Tatizo la bush alikuwa anatangaza kwamba tutaenda kuvamia ,hakujua hao wakuu wa uko ndio wanaomlinda osama,Obama yeye alimtafuta kimya kimya bila kutangaza,ata rais wa pakistan hakuambiwa.Osama alikuwa anaishi karibu na kambi ya jeshi ata akiumwa alikuwa anatibiwa kwenye hospitali ya jeshi.
Wakati mwingine usiri una baraka ' Diamond Platinum'