Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,666
- 218,155
Hii ndio taarifa ya leo iliyoripotiwa na gazeti la Raia Mwema , ni kwamba DPP ameamua kukata rufaa kwa ile kesi ya kwanza iliyowashangaza wengi ambayo pamoja na Sabaya kufungwa miaka 30 Jela , lakini aliachiwa huru katika mazingira ya kutatanisha , baada ya kukata rufaa na kushinda .
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojili ili kujionea Haki ikitendeka .
KILA UBAYA UTALIPWA
Tuendelee kutega sikio kwa yatakayojili ili kujionea Haki ikitendeka .
KILA UBAYA UTALIPWA