walikuwa wanajua basi misaada ya kijeshi na kijamii itasitishwa ndio maana wanalazimisha kusema hawakuwa wanajua. Na kwa sasa USA hawawezi kufanya lolote kwa sababu wanaitegemea Pakistan kwa ajili ya supplies za majeshi yake Afghanistan vile vile issue ya Nuclear za Pakistan hawataki ziishie kwenye mikono ya Taliban.
 
Labda mkuu ungenisaidia mimi mbumbumbu kunijurisha ni kwa nini Pakistan inajieleza kwa Marekani kwamba haikuwa inajuwa kama Osama amejificha Pakistan? hivi haujuwi kwamba baadhi ya Intelijensi ya Pakistani ilikuwa inahusika kumpa hifadhi Osama? na je kama wewe unaishi Marekani haujasikia kwamba CONGRESS wanaishauri serikali yao kwamba, kama ikithibitika Pakistan ilikuwa inajuwa kwamba Osama yupo Pakistan basi Marekani ikate msaada wa mabillioni ya dollar kwa Pakistan? hivi mnatumia akili zenu kufikiri vizuri kweli?

Lakini pia jamani hata kama ni kweli utata ni mkubwa kuliko ukweli wenyewe hiyo nyumba yenyewe imekaa tofauti na zote hiyo sehemu mtu anayeelezwa kuwa na akili na gaidi mkubwa kukaa kwenye nyumba kama hiyo ambayo iko visible na most likely kuwa suspected bila kujitengenezea kitu kama njia za chini kwa chini za kutorokea kuelekea hiyo milima ya Afganistani inawezekana kweli? Michoro ya nyumba ni mizuri kuliko nyumba yenyewe na wala sioni kuwa ni complex fulani na hizo features wanazoeleza kwa mtu gaidi ya std ya Osama sijui kama angeweza kukaa humo. Any way acha jogoo wa dunia wa wikie vitetea vyao si wengine twaishi ulimwengu wetu wenyewe na ufalme wetu si wa dunia yao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom