Baby Doll
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 4,884
- 22,069
Kwamba umegundua inacharge kijinga?Hahaha sawa sawa, unaonekana akili yako inacharge tofauti na nilivyokuwa nakuelewa awali
Kwamba umegundua inacharge kijinga?Hahaha sawa sawa, unaonekana akili yako inacharge tofauti na nilivyokuwa nakuelewa awali
Sawa nimeshajibu.Nimetuma maombi pm
Hivi kwa umri wangu nikimtongoza binti wa below 25yrs lazima atajua nimeoa kama yeye akikubali maana yake kanikubali na hali yanguOngeeni ukweli wenu mtasababisha tupasuane na chupa za soda bila sababu ya msingi [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa nn toka mwanzo usimwambie ukweli kuliko kumdanganya uongo mkubwa hivyo?Nimeongezea nishauri
😀Pole dadaNiliwahi kuwa nae wa hivyo yaani siku nilivyo gundua nilijiuliza maswali mengi kichwani bila majibu mkewe alikuwa nae mda gani maana akitoka job yupo na mimi,weekend yupo na mimi, simu yangu anaipokea bila tatizo.akija kwangu Pete ya ndoa anavua kiazi mbatata yule sitamsahau mwaume mjanja zaidi ya sungura.
[emoji23][emoji23][emoji23]Unataka uone nini?Naomba avatar upandishe mpaka juu
Asante mpenzi😀Pole dada
Kwa nn toka mwanzo usimwambie ukweli kuliko kumdanganya uongo mkubwa hivyo?
Hivi kwa nini nyie viumbe mnapenda kucheza na mioyo ya watu jamani
Kidevu na sura nimevimiss jamani [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka uone nini?
Sawa dada mzuriSi kwasababu ni mdogo wangu.
[emoji1][emoji1]Geukia huku kwanzaKidevu na sura nimevimiss jamani [emoji847]
Ilikuwaje toka mwanzo usimwambie ukweli
Ukweli siku zote humweka mtu huru jamaniBasi tuu niliomba first date akaniuliza kama nimeoa maana hatoki na waume wa watu, ikabidi nijilipue sijaoa tena kwa herufi kubwa
Nageuka bwana ebu fanya hivyo basi na vile unavyopenda giza giza[emoji1][emoji1]Geukia huku kwanza
[emoji1][emoji1]Nimekutumia pmNageuka bwana ebu fanya hivyo basi na vile unavyopenda giza giza
Hahah huo uamuzi wa kuvua chupi ndio huwa haufanyiki sasa na lengo la kukufuata ndio hilo. Sasa niseme ukweli nikose nachotaka au nikudanganye nipate nachotakaAkishakudanganya hana malengo marefu na wewe! Lengo ni moja tuu, akukule tuu!
Hakuna kitu kibaya kama kumjeruhi mtu moyo kwa faida yako! Mwambie ukweli, akiamua kuwa na wewe awe na wewe akiwa anaujua ukweli!