Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Hahahaha kuna kitu kimoja ambacho wanaume Malaya wanacho na wale wasio Malaya hawana na kitu hicho ni very attractive to women..

They are so secure na wanajiamini sana hivo basi wanapenda bila wivu,wanajali bila kuwaza mara mbili mbili na wanapata taste za mbalimbali.

Mimi binafsi nikipata mchepuko wa ngono tu najikuta nampenda sana mwanamke wangu permanent...nikiwa sina kuna kaconfidence flan napoteza... meaning less attractive [emoji38][emoji38][emoji38].

Ukioa wanawake wengi wanakuona attractive ukiongeza na care za mke Tena ndo kabisaaaaaa very smart, charming,secure, confidence,comfortable
 
Umeandika kwa hisia sana pole mpenzi ......


Naunga mkono hoja habari za kuwekana na matarajio makubwa mwisho wa siku yanakuja kutokea haya kwa kweli sio poa ....yameshawahi kunikuta haya tena mtu anakwambia oooh watoto hawa mamayao alitaka kunichoma kisu nikaponea chupuchupu akapelekwa police ushahidi alitoa mwanangu huyu kwahiyo mama yao sipo nae pamoja.....mtu najitutumua kuwapenda watoto nawaweka dp huko Sijui vikorombwezo gani siku ya siku nakuja kujua jamaa ana mke tena mwanamke alikamata namba zangu akanipigia kanichimba mkwara wa nguvu


Me huwaga mpole tu kwenye kesi za ndoa za watu nikamwomba msamaha yule dada yakaisha ...lile punguwani nikalipiga stop kunitafuta kwa namna yoyote.....


Kwakweli wanaume muwe wawazi mnapotuficha vitu kama hivi mnatutengenezea mazingira ya kufakufa ....wake zenu wengine ni vichaa anakuiba namba anamtafuta huyo uliyemfanya mchepuko anaenda kumfanyia kitu kibaya .....

Kuweni na huruma tu ....halafu nyinyi mmeoa huku nje mnatafuta nini mbuzi wa kafara nyinyi mnataka nini hukuuuuuu aaaaagggggrrrrr[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Umeandika kwa hisia sana pole mpenzi ......


Naunga mkono hoja habari za kuwekana na matarajio makubwa mwisho wa siku yanakuja kutokea haya kwa kweli sio poa ....yameshawahi kunikuta haya tena mtu anakwambia oooh watoto hawa mamayao alitaka kunichoma kisu nikaponea chupuchupu akapelekwa police ushahidi alitoa mwanangu huyu kwahiyo mama yao sipo nae pamoja.....mtu najitutumua kuwapenda watoto nawaweka dp huko Sijui vikorombwezo gani siku ya siku nakuja kujua jamaa ana mke tena mwanamke alikamata namba zangu akanipigia kanichimba mkwara wa nguvu


Me huwaga mpole tu kwenye kesi za ndoa za watu nikamwomba msamaha yule dada yakaisha ...lile punguwani nikalipiga stop kunitafuta kwa namna yoyote.....


Kwakweli wanaume muwe wawazi mnapotuficha vitu kama hivi mnatutengenezea mazingira ya kufakufa ....wake zenu wengine ni vichaa anakuiba namba anamtafuta huyo uliyemfanya mchepuko anaenda kumfanyia kitu kibaya .....

Kuweni na huruma tu ....halafu nyinyi mmeoa huku nje mnatafuta nini mbuzi wa kafara nyinyi mnataka nini hukuuuuuu aaaaagggggrrrrr[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Tunatafuta ladha tofauti Zeshchriss, halafu tuombe msamaha dada umetutukana tusi kubwa sana, sisi sio mbuzi wa kafara.
 
Ni kweli nimeoa na huwa natafuta huko nje pia lkn hilo jina sijalipenda kwakweli.
Pambana na hali yakoooo kijana wacha ubazazi tulia na mkeo.....

Kuna mpuuzi mmoja wiki iliyopita alinitokea nilimuuliza una mke!! Akaanza kujiumauma nikamwambia usinichekee sitaki kuchekewa kwenye hili kama una mke sema ....akajibu ndio ninae lakini usimfikirie yeye jali kuhusu Mimi na wewe hiiiiiiiiii nikaona anataka kunitia ujinga nkamwambia hiyo biashara baba hapana we kaa na mkeo tu mambo yasiwe mengi
 
Back
Top Bottom