Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Bora unidanganyie hela nitakuelewa maana na mimi nitapenda hela zako. Ila ukija kwa mapenzi bila hela wala nini halafu nikupende kumbe unanidanganya utaniumiza sana.
Ukinidanganya una hela kumbe huna sitaumia sana wala nini ila kuniongopea moyo wangu nitaumia mno mno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kumbuka usitumie vitu kumpata mtu mpate mtu mtumie vitu
 
Nimekumbuka mbali sana... hii mbinu ni chafu sana ila inatusaidia kupata totozi mtaani. Yaani unapiga sound mpaka unataja tarehe ya kwenda kwao kujitambulisha next day unapiga mzigo.
Mnapata dhambi
 
Ukienda kwa mtu wa level yako yule ambaye hali zenu mnafanana ni rahisi kukuelewa na kukubalia. Tatizo mmoyo unavyozimikia vile vitu vikubwa ambavyo haviendani na hali yangu hapo ndipo mbinu hubadilikia maana nikionesha hali halisi Mzigua90 sitampata.

Alafu mna kwama wapi mbona rahisi sana. sisi tunagunduaga mapema tu, huyu ni mpenda hela, huyu ni kicheche ni kikaa vibaya ntakufa, huyu ni mpenda bata,huyu ni wife material anafaa wekwa ndani
 
Back
Top Bottom