Nyumba za kulala wageni Dar imekuwa kero sana, wahusika fuatilieni hili ni hatari

Wewe unaenda kwenye madanguro unaita gest? Ingia lodge zipo kibao lakini kama unaenda vigest vya buku tano ili uopoe machangudoa yanayozunguka na kusimama kwenye makorido basi usilalamike
Interesting hili jukwaa...wewe juzu ulikuwa unasifia jamaa yako katumia laki moja kwenye baa, na wewe kakupa buku 15,ukaona ni pesa nyingi paka umeanzishia uzi ...leo unamkandia huyo jamaa??
 
Mleta mada ameleta hoja muhimu Sana,

Wachanguaji tuache mihemko.

Hizo tabia zipo Sana tu ktk lodge nyingi sn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli. Lodge zipo na zinapokea wageni. Kwa jinsi alivyojieleza mtoa mada itakuwa anaenda sehemu zenye biashara ya ngono. Maeneo kama hayo yana usumbufu sababu muda wowote unaweza shangaa mmevamiwa na polisi mkasombwa.

Tatizo la hoteli, lodge na gest ni kasheria walichojiwekea kuwa mwisho saa nne. Yaani uingie saa nane usiku ikifika saa nne ndo mwisho hiyo ndo tabia ya kijinga. Ilitakiwa watu walipe kwa 24hrs. Au basi atlest 20hrs ili 4hrs ziwe kwa ajili ya usafi.
 
vya bei nafuu vina kero zake, acha kwenda kulala kwenye vi guest house vya shilingi elfu 7, elf 10, au elf 15.

kuanzia sasa, jizoeshe kulala lodge za kuanzia elf 20, elf25 au elf30, huko hakuna upuuzi huo.

tafuta pesa.
Banana na gongo la mboto Kuna gest nzuri sana acha dharau na pia Kuna hotel za maana kabisa wewe utakuwa mhaya
 
dah ila tunayanyandua kweli kweli
Sasa hivi wanawake wako very cheap!

Kuna siku niliamua kuokota namba za wadada kama saba hivi siku hiyo sina kazi nikatulia nikawatongoza randomly wanne walikubali on the spot watatu wakawa na dharura ila still walinielewa,sasa sijui ni maisha yamekuwa magumu au ni uhuru wa kutumia miili yao sijui.
 
Wadau hili suala limekuwa kero sana na imekuwa kasumba kwamba unapoenda kutafuta chumba unaulizwa kwanza kama unalala au ni fasta.

Sasa ukisema unalala unaambiwa hatupangishi vyumba vya kulala mpaka Saa nne usiku. Kwa maana hiyo Sasa hivi gesti zimebadilisha matumizi badala ya nyumba za kulala.

Sasa ni nyumba za fasta unatakiwa ulipie Kwa masaa, mteja ukionekana na mabegi inamaana unataka kulala chumba hupewi, nenda Gongo la Mboto, Banana au Mbezi huo mchezo umekithiri, unaweza kuzunguka na mabegi kutwa nzima, mamlaka inayohusika fuatilieni uchafu huu unaendelea


Nadhani unaenda “gesti” za uchochoroni za bei nafuu. Jaribu kubadili uende zenye hadhi kidogo hutakutana na huu uchafu
 
Wadau hili suala limekuwa kero sana na imekuwa kasumba kwamba unapoenda kutafuta chumba unaulizwa kwanza kama unalala au ni fasta.

Sasa ukisema unalala unaambiwa hatupangishi vyumba vya kulala mpaka Saa nne usiku. Kwa maana hiyo Sasa hivi gesti zimebadilisha matumizi badala ya nyumba za kulala.

Sasa ni nyumba za fasta unatakiwa ulipie Kwa masaa, mteja ukionekana na mabegi inamaana unataka kulala chumba hupewi, nenda Gongo la Mboto, Banana au Mbezi huo mchezo umekithiri, unaweza kuzunguka na mabegi kutwa nzima, mamlaka inayohusika fuatilieni uchafu huu unaendelea

Sasa mkuu kwann unalala huko uswahilini na wewe??? Sasa ivi dar kuna bolt Boda unalala popote na usafiri upo..... Nipo dar nimefikia mbezi beach lakini usafiri napata wakwenda ninapotaka nani fasta!!! Acha kulala ayo maeneo ya uswahilini na siku utakuta wamekuibia
 
vya bei nafuu vina kero zake, acha kwenda kulala kwenye vi guest house vya shilingi elfu 7, elf 10, au elf 15.

kuanzia sasa, jizoeshe kulala lodge za kuanzia elf 20, elf25 au elf30, huko hakuna upuuzi huo.

tafuta pesa.
jamaa anafanya kazi kwa muhindi, mshahara laki na nusu lodge 20k - 30k hawezi afford.
 
Sio kweli. Lodge zipo na zinapokea wageni. Kwa jinsi alivyojieleza mtoa mada itakuwa anaenda sehemu zenye biashara ya ngono. Maeneo kama hayo yana usumbufu sababu muda wowote unaweza shangaa mmevamiwa na polisi mkasombwa.

Tatizo la hoteli, lodge na gest ni kasheria walichojiwekea kuwa mwisho saa nne. Yaani uingie saa nane usiku ikifika saa nne ndo mwisho hiyo ndo tabia ya kijinga. Ilitakiwa watu walipe kwa 24hrs. Au basi atlest 20hrs ili 4hrs ziwe kwa ajili ya usafi.
Hizo za bei rahisi .
 
Sasa hivi wanawake wako very cheap!

Kuna siku niliamua kuokota namba za wadada kama saba hivi siku hiyo sina kazi nikatulia nikawatongoza randomly wanne walikubali on the spot watatu wakawa na dharura ila still walinielewa,sasa sijui ni maisha yamekuwa magumu au ni uhuru wa kutumia miili yao sijui.
Mimi naamini ni ugumu wa maisha
 
Back
Top Bottom