Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, amefariki akiwa fukara.

haya ni mambo kumi muhimu tunayaoweza kuyatafakati.

1.Hana kitu cha fahari cha kujivunia, mbali na busara na msimamo kwa kile alichokiamini.

2.Hana lolote la kuweza kunyooshewa kidole na binadamu yeyote kwamba alikuwa na mali nyingi kupindukia ambazo alizipata kwa njia ya udanganyifu.

3.Alikuwa, amekuwa na ataendelea kuwa mjamaa wa kweli asiye na mfano ndani na nje ya bara la Afrika. Alikuwa na msimamo usiotetereka wala hakuwahi kumpigia magoti mtu kwa mali au utajiri wake.

4.Aliwakemea wote waliojaribu kumwambia lolote kuhusu kuchota mali za umma kwa ajili yao na ndugu zao. Aliwapa ukweli tena usiokuwa na kificho; Aliwaambia hapana na kweli ikawa hivyo hadi mwisho na wao kukata tamaa.

5.Kwa wabinafsi na mafisadi, Mwalimu alionekana mjinga kwa kutotumia nafasi aliyokuwa nao kujichotea mali. Hakuweza kamwe kujilimbikizia mali pamoja na kwamba alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo.

6.Nyerere alikuwa ni binadamu tofauti. Kwa kawaida binadamu amezaliwa na tabia ya ubinafsi, lakini yeye hakuweza kuwa na tamaa ya kuiba ama kuchota raslimali zilizokuwapo wakati huo pamoja na umbumbumbu wa idadi kubwa ya wananchi wa Tanganyika, ambao wengi wao kwa wakati huo hawakuwa na elimu wala ufahamu wa kutosha juu ya mambo mengi.

7.Mwalimu alikemea utumiaji wa mitutu ya bunduki ama nguvu za dola katika kuzima ama kuzuia haki za watu, akieleza kuwa matumizi ya maguvu ya aina hiyo hayawezi kudumu milele kukandamiza na kuzuia haki kutendeka.

8.Alithamini haki za binadamu na kusema ni kigezo cha msingi katika kudumisha amani na mshikamano, katika nchi moja kwa upande mmoja na katika dunia kwa upande mwingine.

9.Mwalimu Nyerere hakutaka kuonea, lakini alikaripia pale palipojitokeza udhaifu.

10.Mwalimu Nyerere alikuwa baba, babu na mlezi wa kila mmoja. Wapo wanaokejeli ubaba, ubabu na ulezi wake ambao ameutoa kwa Tanganyika, na baadaye Tanzania, kwa zaidi ya nusu ya maisha yake yote.


HITIMISHO
Tabia hii ilifanya Mwalimu ajikusanyie mashabiki na marafiki wengi na alifanikiwa kuipenyeza kwa baadhi ya watumishi waliokuwa madarakani wakati huo.
Ufukara wa viongozi waliokuwa madarakani si dhambi; wala si kosa kwa viongozi walioko madarakani kutumia fedha halali za mishahra yao na masurufu mengine ya lazima kujijengea nyumba na mahitaji mengine muhimu.

Lakini ukweli unabaki pale pale kuwa kiongozi yeyote Tanzania au nchi nyingine masikini anayeweza kuwa na kasri ama gari la gharama kubwa wakati mishahara si mikubwa, isiyoruhusu kufanya vitu vya kuogofya; na kama anavyo vitu vya fahari kubwa ni wazi kuwa atakuwa akiiba ama mali ya umma au kula rushwa.

Nyerere 'aliwaambukiza' tabia hiyo viongozi wengi waliokuwa chini yake na ambao, hata leo baada ya kustaafu, wamebaki kuwa watu wasiokuwa na msimamo thabiti kwa maisha yao na familia zao kwa kuwa tu hawakuweza kujichotea mali kwa rushwa au wizi.


haya yote yanapatikana katika kitabu cha Nyerere Hazina Tanzania.na nimeyaleta hapa kwa nia moja na dhumuni moja la hasira juu ya wale wote wanaopenda kujilimbikizia mali.
 
Lakini ukweli unabaki pale pale kuwa kiongozi yeyote Tanzania au nchi nyingine masikini anayeweza kuwa na kasri ama gari la gharama kubwa wakati mishahara si mikubwa, isiyoruhusu kufanya vitu vya kuogofya; na kama anavyo vitu vya fahari kubwa ni wazi kuwa atakuwa akiiba ama mali ya umma au kula rushwa.
Kuna haja ya kurudisha sheria ya Maadili ya uongozi na huu ndio wakati wake,
suala la kutenganisha biashara na siasa halitoshi ila maadili ya uongozi litakuwa jambo jema na nina uhakika tutafika
 
katika moja kubwa linaloniboa toka kwa JKN na ambalo mpaka sasa hivi tunalishuhudia kwa vijana wake.............ni muendelezo wa KUBEBANA.......pamoja na kujua maovu ya kila mmoja wa viongozi

Hebu ona BWM alivyomchukua Lowassa na kuwa Waziri............strange enough JK naye akampa u-PM

hebu angali sasa tunavopiga makelele kuhusu viongozi mafisadi.........Chenge,Hosea Mwanyika.....still wako madarakani

Hebu angalia watu wanaotudanganya kuhusu qualifications zao.......check Mkulo. Kamala, Nchimbi, Nagu na bado wanapeta tu......utafikiri CCM imeishiwa watu wa kuziba hizo nafasi zao

Hebu angalia ujeuri wa watu kama akina Mattaka Daudi na sasa Kihwele....bado wanadunda tu

HUU NI UDHAIFU MKUBWA TULIORITHI KUTOKA KWA JKN (RIP) UNAOTU-COST WATANZANIA.............badala ya kufukuza na kuwapiga mvua 18.....bado tunaleana leana.........shame on all governments
 
katika moja kubwa linaloniboa toka kwa JKN na ambalo mpaka sasa hivi tunalishuhudia kwa vijana wake.............ni muendelezo wa KUBEBANA.......pamoja na kujua maovu ya kila mmoja wa viongozi

Hebu ona BWM alivyomchukua Lowassa na kuwa Waziri............strange enough JK naye akampa u-PM

hebu angali sasa tunavopiga makelele kuhusu viongozi mafisadi.........Chenge,Hosea Mwanyika.....still wako madarakani

Hebu angalia watu wanaotudanganya kuhusu qualifications zao.......check Mkulo. Kamala, Nchimbi, Nagu na bado wanapeta tu......utafikiri CCM imeishiwa watu wa kuziba hizo nafasi zao

Hebu angalia ujeuri wa watu kama akina Mattaka Daudi na sasa Kihwele....bado wanadunda tu

HUU NI UDHAIFU MKUBWA TULIORITHI KUTOKA KWA JKN (RIP) UNAOTU-COST WATANZANIA.............badala ya kufukuza na kuwapiga mvua 18.....bado tunaleana leana.........shame on all governments

Tatizo ni hili hapa
Sifa ya mtu kuwa kiongozi wa CCM ni hii hapa ila inavunjwa na watu waliotosheka na pesa za ufisadi na watu waliojaa tamaa za kimwii na kipesa.
“Awe ni mtu aliyetosheka, na asiwe mtu aliyetawaliwa na tamaa.”
(Katiba ya CCM, (17(1)).
 
Tatizo ni hili hapa
Sifa ya mtu kuwa kiongozi wa CCM ni hii hapa ila inavunjwa na watu waliotosheka na pesa za ufisadi na watu waliojaa tamaa za kimwii na kipesa.
“Awe ni mtu aliyetosheka, na asiwe mtu aliyetawaliwa na tamaa.”
(Katiba ya CCM, (17(1)).

Siku hizi wanatanguliza ibara ya 15:1, ibara hiyo hapo imepitwa na wakati na ukiiongelea watakwambia unataka kurudisha Azimio la Arusha
 
Kuna haja ya kurudisha sheria ya Maadili ya uongozi na huu ndio wakati wake,
suala la kutenganisha biashara na siasa halitoshi ila maadili ya uongozi litakuwa jambo jema na nina uhakika tutafika

Kwa kipofu hataona kuwa sheria hii is almost in place. IPO na Imeanza kazi kwa nguvu.Ni vuguvugu against UFISADA nk.

Wananchi wameamka, watanzania wengi wameanza kutambua nguvu ya watu(WAO) katika mapinduzi ya haki zao.

Kwani kiongozi gani sasa hivi anajiona yuko salama na ufisadi wake?

Hili sio swala la Serekali au la chama chochote.Ni la kitaifa. Ni watu ..watanzania kuamka na kuwaonyesha viongozi wao kuwa .... hakuna kiongozi bila anaye ongozwa....so we can bring them down anytime when we want!

Pale Butiama..walitakiwa kuitamka sheria hii rasmi. but they wasted all the time na mambo yasiyo ya msingi.

Hawako tayari kuiface kikamilifu ...hili ni swala la kitaifa wala sio la chama.

Nyerere kuna mahali aliwaambia ..watairudia ..na kuitumia miiko ya uongozi come what!!! Miiiko ile ya kimaadili haikwepeki.

Leo viongozi wa Tanzania..Mkapa, Yona...Lowas..etal... wanadhalilika hadharani kwa kukiuka miiko ya uongozi...kama wengine hawataki kujifunza kwa njia ya kawaida ..they will have to do it in a hard way!!

Msingi wa ubinaadamu ni UTU, That is the summary of the 10 charaters of JKN shown above.

Hatuwezi kuukimbia UTU ndio asili yetu.

Hatuwezi kukimbia character na quality za JKN, kama Viongozi na kama Taifa!
 
Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, amefariki akiwa fukara.

haya ni mambo kumi muhimu tunayaoweza kuyatafakati.

1.Hana kitu cha fahari cha kujivunia, mbali na busara na msimamo kwa kile alichokiamini.

2.Hana lolote la kuweza kunyooshewa kidole na binadamu yeyote kwamba alikuwa na mali nyingi kupindukia ambazo alizipata kwa njia ya udanganyifu.

3.Alikuwa, amekuwa na ataendelea kuwa mjamaa wa kweli asiye na mfano ndani na nje ya bara la Afrika. Alikuwa na msimamo usiotetereka wala hakuwahi kumpigia magoti mtu kwa mali au utajiri wake.

4.Aliwakemea wote waliojaribu kumwambia lolote kuhusu kuchota mali za umma kwa ajili yao na ndugu zao. Aliwapa ukweli tena usiokuwa na kificho; Aliwaambia hapana na kweli ikawa hivyo hadi mwisho na wao kukata tamaa.

5.Kwa wabinafsi na mafisadi, Mwalimu alionekana mjinga kwa kutotumia nafasi aliyokuwa nao kujichotea mali. Hakuweza kamwe kujilimbikizia mali pamoja na kwamba alikuwa na uwezo wa kufanya hivyo.

6.Nyerere alikuwa ni binadamu tofauti. Kwa kawaida binadamu amezaliwa na tabia ya ubinafsi, lakini yeye hakuweza kuwa na tamaa ya kuiba ama kuchota raslimali zilizokuwapo wakati huo pamoja na umbumbumbu wa idadi kubwa ya wananchi wa Tanganyika, ambao wengi wao kwa wakati huo hawakuwa na elimu wala ufahamu wa kutosha juu ya mambo mengi.

7.Mwalimu alikemea utumiaji wa mitutu ya bunduki ama nguvu za dola katika kuzima ama kuzuia haki za watu, akieleza kuwa matumizi ya maguvu ya aina hiyo hayawezi kudumu milele kukandamiza na kuzuia haki kutendeka.

8.Alithamini haki za binadamu na kusema ni kigezo cha msingi katika kudumisha amani na mshikamano, katika nchi moja kwa upande mmoja na katika dunia kwa upande mwingine.

9.Mwalimu Nyerere hakutaka kuonea, lakini alikaripia pale palipojitokeza udhaifu.

10.Mwalimu Nyerere alikuwa baba, babu na mlezi wa kila mmoja. Wapo wanaokejeli ubaba, ubabu na ulezi wake ambao ameutoa kwa Tanganyika, na baadaye Tanzania, kwa zaidi ya nusu ya maisha yake yote.


HITIMISHO
Tabia hii ilifanya Mwalimu ajikusanyie mashabiki na marafiki wengi na alifanikiwa kuipenyeza kwa baadhi ya watumishi waliokuwa madarakani wakati huo.
Ufukara wa viongozi waliokuwa madarakani si dhambi; wala si kosa kwa viongozi walioko madarakani kutumia fedha halali za mishahra yao na masurufu mengine ya lazima kujijengea nyumba na mahitaji mengine muhimu.

Lakini ukweli unabaki pale pale kuwa kiongozi yeyote Tanzania au nchi nyingine masikini anayeweza kuwa na kasri ama gari la gharama kubwa wakati mishahara si mikubwa, isiyoruhusu kufanya vitu vya kuogofya; na kama anavyo vitu vya fahari kubwa ni wazi kuwa atakuwa akiiba ama mali ya umma au kula rushwa.

Nyerere 'aliwaambukiza' tabia hiyo viongozi wengi waliokuwa chini yake na ambao, hata leo baada ya kustaafu, wamebaki kuwa watu wasiokuwa na msimamo thabiti kwa maisha yao na familia zao kwa kuwa tu hawakuweza kujichotea mali kwa rushwa au wizi.


haya yote yanapatikana katika kitabu cha Nyerere Hazina Tanzania.na nimeyaleta hapa kwa nia moja na dhumuni moja la hasira juu ya wale wote wanaopenda kujilimbikizia mali.


Pure Crap:

Nyerere hakuwa fukara. Alikuwa mtoto wa chifu. Na hakuna chifu aliyekuwa fukara Tanzania.

Ufukara sio kigezo cha mtu kuwa kiongozi mzuri au mwenye juhudi za kuleta maendeleo kwa wananchi wake.
 
Pure Crap:

Nyerere hakuwa fukara. Alikuwa mtoto wa chifu. Na hakuna chifu aliyekuwa fukara Tanzania.

Ufukara sio kigezo cha mtu kuwa kiongozi mzuri au mwenye juhudi za kuleta maendeleo kwa wananchi wake.

Ufukara sio kigezo cha kuwa kiongozi, kuna viongozi wengine ambao ni matajiri na wanatumia nafasi yao ya utajiri kuwasaidi wananchi wao, mfano mzee Ndesaburo.
Pamoja na hayo Mwal. alikuwa na mapenzi ya kweli ya nchi yake alitaka kuona siku moja nchi yake ikiwa na barabara za rami zinazounganisha kila kata ya nchi hii, alipenda kuona umeme kwa kila mtanzania, alipenda kuona kila mtanzania akiwa na chakula cha kutosha kwa mwaka.....
 
Pure Crap:

Nyerere hakuwa fukara. Alikuwa mtoto wa chifu. Na hakuna chifu aliyekuwa fukara Tanzania.

Ufukara sio kigezo cha mtu kuwa kiongozi mzuri au mwenye juhudi za kuleta maendeleo kwa wananchi wake.

Hi! Sikuwa nimeona hii nondo....BMaryam! you said Nyerere hakuwa fukara kwa kuwa BABA yake was a chief? Baba yake?

Nafikiri Baba yake Julius ni tofauti kabisa na Julius mwenyewe!

Na hapa alikuwa anaongelewa JKN na sio Baba yake!

Sina taarifa kuwa JKN alirithi utajiri toka kwa baba yake..wa kumfanya kuwa kwenye kundi ...unalotaka kumuweka...au kuna taarifa sina?
 
Mie naweza kusema Suala la kubebana sio baya kama kiongozi akiwa Mtendaji,kamaa mtu ni mtendaji umuache kwasabu fulani hamtaki wala hampendi.??

Mwalimu alikuwa ni mfano bora na nina uhakika Maadili ya Uongzoi yaliyobadilishwa na Azimio la Zanzibar la 1990 sasa linarudi.utakuwa ndio urithi tuliokuwa tunausubiri
 
Nimemsikia Prof Issa shivji akisema Mwl hakuwa mtu wa kawaida, mwl alitumia kila alichonacho ili mtanzania maskini aishi, japo siasa na nguvu toka nje ilimsakama kama si hivyo kweli mwl hakuwa na mfano, waache watoto wa mwl wawe mafukara, acha jamaa zake wawe mafukara, mwl nenda kwani mali hatuzikwi nazo tunaziacha hapa duniani, mtakumbuka alizikwa bila chochote isipokuwa ile suti tuu.
 
Nimemsikia Prof Issa shivji akisema Mwl hakuwa mtu wa kawaida, mwl alitumia kila alichonacho ili mtanzania maskini aishi, japo siasa na nguvu toka nje ilimsakama kama si hivyo kweli mwl hakuwa na mfano, waache watoto wa mwl wawe mafukara, acha jamaa zake wawe mafukara, mwl nenda kwani mali hatuzikwi nazo tunaziacha hapa duniani, mtakumbuka alizikwa bila chochote isipokuwa ile suti tuu.

Mie nimesema mapema,ila kuna watu ambo hapa JF wanapenda kumponda Mwalimu na wakati mwingine wanatak kumtumia kuimaliza CCM,hili si jambo jema na linatakiwa lipigwe vita sana.

Mwalimu alichukia Rushwa na hakupenda watu kujilimbikizia Mali,ukiangalia hata kina chenge na wengine wameanza kuwa matajiri baada y malimu kuondoka na nidhamu ya chama na uongozi kutoweka.

Mambo kama haya ya kununuliwa kwa kina Akwilombe Mwalimu aliyapiga Vita,na Nashukuru hata Mzee Mkapa aliyasemea mwka 2004.

Kwa asili yetu, huko tulikotoka, kulikuwa hakuna fedheha kama ile ya mwanachama kujulikana kuwa eti amenunuliwa. Tuliona kununuliwa ni sawa na utumwa, ni sawa na kuuza utu wako. Maana, huamui tena kwa akili aliyokupa Mwenyezi Mungu, bali kwa kutumwa na aliyekununua. Utakuta mtu na akili yake anatetea ambacho hakiwezekani kutetea. Tutastahilije kuongoza nchi katika mazingira hayo? Mtu mzima una macho, lakini unakuwa huoni kwa kupofushwa na fedha; una masikio lakini husikii kwa vile masikio yako yamezibwa na ahadi za vyeo. Kisha unapojiangalia kwenye kioo, unamwona nani: unaona kiongozi, au unaona kibaraka?
 
Nakushukuru ndugu kipindi hichi kikali na cha juu kuhusu EGOISM ya viongozi wetu ni muhimu sana kuwakumbusha haya natamani kama watasoma tunusuru hio nchi yetu.
 
..Mwalimu alikuwa ni mfano bora na nina uhakika Maadili ya Uongzoi yaliyobadilishwa na Azimio la Zanzibar la 1990 sasa linarudi.utakuwa ndio urithi tuliokuwa tunausubiri

Hakuna nchi duniani iliyowahi kuwekea viongozi wake ..MIIKO...repeat...MIIKO...! ya uogozi. Tofautisha miiko na maadili.

You r very rifht sir!

Niogezee kidigo!

Ile ya azimio la arusha iliyovunjwa na azimio la zanzibar ilikuwa ni MIIKO.

Maadili ni kitu cha kawaida sana...ni kitu cha kawaida tu!

Sheria na kanuni za uongozi bora zipo...!Na hiivi ni vitu vya kawaida sana. Vipo nchi nyingi tu.

No body has ever dared to put into writings.."MIIKO YA UOGOZI" na kuifuatia into practise! Sana sana hivi ni viti vya kidini zaidi.

Miiko ya Mwalimu... ni kweli haikwepeki..watairudisha kama sheria ...uongozi bora...but time will tell, lazima MIIKO YA UONOZI IRUDI!

Why?

Kuna mbegu yake kwa taifa la tanzania. Watanzania wana reference! wana mahali pa kulinganishia kitu ambacho pamoja na ugumu wake kilisha wahi kuwa practised.

Nitofauti na nchi nyingi..ambazo hazikuwahi kupitia hapo zikajirabu sasa. somehow itabidi wapitie machungu yake..ikibidi wawe na azimio lao la zanziber la kuzikimbia na kuzisaliti...then waje hapa tulipo..yaani KUZIKUMBUKA!! NA KUZILILIA KWA NGUVU MOJA!!!
 
Pure Crap:

Nyerere hakuwa fukara. Alikuwa mtoto wa chifu. Na hakuna chifu aliyekuwa fukara Tanzania.

Ufukara sio kigezo cha mtu kuwa kiongozi mzuri au mwenye juhudi za kuleta maendeleo kwa wananchi wake.

Machifu wa Mkoa wa Mara hawakuwa na utajiri wowote zaidi ya wake wengi.Baba ya Mwalimu alikufa maskini tu kama Wazanaki wengine!
 
When we look at the legacy of Mwalimu we are looking at a legacy of contradictions; To some people he was a hero, a nationalist, an African pioneer, a teacher and a philosopher-ruler. To these people Nyerere was and still is one of the greatest African intellectuals who ever ascended to power to lead a nation post independence Africa.

To others however, Nyerere was nothing else but a failure, a dictator camouflaged like a patriot, he was to them a leader in failure, a man of so many words but very few actions; he was a man of great ideas but very limited success in turning those ideas into reality. To these harsh critics of Nyerere there are those who hold him in contempt for the lack of nice cars, TVs, many schools, universities etc during his rule. To them, Nyerere was the single person who delayed the material development of Tanzania.

To the first group, Nyerere was a nation-builder, a leader committed to the welfare of his people and his nation; they remember his farewell words that "tell my Tanzanians that I love them" with fondness and emotions. To them Nyerere was and still is the greatest leader that came from Tanzania.

Was Nyerere a failure or a success? Where did he fail and where did he succeed?

Je kushindwa kwake kunaziba kabisa mafanikio yake to the point that his name should now be written with an asterik on the side? What were his failures and accomplishments? which one outweighed the other?

Focus:


Nyerere katu-lostisha tu. Ni siasa gani ambazo ata mke na watoto wake wameshindwa kuzifuata?
 
Back
Top Bottom