Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
wamesema hizo ni mbinu za mataifa ya magaharibi
Vipi unapingana na maelezo yako, usomi ulicho kiandika kabla?Sasa huo udini umetokea wapi wakati ushasema kwenye Kurani hakuna sehemu inayotaja 'bikra 72' ?
Soma tena between the lines it was a sarcastic remark...Kama umeamini kuwa ni comment yenye udini hayo ni maamuzi yako na hakuna chochote ambacho naweza kufanya.
Labda unazungumzia wakiviacha vyote watapata kila kitu mara 100. I mean Wake mia, mashamba n.k
Ndio ilivyo andikwa kaka, wala usikasirike...!Sasa hapo ndiyo umesema kitu gani? Kipi bora kati ya Wake 100 na Bikira 72, haswa ukitilia maanani hao Wake 100 nao wote lazima wawe bikra kulingana na Quran? Hayo mashamba 100 nayo ni ya ahera au? Range Rover Vogue 100 na Ngamia 100 navyo vyote vinapatikana huko "ahera", ni suala la chaguo binafsi, siyo?
Ni kaswali kadogo tu wajameni, hivi hitma ya shekhe osama bin laden itakuwa lini? Kuna jamaa zetu hapa nchi lazima wataandamana kulaani mauaji na hata kumsomea shekhe osama.
Mie napingana na statement 'Rest in Peace'. Maana haina maana yoyote. Kwani kuna mahali pabaya na pazuri peponi? Na kama mtu alikua mbaya duniani, kwakusema R.I.P kinamfanya kwenda mahari pazuri/pabaya?
Osama ni kama mimi na wewe, he will either go to hell or to heaven. Ila mimi na wewe, we still have a choice to make, either to work towards hell or torwards heaven. Usije ukashangaa Osama Bin Laden unamkuta mbinguni, maana uwezi jua matendo yake ya mwisho kabisa.
Ndio ilivyo andikwa kaka, wala usikasirike...!
Yaani kila ulichokiwacha...! It means KILA KITU... Mpaka chu.pi
Ah ah ah ah ah, sasa mkuu hao mabikira 100 wanatoka wapi tena?Sawa bana. Lakini huna basi sababu ya msingi ya kulalama kuhusu Bikra 72 tu wakati Muislam ameahidiwa Wake 100 ambao pia ni mabikra.
Ebo!! Nilichokiandika kabla ni Wakati Osama akifaidi 'bikra 72' (sarcasm).....Sasa kama wewe unaona ni comment ya kidini hiyo ni juu yako.Vipi unapingana na maelezo yako, usomi ulicho kiandika kabla?
Kwani ukiwa Muislam mwenye msimamo mkalali mpaka uuwe watu bila sababu ya msingi? We vipi?Ebo!! Nilichokiandika kabla ni Wakati Osama akifaidi 'bikra 72' (sarcasm).....Sasa kama wewe unaona ni comment ya kidini hiyo ni juu yako.
Haya sisi umejitambulisha kama muislamu ndaki ndaki mwenye siasa/msimamo (m)kali tuambie mtu anayejitoa muhanga kuua infidels anapewa nini akienda mbele ya haki?