Azimio Jipya
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 3,363
- 1,135
you be damned you can't say that to a deceased person
Expecially Mwalimu
Na ukome!
Nafikiri ni haki na ni kweli kuwa kwa ajili ya uchambuzi wa hoja ni kuangalia pande mbili zote kwa pamoja na kutoa hatimaye maoni.
Alifanya mema mengi amabayo si sahihi sana kuya ponda kama vile hakuna ubora wa msingi alioufanya. Ni haki pia kuangalia wapi palikuwa na mapungufu..na kuyalinganisha na mambo muhimu unayofikiri aliyafanya na kisha kutoa maoni yako unafikiri mambo yangepelekwa.
Kuja hapa na kusqush out all what Mwalimu did..and to the extent ya ku_mwish angekuwa hell etc! I dont thint if that is totaly wise!
Kufikiri serously kuwa Nyerere hakujali ubinaadamu na utu wake na wa Watanzania kwa moyo wake wote si haki. Swali wapi alikiuka Utu na ubinaadamu wa Taifa Hili kama inavyofanyika kwa viogozi wengi leo?
Kufikiri alifanya yote aliyofanya kwa ajili ya ubinafsi na kujiangalia yeye mwnyewe kama viogozi wengi wa sasa..that dosnt sound at all! Wapi haswa alifanya na kwa namna gani?
Kufikiri hakutekeleza kwa dhati kabisa dhana ya kumtakia kila Mtanzania kumiliki uchumi kwa kutumia rasilimali ya ARDHI kama shina pekee wakati ule wa mwanzo kabisa wa kupata uhuru ni kuwa sio sahihi sana. Nani na vipi leo kila mtanzania ataweza kwa njia nyingine yeyote zaidi ya kutumia ardhi...anaweza kuchangia na kumiliki uchumi wa taifa kuanzia mjini mpaka kijijini?
Kufikiri Nyerere hakujua kwa kina Maana ya Uongozi wa dhati usio kuwa na nia ya kuutumia kama mtaji wa kujinufaisha wewe kiongozi na kuwasaliti unaowaongoza na kuwatamanisha kuwa uongozi ni rasilimali na hivyo kuuufanya kitu cha kuhonga na kukifia kukipata ni kukosea, Nyerere aliliona hilo. Kwa wakati ule ilikuwa sahihi kabisa kuja na MIIKO YA UONGOZI..ambayo leo hii kila mmoja aliyeivunja is Paying the price!
Kama una kina cha mtizamo gundua kuwa Tanzania leo inachipua upya kama mbegu aliyopanda Nyerere. Ni kama kila ambachohakikueleweka wakati wake sasa kinaeleweka na WATU ...NGUVU YA UTU wa Kitanzania umepevuka na kuchipua kuhitaji Muongozo wote alioufundisha Nyrere!
Kilio Chochote cha wanachi kinachoandikwa magazetini, kujadiliwa bungeni...kinacholiliwa kwenye kila maadmano, migomo mbalimbali..nk..ni KILIO CHA UTEKELEZAJI FALSAFA YA NYERERE KWA VITENDO!
And you know What?
NGUVU YA UTU WA WATU WAKITANZANIA KATIKA MAONO YA NYRERE...very soon! ITASHINDA!!!HAKUNA WA KUZUIA! Presure is too huge to be blocked, mbegu iliyopandwa ardhini imevunja ganda la nje inaisukuma ardhi na itachipua tu! Nani haoni hilo?
SUBIRI NA UTAONA!