Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Ombi: Unapomtokea Mwanamke Mueleze Ukweli

Mama mie nakulavu long taimu kinoma, naomba hii week isiishe tuwe kitu kimoja roni. Nimeamua kuwa mkweli kama unavyotaka natarajia mema toka kwako mpenzi Mzigua90 amini kwamba hutokaa ujute
Wewe najua unae gf ukinila ni genye zangu tu wala sitakulaumu
 
Niliwahi kuwa nae wa hivyo yaani siku nilivyo gundua nilijiuliza maswali mengi kichwani bila majibu mkewe alikuwa nae mda gani maana akitoka job yupo na mimi,weekend yupo na mimi, simu yangu anaipokea bila tatizo.akija kwangu Pete ya ndoa anavua kiazi mbatata yule sitamsahau mwaume mjanja zaidi ya sungura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahah kuna ka ukweli, wale KE ligi ndogo hatuwatakagi ila ni simple sana kuwasaundisha na kuwakaa ni uhakika. Shida ni kwamba tunatakaga bebe zingine kali zaidi ambazo unajua bila mbinu chafu hutoboi...basi ndio kama hivyo yani!
Unajua na wewe una tabia za ofisi sana mpenzi?
 
Ukitaka kukosa mrembo basi we ongea ukweli ukione cha moto, kwa nature ya wanawake wa Kiafrika hasa wa hapa TZ hawapendi ukweli, mtu unamwambia ukweli anakutukana, bora umdanganye tu. Anyway pole sana
 
Mi mkristo RC yeye mkristo Mlutheri ndoa za pili hatunaga. Halafu angekua na mihela ningemkubali niwe wa pili tu nisikose vyote. Sasa hela hamna nikawe mke wa pili akuuu. Sijajikatia tamaa bado
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Hujapenda Mzigua90 kwani si kuna ndoa za bomani?

Mi mkristo RC yeye mkristo Mlutheri ndoa za pili hatunaga. Halafu angekua na mihela ningemkubali niwe wa pili tu nisikose vyote. Sasa hela hamna nikawe mke wa pili akuuu. Sijajikatia tamaa bado
 
Back
Top Bottom