Nikiwa naperuzi mtandaoni nimeikuta hii orodha ya mikoa
SAT ni idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani
Nimeshangaa sana kuona kuna mikoa ambayo hatuizungumzii sana imefanya vizuri na kuna mikoa ambayo ilikuwa navuma hapo zamani lakini kwa sasa hali ni mbaya,
Dar es salaam shule za day zina heka heka nyingi sana, Vigodoro mitaani, vibanda vya games kila kona, studio za kurekodi mziki, kutumia muda mwingi Tiktok, kuna makundi mengi sana, n.k.
Manyara wameupiga mwingi sana, sikuwahi kuwadhania kabisa.
Mkoa wa Mara ndio mkoa pekee ambao umefanya vibaya kanda ya ziwa, hivi ni kweli kuna wasomi huko kama tunavyoaminishwa au ilikuwa ni miaka ya zamani ?
Morogoro kuna shida gani mbona matokeo ni mabovu sana
SAT ni idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani
Nimeshangaa sana kuona kuna mikoa ambayo hatuizungumzii sana imefanya vizuri na kuna mikoa ambayo ilikuwa navuma hapo zamani lakini kwa sasa hali ni mbaya,
Dar es salaam shule za day zina heka heka nyingi sana, Vigodoro mitaani, vibanda vya games kila kona, studio za kurekodi mziki, kutumia muda mwingi Tiktok, kuna makundi mengi sana, n.k.
Manyara wameupiga mwingi sana, sikuwahi kuwadhania kabisa.
Mkoa wa Mara ndio mkoa pekee ambao umefanya vibaya kanda ya ziwa, hivi ni kweli kuna wasomi huko kama tunavyoaminishwa au ilikuwa ni miaka ya zamani ?
Morogoro kuna shida gani mbona matokeo ni mabovu sana