Lipijema
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 809
- 1,193
Leo nipo sehemu hii ya Kahunda wilaya Sengerema kwenye nyumba ya kulala wageni inaitwa Mtula G.H. ni gesti ya muda mrefu Sana!
Nilikuja hapa mimi na mke. Kuna kunguni wengi tu, hadi niliomba nibadilishiwe chumba, nilibadilishiwa lakini hali bado ni ile ile! Mida ya saa saba tulipitiwa na usingizi uliofuatiwa na ndoto za ajabu ajabu, nilikuwa naota na kuweweseka kwa sauti nimeona binadam kiungo cha kama binadamu sehemu ya uume wake na mguu mmoja akiwa anataka kuungia humu ndani!
Mimi nilikuwa namzuhia kwa kusoma Qur'an huku nikijitahidi kunyanyuka lakini ilichukua muda sana hadi saa kumi na nusu nafanikiwanafanikiwa, mile nilichokiona kinatoweka na ninamwamsha mwanamke naye ananieleza kuna sauti nilikuwa naitoa nikiwa nimelala.
Pia, naye ananieleza ya kwamba naye ameota njozi za ajabu na alijitahidi kusoma Qur'an ili kujikwamua! Kwani kuna mtu aliyetaka kumuingilia kimwili. Ananipa matumaini tulale M/Mungu atatuepusha na haya majaribu. Samahani kwa uhandishi mbovu!
Nilikuja hapa mimi na mke. Kuna kunguni wengi tu, hadi niliomba nibadilishiwe chumba, nilibadilishiwa lakini hali bado ni ile ile! Mida ya saa saba tulipitiwa na usingizi uliofuatiwa na ndoto za ajabu ajabu, nilikuwa naota na kuweweseka kwa sauti nimeona binadam kiungo cha kama binadamu sehemu ya uume wake na mguu mmoja akiwa anataka kuungia humu ndani!
Mimi nilikuwa namzuhia kwa kusoma Qur'an huku nikijitahidi kunyanyuka lakini ilichukua muda sana hadi saa kumi na nusu nafanikiwanafanikiwa, mile nilichokiona kinatoweka na ninamwamsha mwanamke naye ananieleza kuna sauti nilikuwa naitoa nikiwa nimelala.
Pia, naye ananieleza ya kwamba naye ameota njozi za ajabu na alijitahidi kusoma Qur'an ili kujikwamua! Kwani kuna mtu aliyetaka kumuingilia kimwili. Ananipa matumaini tulale M/Mungu atatuepusha na haya majaribu. Samahani kwa uhandishi mbovu!