Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Obama anaelekea kushindwa uchaguzi mwaka kesho kwahiyo ametafuta nitoke vipi ili isaidie kurudisha imani kwa wananchi wa Marekani kusudi wasimpige chini mwaka kesho.
Huo uchaguzi alikuwa anashindwa na kina Trump au Michelle Bachmann? Uchaguzi uko November 2012 leo ni May 2011 kama ingekuwa ni propaganda ya uchaguzi si angesubiri mpaka mwakani.

Hiyo picha imeanza kuzunguka mitandaoni miaka miwili iliyopita, heck unaweza kukuta ilitengenezwa na wapambe wa Osama mwenyewe, kuhusu mazishi tuangalie timeline
-Operation imeanza saa saba usiku ya Pakistan (saa kumi jioni muda wa Washington D.C.)
-Obama katoa maelezo saa 11:30 usiku Washington time (Saa mbili asubuhi Islamabad)
-Wamemtupa baharini kati ya saa 1:00 - 2:00 am (Saa tano asubuhi Islamabad)
 
Huo uchaguzi alikuwa anashindwa na kina Trump au Michelle Bachmann? Uchaguzi uko November 2012 leo ni May 2011 kama ingekuwa ni propaganda ya uchaguzi si angesubiri mpaka mwakani.

Hiyo picha imeanza kuzunguka mitandaoni miaka miwili iliyopita, heck unaweza kukuta ilitengenezwa na wapambe wa Osama mwenyewe, kuhusu mazishi tuangalie timeline
-Operation imeanza saa saba usiku ya Pakistan (saa kumi jioni muda wa Washington D.C.)
-Obama katoa maelezo saa 11:30 usiku Washington time (Saa mbili asubuhi Islamabad)
-Wamemtupa baharini kati ya saa 1:00 - 2:00 am (Saa tano asubuhi Islamabad)
Let alone hao watu i am not expecting much from them but Obama right now he's in a bad shape, halafu hapo kwenye red hiyo timeline there is so much of coincidence any wayz ya kwao tuwaachie wao wenyewe
 
Nazjaz usiwe mbishi, kama Osama hajafa ajitokezi kupinga uongo wa marekeni
 
Wakuu mnasherehekea msiba na majonzi? Mnafahamu watu wangapi watapoteza ajira zao kwa kutokuwepo Osama? Ma-bodyguard, ma-security, pamoja na wafanyakazi wa viwanda vinavyotengeneza mashine za kusachi watu Airport.

Hiyo mkuu ndio kumekucha usifikiri ndio watakaa chini kujipongeza kwamba sasa basi, mapambano yanaendelea kuogopa any revenge! Missing in action - Chuck Norris
 


Pichani juu Obama akiwa kwenye ' Chumba Cha Vita' akifuatilia kwa karibu operesheni 'SEAL Team Six ' ya makomandoo wake waliokuwa Pakistan. Inasemwa, kuwa ulikuwa ni wakati wa mashaka makubwa . Obama alikuwa na matatu ya kuchagua; kuvamia jengo, kulipua jengo au kusubiri. Akaamrisha la kwanza, na hofu ilikuwa kwa baadhi ya makomandoo wake kupoteza maisha, maana, Osama Bin Laden naye alijiandaa kikamilifu kwa mpambano wa silaha.



Na kwenye mikutano ya siri ya kupanga mkakati huo mara kwa mara ilitamkwa " BLACK HAWK DOWN" wakikumbashana Operesheni ya Mogadishu iliyokwenda kombo mwaka 1993 ambapo helikopta mbili za Marekani ziliangushwa na wanajeshi wa Marekani walikamatwa na kuburuzwa kwenye vichochoro vya Mogadishu.

Maggid

MJENGWA - Picha, Habari & Matangazo
 
marekani acheni kuhadaa ulimwengu! osama mumuue kirahisi hivyo pasipo hata kuithibitishia dunia kwa taarifa za kina.eti amezikwa baharini! tangu lini?wasiwasi wangu ni jinsi ambavyo taifa hili linavyopenda sifa hasa wanapofanikiwa kumkamata adui yao.mr sadam hussen alikamatwa akawekwa live akajpimwa watt wakaona na hata kushuhudia live alivyonyongwa!inakuwaje kwa huyu wanaemwita the most wanted kuzikwa kienyeji?
 
Mshauri wa CIA John Brennan alijibu maswali yote ,kuwa jamaa kazikwa huko NORTHERN ARABIAN SEA,wengi wamepinga kwa kutoa sababu za kiimani, japo Obama anasema walifuata imani ya kutokaa zaidi ya 24 hours,ukweli utabaki palepale hata kama wamemuua lakini they have also paid what they deserved kama nchi chokozi inayojali maslahi yake tu,NAMUUNGA MKONO OSAMA KATIKA DECADE NZIMA YA KUTAFUTWA KWAKE ,HE WAS A BRAVE MAN .....R.I.P
 
mwili wake ulioshwa, na kuvikwa sanda nyeupe na akaombewa.......kish akazikwa masaa matatu baada ya obama kuadress
 
RAIS Jakaya Kikwete amesema,mauaji dhidi ya kiongozi wa Mtandao wa kigaidi wa Al- Qaeda, Osama bin Laden si jambo la kufurahia, lakini yametoa ahueni katika vita dhidi ya ugaidi.

Ameyasema hayo jijini Dar es Salaam jana na kubainisha kuwa ingawa haki haikutendeka dhidi yake kwa kufata sheria na si vizuri kufurahia jambo hilo bali limeleta ahueni dhidi ya ugaidi duniani

Jana, Rais Barack Obama wa Marekani alitangaza kifo cha Gaidi huyo baada ya kautafutwa kwa kipindi kirefu baada ya shambulizi la ugaidi lilitokea Septemba 11, mwaka huu Marekani na kuua zaidi ya watu 3,000.

Agosti 7, 1998 Ubalozi wa Marekani nchini ulilipuliwa na kusababisha vifo kwaWatanzania 11 wakauawa na siku hiyo hiyo karibu muda sawa, Ubalozi wa Marekani nchini Kenya nao ulilipuliwa.

Katika uchunguzi uliofanywa Rais Kikwete alisema baadhi ya watu walihisiwa kuhusika, lakini mhusika mkuu alikuwa Osama.

NIFAHAMISHE Tanzania news portal .: Habari za Tanzania :.
 
Wafausi wa Osama poleni.Nasikia hapa Dar mnapanga maandamano ya kupinga na propaganda za Amerika.
 
Kwanza Mazishi ya baharini huwa yanafanyikaje?
Kuna binadamu mwingine yeyote aliyewahi kuzikwa chini ya bahari?
Ni suala lenye utata sana hili!
Niliangalia serie 1 ya hawa jamaa baada ya agent wao mmoja kufa wakamchoma moto na majivu wakayatupa baharini ndio wakasema wamemzika baharini. Sasa cjui sheikh Osama wamemfanyaje?
 
alipigwa risasi ya kichwa jicho la kushoto na kung'oa sehemu ya fuvu la kichwa na risasi ningine ilitua kifuan
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom