ufaulu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GUZMAN CHAPO

    JamiiForums Tanzania HOJA Kwa ufaulu huu wa 99.9% mamlaka husika zitazame upya kozi za afya na uhitaji wake

    Kulingana na ufaulu wa kidato cha sita kuendelea kupanda na kuwa juu kadri miaka inavyozidi.Ni muda muafaka sasa mamlaka husika zikafanya jitihada za kimakusudi kutanua wigo wa masomo ya kozi za afya nchini. Katika nchi ya Tanzania bado wahitimu wengi wa kidato cha sita tahasusi ya PCB...
  2. E

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kozi ya afya ya kusoma kwa ufaulu huu

    Habari ndugu zangu ! Mdogo wetu wa kike amepata ufaulu huu hapa chini na tungependa kupata ushauri kwa next step. GS - S Physics - D Chemistry- C Bio - C Bam - C Anapenda mambo ya afya sana, sasa je ufaulu utamruhusu ? Chuo gani bora kwa kozi hizo hapa Tanzania ? Gharama / mkopo nini kifanyike...
  3. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kuhusu wasiwasi ne elimu yetu je ufaulu huu unavyozidi kuongezeka kwa kasi ina maana masomo yanazidi kuwa marahisi sana

    Mi bado na mashaka na hii elimu yetu inavyoelekea wala sio kwa ubaya. Kila mwaka kasi ya ufaulu inaongezeka basi ingetupa chanya ya hawa wafauli kila siku idadi yao ikiongezeka kuona mfano kama wachina elimu ilivyo wafanya kuwa na bidhaa,wataalamu na n.k. Unajua kwa nini mi na mfano tosha tuna...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Ufaulu Kidato cha 6 ni 99.9%. CCM na Samia Washaharibu Elimu ya Tanzania. Mlaaniwe hadi Kizimkazi pasiote nyasi

    Lengo lao wanataka waseme Mama anaupiga mwingi. Kwamba Ufundishaji umeongezeka. Kila kitu sasa ni kuchakachua kuanzia matokeo ya Urais hadi Matokeo ya Wanafunzi. Shule hazina Waalimu, hazina Maabara, hazina Madawati hazina Madarasa halafu ufaulu unakuwa 99.9%. Ni sawa na Mtoto ajisahihishie...
  5. Think2

    JamiiForums Tanzania Nisome diploma ipi kwa ufaulu huu

    Form four division 1 ya 17 Physics C Chemistry B Biology A Mathematics C Geography B Nimesoma political science ila uchawa nimekataa
  6. Good doctor

    JamiiForums Tanzania Kwa comb ya PCP SIX ufaulu wa CDC naweza kupata kozi ya MD Kwa vyuo kama KCMC, Bugando na Kairuki?

    Husika na mada tajwa hapo juu msaada 🥺 please
  7. idiomer

    JamiiForums Tanzania Kupanda kwa ufaulu kitaifa kila mwaka kwa CSEE au ACSEE unaashiria nini?

    Hivi kupanda kwa ufaulu kitaifa kila mwaka kwa CSEE au ACSEE unaashiria nini? Mada mezani wadau wa elimu?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Orodha hii ya matokeo ya Form 4 kwa mikoa imenistua. mikoa tunayoichukulia poa inaongoza kitaifa na mingine imebaki historia haina tena uwezo

    Nikiwa naperuzi mtandaoni nimeikuta hii orodha ya mikoa SAT ni idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani Nimeshangaa sana kuona kuna mikoa ambayo hatuizungumzii sana imefanya vizuri na kuna mikoa ambayo ilikuwa navuma hapo zamani lakini kwa sasa hali ni mbaya, Dar es salaam shule za day zina...
  9. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania Wazazi waomba kambi ya wanafunzi wenye ufaulu wa chini iendelezwe

    Wazazi na Walezi wa Manispaa ya Mtwara–Mikindani mkoani Mtwara, wameiomba Serikali kuendeleza programu maalum ya kuwaweka kambi Wanafunzi wenye ufaulu wa mdogo ili kuongeza kiwango cha ufaulu.Ombi hilo limetolewa mara baada ya matokeo ya mtihani wa MOCK wa kidato cha nne ngazi ya Mkoa kuonyesha...
  10. Beberu Mwitu

    JamiiForums Tanzania Naweza kusoma nikiwa kazini Diploma za Sayansi kwa ufaulu huu kidato cha sita wa mwaka 2014?

    Habari za muda huu ndugu wana jukwaa. Niende moja kwa moja kwenye mada; nilihitimu kidato cha sita mwaka 2014 mchepuo wa PCM na kupata alama zifuatazo; Physics- D Chemistry- E Advanced Mathematics-E General Studies- D ( japo haina maana). Baada ya matokeo hayo yasiyoridhisha nikajikatia tamaa...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Mradi wa SEQUIP Kuongeza ufaulu Singida

    Wananchi wametakiwa kushirikiana na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan kulinda miundombinu ya shule iliyojengwa ili kuongeza ufaulu wa wanafunzi mkoani Singida Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mhe. Halima Dendego wakati akizungumzia...
  12. N

    JamiiForums Tanzania Nini kinaendelea nyuma ya huu ufaulu wa kushangaza wa kidato cha sita?

    DIVISION 1 - 61,120 DIVISION 2 - 49,385 DIVISION 3 - 14,870 DIVISION 4 NA 0 - 760 Watu wanasema elimu imerahisishwa kuna vitabu mitandaoni lakini haibadilishi uhalisia kuna wanafunzi hawapo serious, kuna wanafunzi wenye uwezo mdogo hata kuwe na rundo la material, wanafunzi watoro, n.k.
  13. Young silver

    JamiiForums Tanzania Naomba kupata summary ya ufaulu form six 2025 kitaifa

    Naomba kupata summary ya ufaulu form six 2025 kitaifa, I mean idadi za one za tatu, nne, Tano n.k, two, three n.k. Plzzzzz
  14. Masai wa Town

    JamiiForums Tanzania Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization?

    Naomba kueleweshwa, Wakuu, kati ufaulu wa Written interview na Oral Interview ipi Wana consider sana wakati wa placement prioritization? Ni saa 00:26 usiku, Sina usingizi, nina wasiwasi mkubwa sana wakuu maana nilifanya vizuri kwenye written interview ila Sina uhakika na Oral Interview. Oral...
  15. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ufaulu wa mitihani wa wanawake warembo vyuoni ulipungua madarasa yalipohamishiwa mtandaoni wakati wa COVID-19

    Utafiti wa kisayansi uliofanyika huko Sweden unaonyesha ufaulu wa wanawake warembo ulianguka pale ambapo mdarasa na masomo yaliyahamishwa mtandaoni wakati wa janga la COVID-19.
  16. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Mjadala wa Uboreshaji wa Ufundishaji, Ujifunzaji, Uelewa na Ufaulu wa Shule za Musoma Vijijini

    MATOKEO YA MJADALA WA UBORESHAJI WA UFUNDISHAJI, UJIFUNZAJI, UELEWA NA UFAULU WA SHULE ZA MUSOMA VIJIJINI Mgeni Rasmi: Ripoti & Zawadi za Ufaulu Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Mhe Juma Chikoka alikabidhiwa Ripoti ya Matokeo ya Mjadala huo. Vilevile, Mkuu huyo wa Wilaya alikabidhi zawadi za ufaulu...
  17. H

    JamiiForums Tanzania Ufaulu wa somo la Hesabu Shule za Sekondari ni kwenye 25% nini Suluhisho?

    Nimesikia kupitia Radio One leo Asubuhi mtakwimu Mkuu wa Serikali bibi Mjema akishtushwa na ufaulu wa somo la Hesabu kuwa chini sana kwenye 25% Naomba nimjulishe tu kuwa, asipoteze pesa kwa ajili ya kufanya utafiti kwani jibu lipo waziwazi; "MASHULENI HAKUNA WAALIMU WAKUTOSHA NA WENYE SIFA YA...
  18. MKILINDI

    JamiiForums Tanzania Wanahisabati toeni utata wa alama za ufaulu, majibu ya interview ya TRA

    Napata mkanganyiko kuelewa juu ya alama za matokeo ya majibu ya interview ya TRA. Majibu yaliyotoka tarehe 26.04.2025 1. Hapa nitazungumzia paper ya academic officer na warden ambazo zilikuwa na jumla ya maswali 40 na mgawanyo wa alama ni 2.5 kwa kila swali kufanya junla ya 100 katika mtihani...
  19. Burn the bridge _Tz

    JamiiForums Tanzania Kwa ufaulu huu nataka aende chuo, je akasomee course gani?

    Huyu ni mdogo wangu amepata ufaulu huu Ila Mimi nataka aaende chuo moja kwa moja aanze certificate mpka degree Naona kwenda advance ni kupoteza muda Natamani asome Cyber security Computer engineering science IT and accountancy Micro biology Naomba ushauri wako Benson Civic C history C...
  20. Los santos

    JamiiForums Tanzania Ufaulu wa miaka hii

    Hi ni ST Francis ya Mbeya hata miaka hiyo walikuwa wanapiga hizi one, lakini one za 7 hazikuwa nyingi kiasi hiki Sasa hivi imekuwa too much... Yaani Wanafunzi wote 91 wamepata one ya point 7... 🙌😄🤔
Back
Top Bottom