Actually sio waislamu wote tunakubali philosophy za bin laden.. binafsi mimi namchukia....
kila kukicha nasikia mtu kajilipuwa msikini ndani ya pakistan "ndani ya msikiti kuna waumini na vitabu vitakatifu"
hawakilishi view za waislamu wote..>> nina rafiki zangu wa dhehebu la shia .. wanasheherekea... + me even though ni sunni
USA , Israhell , hawana tofauti na Alqaida..
Hizi porojo za uncle sam yale yale ya tulitua mwezini na wameshindwa kurudia baada ya wanasayansi kuwastukia,kwanini maiti itupwe baharini na haraka hivo ? Kuna propaganda inaendelea hapa ukweli utajulikana karibuni.
Hali zenu great thinkers wenzangu! Naomba mnijuze wadau bahari alipozikwa huyu gaid nambari moja wa al-qaeda ambaye kwasasa hatunaye tena duniani, hapa namaanisha Osama bin laden, Nawasilisha.
Yaani hapa kuna maswali mengi ambayo majibu yake wanayo hao walioendesha operesheni hiyo!Hizi habari wanazitoa nusunusu na inaharibu ile flow of information kwasababu wanazingatia propaganda zaidi kuliko ku provide ukweli wa tukio na the whole mission.Wanadai sasa Bin Laden did not try to resist,before walisema he did try to resist,halafu kuna wakati walisema mission ilikuwa ni kumwua na si kumkamata akiwa hai.Huku tukijua kuanzia awali tokea Bush kuwa policy ilikuwa to capture him dead or alive,sasa walimpiga risasi ya nini kama hakukuwepo na resistance?,Wakati huo huo,chini ya Obama wanadai kuwa hiyo code name "Geranimo" means kill or capture Bin Laden...Hakuna kinachoeeleweka smoothly,too much contradiction,inawezekana aliresist lakini mambo ya propaganda hawataki kusema ili asiwe revered aonekane coward.
Badala ya kutoa habari naona wako busy kuipangilia namna ya kuitoa na kupanga kuwa ni habari ipi itolewe na kivipi,sasa huu ndo upuuzi wenyewe.Hata hivyo ndo kawaida hiyo,mshindi huandika historia,na tutaendelea kulishwa propaganda za washindi taka tusitake.
Mkuu,Wa-Hindu(Hindi) wanazika Baharini!
Ukiangalia kwa umakini hii picha ni yakutunga kwani hebu angalia rangi ya ndevu zake akiwa hai na hiyo nyingine,pia kuna walakini jicho la kushoto kwake kuna usanii umefanyika kwa mbali na umakini utaliona limefunguka lakini hapo limezibwa.tusubiri US wa release zenyewe.PIA KUWENI MAKINI KWANI KUNA VIRUSI WAMESAMBAZWA KUHUSU PICHA ZA OSAMA![]()
Nyie wengine ni akina Tomas ktk Biblia, haya picha hiyo.