Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Nyerere: The Man, The Myth and the Legend

Tumeambiwa mara nyingi Kenya ni mfano wa nchi nzuri yenye uchumi mzuri na wenye nguvu. Tulichekwa kwa sababu tulikuwa na kiongozi kama Nyerere. Sasa ninapoangalia nchi zote zinazotuzunguka na ambazo hazikutawaliwa na Nyerere (obviously) I'm so proud to be born in a country where Nyerere was the leader!
kifo_cha_nyerere.jpg

Kumbe mamho yote siyo mambo ya uchumi yanayojenga Taifa!!

Asante Mwalimu na siasa zako za Ujamaa na Kujitegemea!!

Finally history has vindicated you!

I'm so proud and eternally grateful to be a Tanzanian. Yes I am.

Hamtaki?


mkuu, naona umekuwa makini katika maandishi yako. natumaini huzungumzii vurugu zinazoendelea kenya. kwani kama ni hilo unalozungumzia yawezekana ukawa umetoa hitimisho mapema sana. hawa jamaa zetu kabla ya tarehe 27/12/07 hakuna aliyewaza kenya yaweza kuwa katika hali iliyokuwanayo sasa. nachelea kuwaza kwamba hizi habari za ufisadi na dhuruma zinazoendelea bongo nazo zaweza tufikisha walipo wenzetu Mwenyezi Mungu apishilie mbali.
 
Hiyo link aitabadilisha swali langu la alikuwa na IQ ngapi?

BM:

Kwnye hii context inayoendelea hapa jaribu kuelewa..What matters is EI and not IQ..http://www.danielgoleman.info/blog/purchase/

The way unavyoulizia ni kama vile unataka kutubana kuwa IQ haipimiki.N ahatuwezi kukuleta jibu. Nachosema hata ukiipima nakuleta jibu hapa ...tutakuelimisha kuwa simamia zaidi kuwa IQ sio hoja sana ,ila EI ndio issue. tunapotaka kutathmini ustawi a jamii wa kiutu! Na tunapotaka kumjua Mtu fulani kwa undani kuhusu utu na maadili yake Mema na msingi kwenye jamii!

Soma hapa ona huyu muadishi alivojaribu kulezea EI kama(sheria ya maadili asilia )



Itikadi ya CCM kizazi kimoja baadaye - 6

sorce: Raimwema:ttp://www.raiamwema.co.tz/08/01/23/jovin.php

....Na utafiti mdogo utathibitisha kauli kwamba kila kitendo cha binadamu ni mkakati wa kufukuzia kitu fulani ambapo kitu kinachofukuziwa, kwa mtazamo wa mfukuzaji, ni mafao ya binadamu.

Yaani, hakuna mtu mwenye akili timamu atafukuzia kitu anachoona hakimfai. Hata mtu anayekunywa sumu kwa lengo la kujiua anakuwa ameona kwamba sumu hiyo na kifo kitakachotokana na sumu huyo ni mafao kwake!

Na baada ya kueleza maana ya “mafao ya binadamu” sasa tunaweza kutumia maarifa hayo kujibu swali hili hapa: Sheria ya maadili asilia ni kitu cha aina gani na inatuelekeza nini?

Kwa ufupi, sheria ya maadili asilia ni sheria ambayo hutumika kama mizani ya kupimia kilo za uzito wa uadilifu katika matendo ya binadamu kwa kutumia “mafao ya binadamu” kama mawe ya kupimia uzito huo katika mizani hiyo.

Katika mizani ya sheria ya maadili asilia, kitendo chochote chenye uzito unaobetua jiwe lolote la “mafao ya binadamu” huitwa kitendo kibaya kimaadili wakati kitendo chochote chenye uzito unaoheshimu “mafao ya binadamu” huitwa kitendo kizuri kimaadili.

PLs soma makla yote alafu: Gundua Bunge letu lilivyojaa watu IQ lakini EI BURE KABISA
 
Watu hapa nahisi watasema
Nabii Musa sheria na injili zake ziliferi maana hii leo jino kwa jino ya Musa haipo, mtu akiiba akatwe mkono haipo tena,mtu akizini apigwe mawe haipo hii inamaana aliferi???

Yesu naye watasema aliferi alihubiri upendo,kua waaminifu hata kwa vitu vidogo,ukipigwa shavu hili mpe na jingine,uzinifu na mengine mengi lakini leo hii hayo mambo hayafuatwi hivi yesu naye aliferi???
Lakini Yesu aliliona akasema msifanye mioyo yenu migumu
na akaendelea kusema
hakika usiwatupie nguruwe lulu maana watazikanyaga kanyaga na pia kukugeukia wewe na kukulalua.
Paulo yeye wagalatia hawakikuelewa na akadiriki kusema you stupid gratians who be witched you??
Nyerere hakushindwa ila kilichomshinda ni ugumu wa akili za watanzania/waafrika
 
BM:

Kwnye hii context inayoendelea hapa jaribu kuelewa..What matters is EI and not IQ..http://www.danielgoleman.info/blog/purchase/

The way unavyoulizia ni kama vile unataka kutubana kuwa IQ haipimiki.N ahatuwezi kukuleta jibu. Nachosema hata ukiipima nakuleta jibu hapa ...tutakuelimisha kuwa simamia zaidi kuwa IQ sio hoja sana ,ila EI ndio issue. tunapotaka kutathmini ustawi a jamii wa kiutu! Na tunapotaka kumjua Mtu fulani kwa undani kuhusu utu na maadili yake Mema na msingi kwenye jamii!

Soma hapa ona huyu muadishi alivojaribu kulezea EI kama(sheria ya maadili asilia )



PLs soma makla yote alafu: Gundua Bunge letu lilivyojaa watu IQ lakini EI BURE KABISA

Soma posti zangu. IQ inapimika na nataka kujua IQ ya Nyerere. Hivyo niliwataka wanaosema Nyerere alikuwa ana IQ kubwa waje na namba ya IQ yake. Na sio kutupandikizia myth kwa kitu wasicho na uhakika nao.

Kuna correlation inaonyesha IQ na mafanikio. Na vilevile kuna correlation inayoonyesha kuwa IQ bila displine haileti mafanikio yoyote. Hivyo issue nzima ya IQ is so complex na controversial.

Hivyo kusema kuwa Nyerere alikuwa na IQ kubwa lakini aliotuongoza tulikuwa na IQ ndogo na ndio sababu hatukupata mfanikio hayo is just so outlandish na ni matusi kwa watanzania wote na uzushi.

Labda komredi Mkandara anaweza kufafanua zaidi kuhusu bunge letu. Katika mjadala mmoja tulipokuwa BCS forum alisema kuwa wengi wa watanzania wametoka katika familia za uvuvi, uchungaji ng'ombe na ukulima wa kujikimu. Pamoja na wabunge kuwa na elimu wana matatizo ya exposure. Hivyo wakati mwingine tunaanzisha vitu visivyo na asili navyo na kushindwa kuviendesha. Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa mazingira waliyokulia, wanayofanyia kazi hao wabunge yana-play sehemu kubwa ya maamuzi yao.
 
Watu hapa nahisi watasema
Nabii Musa sheria na injili zake ziliferi maana hii leo jino kwa jino ya Musa haipo, mtu akiiba akatwe mkono haipo tena,mtu akizini apigwe mawe haipo hii inamaana aliferi???

Yesu naye watasema aliferi alihubiri upendo,kua waaminifu hata kwa vitu vidogo,ukipigwa shavu hili mpe na jingine,uzinifu na mengine mengi lakini leo hii hayo mambo hayafuatwi hivi yesu naye aliferi???
Lakini Yesu aliliona akasema msifanye mioyo yenu migumu
na akaendelea kusema
hakika usiwatupie nguruwe lulu maana watazikanyaga kanyaga na pia kukugeukia wewe na kukulalua.
Paulo yeye wagalatia hawakikuelewa na akadiriki kusema you stupid gratians who be witched you??
Nyerere hakushindwa ila kilichomshinda ni ugumu wa akili za watanzania/waafrika

Peleka kule kwenye threads za dini
 
Azimio jipya,
Damn wewe kweli darasa zito yaani hapa sioni ndani. Duh!

Na kudhihirisha upeo ulokomaa wa mwalimu miezi michache kabla ya kifo chake..aliulizwa ktk mahojiano CNN
Mwalimu was asked if socialism had failed. He replied in characteristically unimpeachable logic: "The fact that Christianity was on the wane and fewer people went to church on Sunday, did not mean there was something wrong with the message of Jesus Christ!"
Hivyo basi mkiweza kuona mantiki ktk jibu hilo nadhani mengine yote sunna yaani hadithi.

Mkandara:

EXACTLY !!I am sure umeona kitu. You can simply see it! Kabla ya kuona mwenyewe hata tusimulie kiasi gani hapa haitaleta maana. Is see it for yourself or not! Then utaona kuwa JKN alikuwa anamaanisha kwenye matamshi hayo. Ilinichukua muda sana kufanya deep analysis iliyoleta kuona kilichoko hapo.

That made me salute that statement!!!

Inamaana kuwa hata Yesu kristo anageendelea kuwepo duniani angekuwa anafundisha kile alichofundisha 2000 years ago!! yet vichwa vigumu kama...wala hawangeona ndani. So the best ni kumwaga conecept then waachie watu wenye vichwa vigumu wasuguane nayo for 2000 year and more. Ina maana gani? kama watu miaka 2000 bado wanashindwa kupractice LOVE kwa mfano inamaana Huyo filosafa alikuwa mbele ya hicho kizazi kwa miaka hiyo 2000 na zaidi.Ndio maana alipokuwepo watu walikuwa bado hawajaweza kupractise LOVE...Na 2000 years after...Bado hatujaweza But tatizo halipo kwenye LOVE as a concept...Wala tatizo haliko kwa Mwalimu ..Ni wanafunzi...!

Kuna mahali nyerere ..alisema watarudia misingi na value za azimio la arusha ..NOTE: sio kurudia azimio word to word kama la 1967..kwa kuwa value zake hazipitwi na muda.Alikuwa na uhakika huo. Ni value za Utu na utu haupitwi na wakati ..Yaani Azimio lilikuwa limejikita kwenye very strong EI.

Nimalizie tu kuwa Tz ni tofauti sana KENYA na UGANDA kiasi cha kutisha. Kenya inaweza kubomoka kama kipande cha barafu kwenye joto kali. Misingi iliyoishikilia na kulijenga Taifa la kenya sio EI kabisa uganda ndio usiseme!! But hiyo haiwafanyi externaly wasionekana wana uchumi imara. But deep Taifa limejikita kwnye kiwango kikubwa sana cha "Negative emotions...ambayo ni kinyume na UPENDO wa kitaifa."

Tanzania inabidi kujua hilo na kutufanya tupiganie value zetu zilizo asisi Taifa ..ziko wazi kabisa angalia alama na nembo za Kitaifa...nyimbo za Kitaifa..ukivifanyia analysisis utaona kuwa tunatofauti ya kimsingi kabisa...na majirani zetu..Ila hawa mafisadi wanaojitokeza sasahivi lazima wadhibitiwe haraka bila kukawia.
 
Watu hapa nahisi watasema
Nabii Musa sheria na injili zake ziliferi maana hii leo jino kwa jino ya Musa haipo, mtu akiiba akatwe mkono haipo tena,mtu akizini apigwe mawe haipo hii inamaana aliferi???

Yesu naye watasema aliferi alihubiri upendo,kua waaminifu hata kwa vitu vidogo,ukipigwa shavu hili mpe na jingine,uzinifu na mengine mengi lakini leo hii hayo mambo hayafuatwi hivi yesu naye aliferi???
Lakini Yesu aliliona akasema msifanye mioyo yenu migumu
na akaendelea kusema
hakika usiwatupie nguruwe lulu maana watazikanyaga kanyaga na pia kukugeukia wewe na kukulalua.
Paulo yeye wagalatia hawakikuelewa na akadiriki kusema you stupid gratians who be witched you??
Nyerere hakushindwa ila kilichomshinda ni ugumu wa akili za watanzania/waafrika

Nimefanya utafiti katika mambo hayo na nina draft ya kitabu. Nyerere alikuwa ana-bark up the wrong tree. Juhudi zake hazikuzaa matunda kwa sababu watanzania tulikuwa na shughuli zingine muhimu katika maisha yetu.
 
Wanabodi,

Unafiki na uzadiki si tabia ya msema na mtaka ukweli.

Marehemu Nyerere alikuwa na mapenzi kwa waafrica wote na wala si kwa watanzania tu. History inatuonesha wazi kwamba alikuwa mpenda amani, uhuru na umoja. Aliweza kutuunganisha watanzania bila kujali rangi, kabila wala dini. Na ndiyo kiini kikubwa sana cha mshikamano wetu hadi leo ukifananisha na majirani zetu. Nyerere kwa kupenda uhuru aliweza kuhakikisha nchi za jirani zinapata uhuru kwa mfano Namibia, Zimbabwe, Botswana, South Africa nk.


Enzi za Nyerere kulikuwa na miiko ya viongozi, ambayo ilibidi ifuatwe. Kila kiongozi alifuatiliwa mienendo yake ikiwa ni pamoja na mali alizokuwa nazo kabla ya kupewa uongozi, katika uongozi na mara baada ya uongozi.

Akina Mkapa, Lowasa na wengineo walikuwa na nini enzi za Nyerere?. Wameanza kuiba mara tu baada ya kifo cha Nyerere kwani walijifanya kuvaa ngozi ya kondoo kumbe ndani ni mbwa mwitu. Nyerere angeliwajua kwamba wako hivyo angeliwatimua mapema sana kama alivyowatimua akina kambona, choga na wengineo ambao walionesha dhahiri kwamba wao ni mafisadi.
Sina maana kwamba alikuwa malaika, alikuwa na makosa yake kama binadamu. Kitu kikubwa alikuwa anawajali wananchi wake kuliko alivyokuwa akijijali yeye mwenyewe na familia yake. Hakuwa na tamaa ya kujilimbikizia mali kama viongozi wetu wa sasa hivi. Nadhani angekuwa na uroho angeliuza machimbo ya madini na mashirika, makampuni na vitu vingine vingi zamani sana. Lakini alikuwa anataka watanzania wapate elimu kwanza ili watambue nini kinawazunguka na wawe na uwezo wa kuviendesha kwa manufaa ya watanzania wote.

Bila kuficha ukweli Nyerere alikufa pamoja na CCM. Hawa wasanii ilibidi waanzishe chama chao na wakipe jina lingine, natoa hoja.
 
Duuh, hicho kipande cha gazeti hakina jina la gazeti wala lini kimechapwa?

Kuna websites siku hizi zinakufanya utowe habari kama imetoka kwenye gazeti. Isiwe tunafungana kamba humu?

Wewe ndiye hata hufai kutia neno ulimkandia Nyerere kwa Tanzania kukosa TV, nikakuliza Tanzania kuwa na TV kumenyanyua vipi kiwango cha maisha ya Watanzania walio wengi? ukaingia mitini na kutaka kubadilisha somo. Nyerere alipambana na mataifa ya magharibi na mashirika yao ya kimataifa WB na IMF ili kulinda maslahi ya Tanzania na Watanzania. Mataifa ya magharibi na mashirika hayo niliyoyataja yalihakikisha Mwalimu anashindwa na kuna mambo mengine yaliyochangia pia kama bei ya mafuta kupanda mwaka 1973, balaa la njaa kubwa Tanzania mwaka 1975, vita vya nduli mwaka 1978. Cha kushangaza wanafiki wote wanaotaka kumsagia mwalimu huwa hawayataji hayo yaliyochangia kushindwa kwa Mwalimu.

Halafu ukiwauliza wanafiki wanaomsagia Nyerere, Fisadi Mkapa aliyeamua kuukumbatia ubepari na kuwaleta wachukuaji (yeye aliwaita wawekezaji)amefanikisha kipi Tanzania? huwa hawana jibu bali huwa wanang'aa macho. Fisadi Mkapa aliamua kushusha thamani ya shilingi yetu, je uamuzi huo ulisaidia vipi kuinua maslahi ya Watanzania? Hata fisadi hana jibu la swali hili.

Muungwana pamoja na kuwakumbatia Wamarekani katika miaka hii miwili ya utawala wake amefanikisha lipi? Mnazijua kashfa kibao zinazoibuka kila kukicha kama uyoga na hatafanikiwa lolote katika muda wake uliobaki sana sana ataiuza nchi kwa wamarekani.

Acheni hizo! Nyerere katenda mazuri mengi kwa Tanzania!
 
Soma posti zangu. IQ inapimika na nataka kujua IQ ya Nyerere. Hivyo niliwataka wanaosema Nyerere alikuwa ana IQ kubwa waje na namba ya IQ yake. Na sio kutupandikizia myth kwa kitu wasicho na uhakika nao.

Kuna correlation inaonyesha IQ na mafanikio. Na vilevile kuna correlation inayoonyesha kuwa IQ bila displine haileti mafanikio yoyote. Hivyo issue nzima ya IQ is so complex na controversial.

Hivyo kusema kuwa Nyerere alikuwa na IQ kubwa lakini aliotuongoza tulikuwa na IQ ndogo na ndio sababu hatukupata mfanikio hayo is just so outlandish na ni matusi kwa watanzania wote na uzushi..

Bin Maryam;

Nimependa sana hii post ya sasa.

Iko very clear.

Mfano:

"Na vilevile kuna correlation inayoonyesha kuwa IQ bila displine haileti mafanikio yoyote. Hivyo issue nzima ya IQ is so complex na controversial"

Ni controversial hiyo iliyopelekea factor za kiutu kama displine etc amabzo haziwaklishwi kwenye IQ zilete factor hii ya EI

Personaly hakuna mahali nimesema nyerere alikuwa na IQ kubwa...etc..nimerudia mara zote kuwa alikuwa na kiwango cha juu cha utu, busara,kutokuwa binafsi, hekima ambazo hizo ndizo zinajenga what is EI.

Uniqueness ya JK Nyerere kwa watuwengine haitokani na IQ bali na EI. Kwahiyo kama unavyosema we need combination of Both kuwa productive kwenye jamii na kibinaadamu na kiutu!

unaweza kupitia!!!

[media]http://www.duniahai.com/Articles/Tumepoteza%20agano%20la%20uhuru.pdf[/media]

[media]http://www.duniahai.com/Articles/Tukapime_1.pdf[/media]
 
Jamani mabaya ya Mwalimu, yamesemwa vya kutosha hapa JF, I mean ifike wakati tuwe wastaarabu na kusema enough is enough, kama hatuwezi kuongelea mazuri yake tu, basi tumuache mzee wa watu apumzike kwa amani mbele ya muumba wake huko alikotutangulia, wote tuko njiani kwenda.
 
Azimio jipya,
Damn wewe kweli darasa zito yaani hapa sioni ndani. Duh!

Na kudhihirisha upeo ulokomaa wa mwalimu miezi michache kabla ya kifo chake..aliulizwa ktk mahojiano CNN
Mwalimu was asked if socialism had failed. He replied in characteristically unimpeachable logic: "The fact that Christianity was on the wane and fewer people went to church on Sunday, did not mean there was something wrong with the message of Jesus Christ!"
Hivyo basi mkiweza kuona mantiki ktk jibu hilo nadhani mengine yote sunna yaani hadithi.

Mkandara:
Critics don't want to see that; and that is a loaded statement full of meaning! Thank you for making us aware of its existence.
 
Tumeambiwa mara nyingi Kenya ni mfano wa nchi nzuri yenye uchumi mzuri na wenye nguvu. Tulichekwa kwa sababu tulikuwa na kiongozi kama Nyerere. Sasa ninapoangalia nchi zote zinazotuzunguka na ambazo hazikutawaliwa na Nyerere (obviously) I'm so proud to be born in a country where Nyerere was the leader!

kifo_cha_nyerere.jpg

Kumbe mamho yote siyo mambo ya uchumi yanayojenga Taifa!!

Asante Mwalimu na siasa zako za Ujamaa na Kujitegemea!!

Finally history has vindicated you!

I'm so proud and eternally grateful to be a Tanzanian. Yes I am.

Hamtaki?

Mara nyingi mtu akifa anakuwa na sifa nzuri tu.Atasifiwa weeee!!Hata hivyo Mimi kwenye hicho kipande cha gazeti nimependa haya yafuatayo:-
1:"Alionyesha maana ya Demokrasia"-Ipi?? ya kupiga kura kati ya mtu na kivuli au ya watu kutoongea lolote juu ya Rais na vyombo vya habari kuandika mazuri tu kwa Rais na Serikali yake??
2:"Kukumbukwa kwa kusuruhisha migogoro ya Rwanda na Burundi"-kwani aliweza kuwapatanisha au alishindwa.Au atakumbukwa kwa kushindwa kwake.
3:"Hakuwa na Tamaa ya Uongozi"-Yani ina maana kuwa mtu ukiongoza wewe tuuu hadi ukazeeka hiyo inaitwaje??Ni tamaa au kung'atuka.kwani kushindwa kuiunganisha Afrika yote ilikuwa ni tamaa ya Uongozi kati ya Nkwame Nkuruma na Nyerere au nani??
4:"Alionyesha amani na maendeleo".-Yapi??amani ipi??kwani wananchi walivyopigwa na FFU na Jeshi ama kupigana kule Tarime wakati ule wa bendera ya Simba na operation Mara kijeshi ilikuwa nini??Amani au??

Wasomi kuwa detained ama kuzuiwa kusafiri na kukabidhiwa kwa mabalozi wa vijiji na kukosa ajira tusemeje.Mimi naona huyu mzee ana MABAYA mengi zaidi mazuri yake.Hayo ni kutokana na kipande tu cha huyo mwandishi wa Nakuru aliyeamua kuandika baada ya kifo na kama kawa mtu akisha kufa.......
 
Azimio jipya,
Damn wewe kweli darasa zito yaani hapa sioni ndani. Duh!

Na kudhihirisha upeo ulokomaa wa mwalimu miezi michache kabla ya kifo chake..aliulizwa ktk mahojiano CNN
Mwalimu was asked if socialism had failed. He replied in characteristically unimpeachable logic: "The fact that Christianity was on the wane and fewer people went to church on Sunday, did not mean there was something wrong with the message of Jesus Christ!"
Hivyo basi mkiweza kuona mantiki ktk jibu hilo nadhani mengine yote sunna yaani hadithi.

Thank you Mkandara!....🙂 a BIG FIVE for you Mkuu.
 
Nyerere alifanikiwa mno ila tatizo ni tofauti ya miono yani IQ yake ilikua kubwa mno ukilinganisha na watanzania/waafrika.

Unajua ukiwa na tofauti kubwa ya miono na watu wengi ni lazima wewe utaonekana kichaa ama mchawi.

Mfano haya madini yanayoleta zogo aliyaona na kwa miono yake akajua kabisa sasa hizi hatuna uwezo na wataalamu ngoja tuyaache tutayachiba tutakapopata uwezo lakini manyang'au wao wameiingia na kuyavamia na kuyateketeza.

Nyerere wakati anachukua madaraka alikuta ma Engineer kama sikosei ni wawili,madaktari wasiozidi watatu kwa hali hii alifanya kazi na ku produce ma prof hadi ma prof kibao.
Tanganyika baada ya mjerumani haukua chini ya koloni lolote ila ilikua chini ya uangalizi wa uingereza hivyo waingereza walichuma na hawakujishughurisha na ujengaji wowote tofauti na walivyofanya kenya.
Ktk nchi zilizokabidhiwa na mkoloni Tanganyika aliyokabidhiwa nyerere ndio nchi iliyokua hoi kuliko zote.Watu wanaobeza jitihada za Nyerere inabidi wafikirie nchi aliyokabidhiwa ilikua na wataalamu wangapi na nini alikifanya na laiti tanganyika ingekabidhiwa hawa manyangau wa leo leo hii ingekua ni stori ya kusikitisha .

Mwl alipokuwa akipigia compaign NZEE NKAPA 1995 huko maeneo ya Musoma, walitokea wajinga fulani hivi wakamzomea. Yeye aliwajibu kwa ujumbe mfupi tu akasema "MIMI NILIDHANI KUWA NI RAHISI ZAIDI KWA WAKENYA KUJIFUNZA MAZURI KUTOKA TANZANIA, KUMBE NI RAHISI ZAIDI KWA WATANZANIA KUJIFUNZA MABAYA KUTOKA KENYA".
Watanzania tuwe makini tusije tena tukatimiza unabii wa statement kama hii kwa mara nyingine!
 
Mwl alipokuwa akipigia compaign NZEE NKAPA 1995 huko maeneo ya Musoma, walitokea wajinga fulani hivi wakamzomea. Yeye aliwajibu kwa ujumbe mfupi tu akasema "MIMI NILIDHANI KUWA NI RAHISI ZAIDI KWA WAKENYA KUJIFUNZA MAZURI KUTOKA TANZANIA, KUMBE NI RAHISI ZAIDI KWA WATANZANIA KUJIFUNZA MABAYA KUTOKA KENYA".
Watanzania tuwe makini tusije tena tukatimiza unabii wa statement kama hii kwa mara nyingine!

Makanyaga you are very right!

Ukitumia viwango! hasa "EI" na "SI" Wakenya na wa Tz tunatofautiana radicaly, we r two different spicies. Nyerere was right! Pale Musoma ....social value/interractions zinakaribina kabisa na za jirani! Jamaa waliozemea beliave me viwango vyao vya EI vinafanania sana na hao wanaojikatakata, kujichoma moto etc hapo jirani...But We need to be carefull tunaweza kuwa influenced na namba kubwa ya wa Tz wakabadika..na kufananianajarini. But All in all kuna character Tz amabazo piga ua huta_alter EI zao!! That is scietific facts!!!! Pitia post zangu zote na taratibu fuatia kila link niliyotoa. Ifike mahali sasa Tuache kumkandia Nyerere Hovyo. You come up with fundamental evidence and datas..Bora ujikite kwenye kujifunza na kufaidi mfundisho yake ya muhimu kama UPENDO, UTU, UBINADAMU, USAWA na UZALENDO, UTAIFA etc ukifikiri umekamilika kwenye hilo then anza kum_Dignose! vingine Utakuwa kwenye ugonjwa mkubwa wa fikra!

Nikweli kabisa kuwa UCHUMI USIOTANGULIWA KWANZA NA "EI" YAANI UPENDO WA KIFAMILIA,KITAIFA,KIUZALENDO,HEKIMA,UTU,MAADILI ETC NI UCHUMI MFU HATA KAMA UNAONAEKANA KUWA IMARA KIASI GANI. HUWEZI TU KUANGALIA UCHUMI BILA KUHUSISHA "EI" THEN UKATOA CREDITS YA NCHI FULANI KO JUU/CHINI. UCHUMI USIO NA "EI" UNAWEZA KUBOMOKA KAMA "NYUMBA NZURI SANA ILIYOJENGWA NA MAKARATASI KWA MTIKISIKO KIDOGO TU!" SIJASEMA WA TZ TUWE MASIKINI NA SIJASEMA TUSIJIBIDIISHE KUJENGA UCHUMI WA TANZANIA. NIMESEMA TUPITIE NJIA YA UTU/USAWA/UPENDO/KUHESHIMINA..YAANA "PATHWAY YA EI SAHIHI". HATA KAMA ITACHUKUA MUDA MREFU KIASI GANI..TUSIENDE KWA PRESURE ZA WORLD BANK/IMF/JIRANI AND THE REST!! YES NI VITA,ULIFIKIRI LELEMAMA ..VITA KALI KULIKO YA MKWAWA WA KALENGA..LAKINI MBONA MKWAWA ALIPIGANA..AND YOU KNOW WHAT HAPPEDEN TO HIM "HAKUMPIGIA MTU MAGOTI FISADI!!!" HE STOOD TO WHAT WAS RIGHT TO HIM GREAT 'EI'..HAPA TUMEKUJA KUBABAISHWA KIJIJNGA TU!!! NASEMA NI VITA NDIO VIMEANZA ..VITA VYA KIUCHUMI...LAZIMA KUPTIA ALIPOPITIA MKWAWA AND THE REST!!!!VITA VYA KUWEKA BENDERA MLIMA KILIMANJARO VIMEPITA..SASA NI VITA VYA UCHUMI.
 
Thamani na umuhimu wa kitu huwezi kuijua wakati unacho mkononi. Mpaka ukipoteze ndo utaijua kwa sababu utakuwa unalinganisha na ulichonacho. wanaomtetea Nyerere wanafanya hivyo kwa kulinganisha yale tuliyonayo sasa. Lakini kipindi chake ni wachache walioweza kumsifia, we had hard times as a nation in all spheres, economically, socially among other things. Tumejifanya tumesahau wakati Mwinyi anaingia alivyoruhusu TV, magari nk? tulivyofurahia na kumuona Nyerere hafai?. Hii ni hulka ya binadamu, kusifia kitu baada ya kuachana nacho.... Leo hii tunasema Mkapa alikuwa Fisadi but was better than JK! baada ya kuona JK alivyo na wapambe wake, kesho JK akiondoka akaingia Lowassa (God FORBID) tutasema hivi hivi...the list goes on and on.....

Swali jee, tutaishi na kupiga hatua kimaendeleo kwa mtaji huu? Nyerere alijenga fabric ya taifa, He should be given credit..But he was smart but not smart enough to know that all clean people he advocated to take his torch as our leaders were just corrupt figures who were hiding behind the mask. Hakuliona hilo! lazima tuwe couragious enough kuadmit makosa yake...ndo tunaweza kujifunza vyema..ndiye aliyemmuza Mkapa kama Mr. Clean! (though the buck stops with we voters) Imean tuache comparison fake, tuangalie kiongozi kama yeye what did he/she do when he had that chance?


Mi sidhani kwamba ubepari upo synonimous na conflicts kama kuna utawala unaoheshimu sheria! Tatizo la viongozi wengi including mwalimu ilikuwa ni kupenda RULE OF MAN BADALA YA RULE OF LAW!!Kipindi cha Nyerere utawala wa sheria ulikuwa very muzzled. Kwani mtu hawezi kuwa tajiri, kumiliki nyumba na magari bila kuiba? Mtoto wa maskini hawezi kusoma kwa subsidy? I mean we should look the larger picture not just blaming or praising Mwalimu. Mbona Europe ni mabepari lakini hata maskini wanasaidiwa shule, madawa nk? (Please Iam not comparing Europe na Tanzania..bali najaribu kuonyesha jinsi Ubepari ukifanya kazi katika misingi ya sheria na haki na kila raia kutimiza wajibu wake unvyoweza kuwanufaisha wengi, ofcourse sio WOTE as Ujamaa pretends to do!)

Nyerere was a good leader in his own way and what he did was not a favour to Tanzanians, thats what any elected official is supposed to do for his people, foster unity and captain development of his people.

Kama mwalimu angeweka real democracy in the hands of wananchi Iam sure, we could be talking on another level. Tuliambiwa fikra sahihi ni za mwenyekiti, Upinzani ni vita, uchaguzi ni incumbent na kivuli, human rights ni luxury, utajiri ni unyang`au..on and on....was he right? The history will judge him. Yes he was a great leader, but he had opportunity to do better and did not stand up to the challenge of having elightened electorate in his country.

With respect for a rule of law, discipline and justice, any economic system can succeed. Yanayotokea Kenya siyo ukabila wala anything else... ni RULE OF MAN INSTEAD OF RULE OF LAW! Period.

Asilimia 99% ya migogoro ya Africa inatokana na tawala zisizoheshimu utawala wa sheria na haki kwa wananchi wao. Sababu nyingine kama zipo ni mengineyo!!
 
Sawa...ila na wewe uache kumwiga Nyerere maana sasa umezidi. Yaani hata kicheko umemwiga...sauti umemwiga...na usingekuwa unatumia wheelchair ungemwiga hadi kutembea....lol


Hivi heee! Unajua siku moja naomgea na Mwanakijiji kwenye simu nikawa naogopaogopa maana najiuliza huu ni mzimu wa Nyerere au namna gani, nilifikri ni mimi tu kumbe.. Halafu hata ile article yake ya leo akihamasisha kule Kiteto ni kama anahutubia kinyerere kabisa...(lol)
 
Azimio jipya,
Damn wewe kweli darasa zito yaani hapa sioni ndani. Duh!

Na kudhihirisha upeo ulokomaa wa mwalimu miezi michache kabla ya kifo chake..aliulizwa ktk mahojiano CNN
Mwalimu was asked if socialism had failed. He replied in characteristically unimpeachable logic: "The fact that Christianity was on the wane and fewer people went to church on Sunday, did not mean there was something wrong with the message of Jesus Christ!"
Hivyo basi mkiweza kuona mantiki ktk jibu hilo nadhani mengine yote sunna yaani hadithi
.

Ama kweli "ukiona kobe..", sasa wewe mkuu wa nyumba umepotea halafu ndio inaibuka kiutu uzima na hii summary, yaani tunaweza kufunga mjadala hapa. Safi sana.
 
Back
Top Bottom