Poleni sana waumini wa Osama, sio wewe tu wanaojaribu kujifariji, ila mzungu sio muarabu, mwaka huu mtakufa kwa ugonjwa wa moyo, anayefuata sasa ni Gadaffi. Nakumbuka wakati ule saddam ilipoelezwa kuwa amekamatwa wenye ufuasi naye walikataa kuwa siyo yeye. Kama Uongozi wa Pakistan wamepongeza na kuthibitisha kutokea kwa kifo hicho cha Osama ndani ya ardhi yake wewe mtu wa tandale utakataa?Wamemuua, hawajampiga picha hata moja halafu wanasema eti wamemzika baharini.
Full changa la macho.