- Thread starter
- #41
waliofanya mtihaniSAT katika jedwali hilo ni nini?
nimeshindwa kuelewa limejirudia mara mbili katika mstari wa kila Mkoa!
waliofanya mtihaniSAT katika jedwali hilo ni nini?
nimeshindwa kuelewa limejirudia mara mbili katika mstari wa kila Mkoa!
Tuwekee tuokote mawili matatu, wengine tunapenda kujifunza kila sikuUmesema kweli, ningeandika kitu kuhusu last born wetu wa kiume now yupo kidato Cha kwanza,sema jf Kuna wasomi naogopa watanipopoa🙌
Huwezi kuwa engineer(civil & mechanical) alafu shoga. Mashoga fani yao urembo, japo kuna mmoja hata humu yupo kasoma computer engineering hapo UDSM. Alikua ombaomba humu - fungua code hiyoAkiwa shoga ata athirika vipi na hiyo njia unayotaka kumpitisha?
Ushoga ni threat kiasi hiko cha kushindwa mtu kutimiza ndoto yake?? Au nini?
Mbona kunao mashoga ni wahandisi na madaktari wako field wanafanya kazi vyema kuliko hata straight.
Shida nini??
😂😂😂😂😂😂😂Mikoa ya zanzibar yote ya mwisho.Ndiyo maana kuna mzanzibar mmoja kaharibu Tanganyika yetu
Andika tu mkuu, kupopolewa humu ni kawaidaUmesema kweli, ningeandika kitu kuhusu last born wetu wa kiume now yupo kidato Cha kwanza,sema jf Kuna wasomi naogopa watanipopoa🙌