Rufiji
Platinum Member
- Jun 18, 2006
- 1,881
- 941
Mkandara,
Kwanza nakubaliana na wewe kabisa kwa michango yako anuwai , ni kweli kabisa kabla ya wapinzani kuanza kutafuta mchawi wao ni lazima waondoe matatizo yaliyopo katika vyama vyao . Tatizo moja kubwa linalowasibu wanasiasa wa afrika ni wanatka kusikia yale wanayotaka kusikia " Very close minded " . Hakuna mwanadamu aliyeperfect kwa hiyo ni michango kama hii inatakiwa itumike kama kioo cha kujikosoa.
Mkandara, umetoa hoja nzito sana lakini nina swali moja tuu ! matatizo ya upinzani umeyahainisha vizuri sasa je kwa mtazamo wako ni vitu vingine zaidi ya vile vile ulivyoainisha hapo juu vinaitaji kufanywa na upinzani ili kuweza kuupa nguvu upinzani ?
Kwanza nakubaliana na wewe kabisa kwa michango yako anuwai , ni kweli kabisa kabla ya wapinzani kuanza kutafuta mchawi wao ni lazima waondoe matatizo yaliyopo katika vyama vyao . Tatizo moja kubwa linalowasibu wanasiasa wa afrika ni wanatka kusikia yale wanayotaka kusikia " Very close minded " . Hakuna mwanadamu aliyeperfect kwa hiyo ni michango kama hii inatakiwa itumike kama kioo cha kujikosoa.
Mkandara, umetoa hoja nzito sana lakini nina swali moja tuu ! matatizo ya upinzani umeyahainisha vizuri sasa je kwa mtazamo wako ni vitu vingine zaidi ya vile vile ulivyoainisha hapo juu vinaitaji kufanywa na upinzani ili kuweza kuupa nguvu upinzani ?