Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 14
Bin Maryam: Thanks very much for the concern!
Ninajua Mtoto aliyemsomeshwa nyumbani.."Home school" mpaka darasa la sita. Just simple matheatics and languages! .. Ilikuwa ni kelele na kila mtu akisema that is not the procedure! alipewa Mitihani wa kupanua UTU,UBINADAMU,KUTOKUWAMBINAFSI, HEKIMA, UCHESHI,MAADILI na thamani nyingine kama hizo. Masomo mengine alikuwa ADEVELOPE INTEREST MWENYEWE kwenye computer na kwenye nature.
Alipelekwa darasa la 6 na 7 ...tu! ili kupata links tu! Na shuleni condition zilikuwa asisomeshwe kwa pressuere na kuwaforced any materials on his head kwani haikuwa muhimu darasani anakuwa wangapi! kilichotakiwa ni uwezo wake wa kujenga Creativity na JOY ya kusoma na kugundua mwenyewe anachoona ni sahihi. AND teachers just be there for him.... Now is a great man!
Utaona alikuwa anakwepeshwa swala zima la kujenga IQ na kuiabudu.
Personaly I completely regards it as a "Myth" mtu anaweza kuwa mkomavu na kumanage ustawi sahihi wa maisha bila kupitia normal programing za shule kama zinavyofahamika kwa wengi. Swala la home schooling ni very common sehemu nyingi sasahivi. Yote hii ni kuondoa myth ya IQ... kuruhusu natural growth au tuseme "EI" au shule nyingine wanaita "EQ" amabyo ni ukomavu wa kiUTU katika ustawi wa jamii!
NI kweli na ndio maana jana nilivyona wenzangu wametumia IQ na Ku_capitalise on it! Maramoja nikafanya adjustment. Its true it is very sweeping..kujaribu kuelezea what is an EI vs IQ kwenye charting bord! but that is what we have at the moment...and we shall try in our best to use it!
Ni kweli kuwa Ni Zamani sana IQ ilitumika kuonyesha uhodari fulani wa mtu kwenye jamii, ndio maana mimi sikushughulikia kabisa kujua ya JKN ni ngapi...Au Eistean, Galileo, Jesus..etc walikuwa na Ngapi kwani to me its invalid. Utaona hoja ilivyo nzito kwenye sites nilizokupa. Utaona Ni University ngapi zinafundisha the whole thing "WHY IE and not IQ.." au why we should we combine them...for any evaluation of person.. National or any System for that matter?
Naamini umefuatilia kidogo na umeona....!
Kuna mifano mingine hatuwezi kuitumia hapa..kama was JESUS, Benjamin mkapa,EL and Galeleo an EI? Unaona hatujali wana IQ kiasi gani. Wachambuzi wa hivi viwango Hawajali kuwa Nyerere alikuw ana IQ ya ngapi. Kuna bwana anafanya Phd..ya nini? Was JK Nyerere an EI? Utaona hizo links za kiswahili nilizokupa..ana task ya kuanalyse If Tanzania as a Nation is an EI na wala sio kuwa TZ is an IQ!!! alinganishe na majirani zetu etc ...Utaona amepitia alama za kitaifa/symbols/ Nyimbo etc..kwani ukizifanyia zile nyimbo uchunguzi wa kina alafu ukalinganisha nyimbo za vijana wengi wa sasa pamoa na kuwa wana IQ nzuri sana utaona kuwa EI zao ziko chini.Kwa nini kujihangaisha kote huku? ALL THIS IS BECAUSE IE/EQ NI QUATIFIBLE!!
Ndio maana hata nchi itumie mtindo gani wa kujenga uchumi..ujamaa/kijtegemea/kibepari/kikibaki/any .. bila viogozi kuwa "EI" kiasi cha kutosha...matatzo makubwa yatafuatia tu!!Utaona kunakundikubwa la wachangangiaji wengi hap JF wao in simple terms wasema Rules of law/ Utawala bora/ maadili na miko ya uogozi/..Lakini we need all this in a particular formula.
I beliave JKN was an EI and not IQ. How about BEN Mkapa and EL? sijui!!!
anyway nimalizie kwa kuseama..EI au EQ ni terms mpya tu ambazo zinatumika ku_organise scietificaly the whole concept ya UTU/MAADILI MEMA/UBINADAMU/ and the likes ili kuondoa Ambiguity kwenye mawasiliano.
Na kwa kuangalia pattern ya vitu alivyopitia Nyerere, kuna ukweli kuwa alikuwa na IQ ya kuzidi wastani. Lakini sifa hiyo anaweza kupewa mtu yoyote anayefundisha vyuo, mganga hospitalini, konda wa daladala. Statistically kati ya watu 100, wawili mpaka watano watakuwa na Higher IQ. Hivyo sio big deal. Lakini ili iwe na manufaa ni lazima iwe refined. Na hapo watu wanaanza kuangalia dimension zingine.
Uwezo na taalamu wa JKN ulikuwa mkubwa lakini uwezo na utaalamu huo ulikuwa personal na sio wa kuleta maendeleo ya taifa. Maendeleo ya taifa ni dynamic system (muundo wenye kubadilika) wenye kutegemea variables (michango) nyingi. Na mchango wa rais ni mdogo sana ingawaje kwa mawazo ya watanzania na wanaotuongoza wanaona ni mkubwa sana.
Kwa mfano rais anaweza kuwa na nia nzuri ya kusomesha watu. Na hili watu wasome anawalazimisha waende kwenye vijiji vya ujamaa walime mashamba na mapato ya shamba yatumike kujenga shule na zahanati. Watu wanapofika kwenye vijiji vya ujamaa mvua zinakataa kunyesha kwa miaka mitatu, na matokeo yake watu wanakata tamaa ya kufanya kazi pamoja. Na shule wanashindwa kujenga na maendeleo yao yanarudi nyuma.
Katika mfano huu: mvua ni mchango wa maendeleo, mawazo ya rais ni mchango, juhudi za wananchi ni mchango wa maendeleo, rutuba ya mashamba ni mchango wa maendeleo. Na jinsi vitu vinavyotoa michango wa maendeleo vinavyozidi kuongezeka katika mradi na ndio risk za kushindwa kwa mradi huo zinavyoongezeka. Na kwa mfano, ukosefu wa mvua hakumfanyi mwananchi kuwa na IQ ndogo. Kwa wenzetu wenye kupenda maendeleo, lawama anapewa aliyeanzisha au kusimamia mradi. Na lawama hizo sio za kukosoa IQ yake bali kushindwa ku-calculate risks.