Wanaume mna dhambi nyie acha tu, chuoni nilidate mume wa mtu for a year bila kujua, kuja kujua bila hata aibu analia kabisa eti nisimuache, i was like WTF[emoji134][emoji134][emoji134]
Kuna kipindi napo nusura nidate mume wa mtu, ila nafsi ilisita sana ikabidi nifanye uchungizi kwanza, ilinichukua miezi kama 7 kuja kugundua he is married. Utetezi wake "eti nilijua vile unawachukulia vibaya wanaume waliooa alafu wanaotoka nje ya ndoa zao hivyo usingenikubali na ungenidharau" yaani ndio nikamdharau maradufu.
Akili zao sojui kama ziko sawa na huwa zinawaza nini[emoji134][emoji134][emoji134]